ChizzoDrama
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 1,317
- 1,229
Nchii hii ni pana wenye karama ya uongozi siyo wao tu
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante Lissu unahama nchi lini tukusaidie kuondoka.Okay, mko wenyewe sasa. Enjoy
Wakae kimya kama hakuna vyama vya upinzani?Kabisa, ni muda wa kuyashukudia maajabu aliyoahidi jiwe, ni muda wa viwanda vyote moshi kufufuliwa, ni muda wa arusha kuwa California, ni muda wa Tanzania kuwa Ulaya,
maendelo sasa yatakuwa kila mahali na hakika mabeberu watatukoma.
kina lissu kazi yao imetosha, wametutetea sana
Haina haja tena ya kuandamana. Tunawasubiri mtimize ahadi zenu maana wapinzani waliokuwa kikwazo sasa hawapo.Si mlisema "sasa basi" ?? Iweje tena leo muogope maandamano?
Sasa mmebaki wenyewe wenye msaada, shida iko wapi?Upinzani inabidi wasome alama za nyakati tu kwa sasa, hapa Tanzania hatuna upinzani wa ukweli ni kelele tu zisizo na tija. Mtu anakwenda bungeni kupiga kelele na kuleta bifu ili aandikwe mitandaoni lakini hana msaada wowote jimboni kwake, mfano Halima Mdee, Sugu, Zitto Kabwe, Lissu, na wapuuzi wengine. Tunataka upinzani wa ukweli hapa Tanzania.
Kipigo walichopsta walio jaribu kuandamana ni onyo kuwa sasa hivi unaiabudu CCM. Na polisi wanao uwezo wa kukufanyia chochote ukipinga maelekezo kutoka juu.Tukubali:
1.Hatuwezi tena kukosoa,bali kila kitu itakuwa unaambiwa ni 'maelekezo toka juu'
2.Ukiwa na wazo mbadala,utaambiwa ni 'msaliti'
3.Hakuna tena mtu wa kuidhibiti 'Serikali',hapo ni "ndiooo",hata kama kiongozi anakosea!!!
Kaa ukitambua kwamba, duniani hakuna mashindano ya kutafuta mshindi wa uchumi wa juu, wa kati na losers! Tambua hilo! Kushinda au kushindwa lipo kwenye maisha yako wewe binafsi, familia yako, ndugu na jamaa na zako, na Watanzania kwa ujumla!Kwenye hatua ya maendeleo ama wote tunashinda au wote tunashindwa. Kwa mfano, Tanzania ilipotangazwa kuwa nchi ya kati, wote tulishinda katika ngazi hiyo. Tukubali uchaguzi umeisha.
Lakini uzuri ni kwamba, hawa hawa wapumbavu wanaoshangilia hii leo na wenyewe watakuwa ni miongoni mwa waathirika!! Tena bila kwenda mbali, leo hii si wanaumia wote kwenye issue ya internet!!Tukubali:
1.Hatuwezi tena kukosoa,bali kila kitu itakuwa unaambiwa ni 'maelekezo toka juu'
2.Ukiwa na wazo mbadala,utaambiwa ni 'msaliti'
3.Hakuna tena mtu wa kuidhibiti 'Serikali',hapo ni "ndiooo",hata kama kiongozi anakosea!!!
Mwenye kudhulumu, siku zote, hana mafanikio wala furaha ya kudumu.Lakini uzuri ni kwamba, hawa hawa wapumbavu wanaoshangilia hii leo na wenyewe watakuwa ni miongoni mwa waathirika!! Tena bila kwenda mbali, leo hii si wanaumia wote kwenye issue ya internet!