LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
sasa watavurugana wenyewe kwa wenyewe ndani ya chama chao,mitandao ya kusaka urais inaanza soon mwenyekiti hatakuwa na nguvu kuyadhibiti makundi ndani ya chama chake,daima upinzani upo upo tu hata ndani ya chama chake.Upinzani inabidi wasome alama za nyakati tu kwa sasa, hapa Tanzania hatuna upinzani wa ukweli ni kelele tu zisizo na tija. Mtu anakwenda bungeni kupiga kelele na kuleta bifu ili aandikwe mitandaoni lakini hana msaada wowote jimboni kwake, mfano Halima Mdee, Sugu, Zitto Kabwe, Lissu, na wapuuzi wengine. Tunataka upinzani wa ukweli hapa Tanzania.
Hakuna alichokifanya kuua upinzani,kafanikiwa kudhibiti miamba ya upinzani isiwepo bungeni wataibuka wa chama chake humo humo ndani huku yeye akijiandaa kumaliza muhula wake wa pili