StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 4,153
- 4,301
Mkuu ukizunguka mtaani bado watu hawajaelewa siku wakiona kabisa siku mbili hawana chakula au mtu siku mbili hajui lile Wala lile ndio wore akili zitatukaa sawa.
Wataambiwa kwa sababu hawafanyi kazi ndio maana hawana chakula na papo hapo watajiona hawajala kumbe kwa sababu ya uzembe wao wenyewe na siyo serikali.Mkuu ukizunguka mtaani bado watu hawajaelewa siku wakiona kabisa siku mbili hawana chakula au mtu siku mbili hajui lile Wala lile ndio wore akili zitatukaa sawa.