Ngoja tuyasubiri hayo yanayotisha.!Wananchi nao Ni jipu.Pita pita mtaani uliza washabiki wa chama Tawala wapo wengi mno japo baada ya uchaguzi hawataki tena kujionesha maana wanajua yajayo yanatisha.Hapohapo pita pita mtaani uliza ambao hawakupiga kura sababu ya kukata tamaa wapo wengi mno
Huo ushabiki wanaufanya bure?.Shida siyo kutopiga kura bali mazingira yaliyopelekea wakate tamaa ya kupiga kura.Wengi tangu 2015 walijiapiza kutokupiga kura tena!Wananchi nao Ni jipu.Pita pita mtaani uliza washabiki wa chama Tawala wapo wengi mno japo baada ya uchaguzi hawataki tena kujionesha maana wanajua yajayo yanatisha.Hapohapo pita pita mtaani uliza ambao hawakupiga kura sababu ya kukata tamaa wapo wengi mno
Ni kweli mbona Waganda na Wanyarwanda wanaunga juhudi na hakuna shida.Wamejiridhikia na akina Museveni na Kagame kiroho safi.Na hakuna beberu linalowagusa.Ni mwendo wa"shiiii shut up".😂😂😂, Mlikuwa na midomo Sana humu,naamini sasa kilichobaki ni nyinyi kuunga juhudi tu.
Ikibidi tuambiwe kabisa na time limit kwamba Tz inakwenda kuwa kama ulaya lini?.Isije ikawa Non stop future impossible tense.Hawa ndiwo wawakilishi waliochaguliwa na wananchi, wananchi wanaipenda sana ccm, sasa nchi yetu inaenda kuwa kama ulaya
Sina mengine zaidi ya hayo, heading inajieleza vizuri.
Ni kweli mtakosa mapato, lakini mnaweza kujibidisha na kupata shughuli nyingine hata ikiwezekana kilimo...
Kabisa ushauri mzuri tumwone huyu mshamba na akili zake za kijingajingaSina mengine zaidi ya hayo, heading inajieleza vizuri.
Ni kweli mtakosa mapato, lakini mnaweza kujibidisha na kupata shughuli nyingine hata ikiwezekana kilimo...
Inajisiwe mara ngapi?Democrasia huwa hainajisiwi ni hatari kwa usalama wetu.
Sishauri kabisa mpinzani yeyote aandamane afe halafu faida waje wapate CCM pekee kwa gharama ya Upinzani.Wacha tuendelee kura vumbi.CCM wenyewe watakuwa wa Kwanza kuandamana
Sishauri kabisa mpinzani yeyote aandamane afe halafu faida waje wapate CCM pekee kwa gharama ya Upinzani.Wacha tuendelee kura vumbi.CCM wenyewe watakuwa wa Kwanza kuandamana
CCM wataandama kivipi mkuu?.Wataandama kudai nini,kwa nani ili hali wapo wenyewe tu?Sishauri kabisa mpinzani yeyote aandamane afe halafu faida waje wapate CCM pekee kwa gharama ya Upinzani.Wacha tuendelee kura vumbi.CCM wenyewe watakuwa wa Kwanza kuandamana
Nasubiri kuona Bungeni kama kutakuwa na interruption za TAARIFA.
Ili iweje?.Labda huyo wa CUF mtwara huko atakuwa anainterrupt.Rejea kura za wazi.Kusema hapana itakuwa ngumu kuliko ugumu wenyewe.Nasubiri kuona Bungeni kama kutakuwa na interruption za TAARIFA.
Uncle Jei Jei, hii ni mada yenye kina sana, ingawaje mwenye kusoma juujuu ataichukulia kama unawashawishi wapinzani "wazile" kama watoto wadogo.Sina mengine zaidi ya hayo, heading inajieleza vizuri.
Ni kweli mtakosa mapato, lakini mnaweza kujibidisha na kupata shughuli nyingine hata ikiwezekana kilimo...
Hili nalo neno,mbona wakina museveni wanadunda tu?Niwaambieni tu, hao US UN EU wataishia maneno tu. Hawatoeka vikwazo wala hawatozuia misaada kwa sababu raia hawajawa tayari. Hawa jamaa wao mpaka damu imwagike ndio wafanye kweli vyenginevyo wanaona watu wamridhia sasa kwanini wajiingize kutetea haki zenu kama mmeridhia? Isitoshe watanzania hawatetei utambulisho rasmi wa mashoga. Makonda alivyoanza crackdown ya mashoga mmeona wenyewe walivyomshukia Makonda lakini watu wameuliwa kabisa na kama hawayaoni
Sina mengine zaidi ya hayo, heading inajieleza vizuri.
Ni kweli mtakosa mapato, lakini mnaweza kujibidisha na kupata shughuli nyingine hata ikiwezekana kilimo.
Tuachieni hii miaka mitano ili tujionee wenyewe.
Msihangaike kwenda mahakamani maana huko mtapoteza fedha na muda wenu bure.
Msihangaike kuhamasisha maandamano maana police wakifyatua risasi na raia wakafa, mtalaumiwa bure!
Tuachieni miaka hii mitano tujihakikishie Kama kweli maana ya upinzani ipo kwenye vyama vya siasa au mioyoni mwa watu?
Kaeni pembeni tuone Kama kweli nyie ndio chanzo cha kukosekana kwa huduma za jamii huku kwetu?
Kaeni pembeni tuone Kama kweli nyie ndo mlikuwa sababu ya umasikini wa Watanzania wengi?
Kaeni pembeni ili wananchi waanze kufurahia maziwa na asali walivyovikosa miaka yote hiyo.
Nasema kaeni pembeni kwasababu mmejaribu kutusemea ila tumeshindwa kuwaelewa.
Haina haja ya Mmarekani na wa yuropa kuanza kutusemea! Waambieni nao watuache, tuna jambo letu miaka mitano hii.
Tena waambieni wawe wa kwanza kumpa kongole muheshimiwa kwa ushindi wake wa kishindo na madiwani na wabunge wote! Wasimseme wasije kumconfusi!
Kwa kweli mkijikalia pembeni mkaanza kufanya shughuli nyingine nje ya siasa kuanzia Leo mtakuwa mmetusaidia sana sisi wanyonge kuondoka kwenye unyonge wetu.
Mtakuwa mmetusaidia sana maana mishahara itapanda, huduma za jamii zitabireshwa, ajira zitapatikana, shule zitaboreshwa, uhuru na haki vitatamalaki na Mambo kede kede.
Msiandamane wala kulalamika lalamika ili msimconfyuzi mshindi akaanza kuloose focus na kugombana na nyie!
Muacheni na mtuache na sisi tuyaone wenyewe!
Ni hayo tu! Tanzania ni yetu watanzania, UN, USA na wengine hawawezi kutuonea huruma tusipoanza sisi kujionea huruma na hata wakituonea huruma watakuwa na jambo lao nyuma ya pazia!
Waambieni watuache tuyaone wenyewe!
Ni mataahira (mental retards) pekee ndiyo wanaweza kushangilia eti CCM wameshinda uchaguzi huu wa 2020.Click to expand...
kinyongeee unacoment #sasabasiOkay, mko wenyewe sasa. Enjoy