Kwanza unajua Samiah alipo?. Mnajifanya chawa wa Samiah ila ukiulizwa Sasa hivi yupo wapi kimya.kwahiyo unafurukutwa moyoni na kukereketwa akilini na unajitokeza kulaumu tu bila kua na fikra au hoja mbadala dhidi ya ukweli hou kumuhusu Dr Samia Suluhu Hassan dhidi ya Upinzani nchini?π€£
Kataa uchawa, kalime hata nyanya ujisimamie.kwan kamanda ukikaa kimya na ukatulia tu kuna ubaya wowote?
au kuna changamoto yoyote unapitia dhidi ya hoja yangu na huna fikra mbadala? π
I speak my mind regardless what you think and mean to understand me.
hilo kwako ni Tatizo? kama umefika ukomo wa fikra unatulia tu gentleman, wenye nazo watazitoa kwa hiyari yao π
upinzani nchini umeshindwa kabisa kutikisa nguvu, umaarufu na ushawishi wa Dr Samia Suluhu Hassan kwa wanainchi mijini, vijijini, kitaifa na kimataifa..
kiufupi ameshindika kwa hoja, sera, mipango, maono, nia, uthubutu, hekima, uaminifu, matarajio ya wanainchi kwake n.k
hali hii imewapunguza speed sana wapinzani na bilashaka, huenda hivi sasa kwa jinsi walivyopoa, wamejitathimini na wameridhishwa na jitihada za makusudi za Rais alieko madarakani, comrade Dr. Samia Suluhu Hassan, katika nia na azma yake ya kubadili kabisa Tanzania kijamii, kisiasa na uchumi katika msingi wa 4Rs, alizoanzisha Reconciliation, Resilience, Reform and Rebuild...
hata hivyo kwa wale wapinzani wachache walojaribu kujitutumua nao sijui wamepotelea wapi, baada ya kila attempt wanayojaribu kuitumia kuinfluence wananchi inakosa impact kabisa, dhidi ya nguvu, upendo, ushawishi na umaarufu wa Dr Samia Suluhu Hassan mioyoni mwa wananchi ..
hii ina maanisha kwamba wananchi nao kwa umoja na mshikamano wao, wamekubali na kuridhishwa na kiongozi huyu, na hatua madhubuti ambazo Dr. Samia Suluhu Hassan, rais anazochukua katika kupanga na kutatua changamoto zao kijamii, kisiasa na kiuchumi ..
waTanzania wanampenda, wanamuamini, wanamkubali na wanamuelewa sana Dr Samia Suluhu Hassan na mipango yake yenye kuleta ahueni na matumaini kwa waliokata tamaa.
wamekosa kabisa sasa vya kupinga. mihemko, hasira na ghadabu zao kwa Dr.Samia Suluhu Hassan zimekua hazina tija na wala haziathiri wala kudhoofisha chochote katika jitihada zake za kuwaletea wananchi maendeleo..
Je, kwa hali hiyo,
unashauri wapinzani wajikite zaidi na uchaguzi wa 2030 au wakomae na huu ujao mwakani, ilimradi bora liende kanyaga twende kukamilisha ratiba na katiba tu?π
Midahalo ya Dr.Samia Suluhu Hassan, mara kwa mara huifanya moja kwa moja na wananchi mijini na vijijini, kitaifa na kimataifa...Mbona hatokei kwenye midahalo, anatuma watu!!
Kuna post nyingine unaweza ukafungua na ukajuta, nimejikuta nasoma huu upuuzi hadi natukana mwenyeweupinzani nchini umeshindwa kabisa kutikisa nguvu, umaarufu na ushawishi wa Dr Samia Suluhu Hassan kwa wanainchi mijini, vijijini, kitaifa na kimataifa..
kiufupi ameshindika kwa hoja, sera, mipango, maono, nia, uthubutu, hekima, uaminifu, matarajio ya wanainchi kwake n.k
hali hii imewapunguza speed sana wapinzani na bilashaka, huenda hivi sasa kwa jinsi walivyopoa, wamejitathimini na wameridhishwa na jitihada za makusudi za Rais alieko madarakani, comrade Dr. Samia Suluhu Hassan, katika nia na azma yake ya kubadili kabisa Tanzania kijamii, kisiasa na uchumi katika msingi wa 4Rs, alizoanzisha Reconciliation, Resilience, Reform and Rebuild...
hata hivyo kwa wale wapinzani wachache walojaribu kujitutumua nao sijui wamepotelea wapi, baada ya kila attempt wanayojaribu kuitumia kuinfluence wananchi inakosa impact kabisa, dhidi ya nguvu, upendo, ushawishi na umaarufu wa Dr Samia Suluhu Hassan mioyoni mwa wananchi ..
hii ina maanisha kwamba wananchi nao kwa umoja na mshikamano wao, wamekubali na kuridhishwa na kiongozi huyu, na hatua madhubuti ambazo Dr. Samia Suluhu Hassan, rais anazochukua katika kupanga na kutatua changamoto zao kijamii, kisiasa na kiuchumi ..
waTanzania wanampenda, wanamuamini, wanamkubali na wanamuelewa sana Dr Samia Suluhu Hassan na mipango yake yenye kuleta ahueni na matumaini kwa waliokata tamaa.
wamekosa kabisa sasa vya kupinga. mihemko, hasira na ghadabu zao kwa Dr.Samia Suluhu Hassan zimekua hazina tija na wala haziathiri wala kudhoofisha chochote katika jitihada zake za kuwaletea wananchi maendeleo..
Je, kwa hali hiyo,
unashauri wapinzani wajikite zaidi na uchaguzi wa 2030 au wakomae na huu ujao mwakani, ilimradi bora liende kanyaga twende kukamilisha ratiba na katiba tu?π
hivi navyoandika reply hii niko shambani, aise mwaka huu waziri wa kilimo Husseni Bashe Lazima tumpe maua yake dah, sio kwa mavuno haya πKataa uchawa, kalime hata nyanya ujisimamie.
ndizo fikra mbadala ulizojaza moyoni na akilini,Kuna post nyingine unaweza ukafungua na ukajuta, nimejikuta nasoma huu upuuzi hadi natukana mwenyewe
yaani ufurukutwe moyo kwa ukweli bayana, ushindwe kujizuia kukaa kimya uje hapa kulalamika?π€£Ungekaa kimya na wewe kuliko kuwa kero kwa wanadamu wenzako.
4R fekiactually,
jitahidi uwe walau na fikra mbadala dhidi ya hoja yangu basi, negativity kwa kila kitu nadhan inakufanya dormant zaidi π
but ukweli Upinzani nchini, completely umegonga mwamba dhidi ya influence ya Dr.Samia Suluhu Hassan vijijini, mijini, kitaifa na kimataifa.
ukweli huo unaupingaje kwa mfano gentleman π
umeahishia goli mbali sana, mbona sasa hata havihusiani na hoja π€£Kwanza unajua Samiah alipo?. Mnajifanya chawa wa Samiah ila ukiulizwa Sasa hivi yupo wapi kimya.
Akili yako ndo imefika ukomo wa kufikiri, Angalia trend za Kodi, makato, tozo linganisha na kipato cha mwananchi, halafu fikiria tena kuhusu ongezeko la watu na mabadiliko ambayo hata Nyerere alisema. Mwisho Angalia mikakati Sera na mipango, fuatilia utekelezaji. Ukipata majibu njoo tuongeeKwanza unajua Samiah alipo?. Mnajifanya chawa wa Samiah ila ukiulizwa Sasa hivi yupo wapi kimya.
Samahani ndg nilikuwa namjibu mtoa mada, anayedhani upinzani umegonga mwambaKwanza unajua Samiah alipo?. Mnajifanya chawa wa Samiah ila ukiulizwa Sasa hivi yupo wapi kimya.