Upinzani nchini umegonga mwamba dhidi ya nguvu na ushawish wa kisiasa wa DR.Samia Suluhu Hassan KWA wananchi, mijini na vijijini kitaifa na kimataifa.

Upinzani nchini umegonga mwamba dhidi ya nguvu na ushawish wa kisiasa wa DR.Samia Suluhu Hassan KWA wananchi, mijini na vijijini kitaifa na kimataifa.

wenye mihemko na waporomosha matusi mnajiskia vibaya ee 🤣

ukweli ndivyo ulivyo, ni kuivumilia tu hata kama hutaki, kwamba upinzani nchini umegonga mwamba kabisaaaa dhidi ya Dr Samia Suluhu Hassan na serikali yake šŸ’

wanafanya kazi kwa bidii na kwa kurilax na wananchi wanayaona matokeo yake kwenye maisha yao ya kilasiku šŸ’
Kwenda zako kuzimu
 
Hamna ukweli, NJAA zenu ndio zinawafanya mnatia UFAHAMU mfukoni kwa muda, ili kumpaka chokaa punda awe pundamilia.

Ukweli wa Moyo unajua, hana kibali, anauza kwa Mnada wa wazi rasilimali, anachekea mafisadi na WEZI waliotajwa report ya CAG, kifupi hana sifa ya kuendelea kwenye taasisi ya Urais.

Ila nyie CHAWA ndo mnataka kumponza
Jaribu kupokea ukweli mchungu.
hoja yangu ya msingi ndiyo ukweli wenyewe,

kama una hoja nyingune tofauti na hoja yangu ya msingi, andika bandiko tujadili mbivu na mbichi,

yote na yote ukweli ni kwamba upinzani is no more mbele ya Dr.Samia Suluhu Hassan tuendako mbele :pedroP:
 
Ama Laana Hii irudie kwako mleta maneno haya.
Hatuwalaanigi Viongozi wa Nchi.
Kwani ikiwasibu Laana ,na sisi wananchi hatuna salama.
Mungu awarehemu na awape Huruma na Upendo kwa raia zao.
Amin
na Hii laana Akugeuzie mwenyewe.
Amin
Baraka na Neema za Mungu ziambatane na kuandamana nasi sote katika mawazo yetu, maneno na matendo ili hatimae sote tufurahie zawadi ya uhai, afya na maisha aliyotujalia Mungu bure, kwa upendo, hekima, busara na matashi mema kwa manufaa yetu sisi na wengine wote chini ya jua...
Aimen...:NoGodNo::pulpTRAVOLTA::pulpTRAVOLTA:
 
Nadhani ulikusudia kutwambia tusiache kuishinikiza serikali katika hili la KATIBA MPYA
katina mpya,
ni baada ya uchaguzi mkuu 2025.

kumbuka ni katiba mpya, sio sijui rasimu ya nani na nani huko,

hapana ni katiba mpya ya waTanzania wote:pulpTRAVOLTA:
 
upinzani nchini umeshindwa kabisa kutikisa nguvu, umaarufu na ushawishi wa Dr Samia Suluhu Hassan kwa wanainchi mijini, vijijini, kitaifa na kimataifa..
kiufupi ameshindika kwa hoja, sera, mipango, maono, nia, uthubutu, hekima, uaminifu, matarajio ya wanainchi kwake n.k

hali hii imewapunguza speed sana wapinzani na bilashaka, huenda hivi sasa kwa jinsi walivyopoa, wamejitathimini na wameridhishwa na jitihada za makusudi za Rais alieko madarakani, comrade Dr. Samia Suluhu Hassan, katika nia na azma yake ya kubadili kabisa Tanzania kijamii, kisiasa na uchumi katika msingi wa 4Rs, alizoanzisha Reconciliation, Resilience, Reform and Rebuild...

hata hivyo kwa wale wapinzani wachache walojaribu kujitutumua nao sijui wamepotelea wapi, baada ya kila attempt wanayojaribu kuitumia kuinfluence wananchi inakosa impact kabisa, dhidi ya nguvu, upendo, ushawishi na umaarufu wa Dr Samia Suluhu Hassan mioyoni mwa wananchi ..

hii ina maanisha kwamba wananchi nao kwa umoja na mshikamano wao, wamekubali na kuridhishwa na kiongozi huyu, na hatua madhubuti ambazo Dr. Samia Suluhu Hassan, rais anazochukua katika kupanga na kutatua changamoto zao kijamii, kisiasa na kiuchumi ..

waTanzania wanampenda, wanamuamini, wanamkubali na wanamuelewa sana Dr Samia Suluhu Hassan na mipango yake yenye kuleta ahueni na matumaini kwa waliokata tamaa.

wamekosa kabisa sasa vya kupinga. mihemko, hasira na ghadabu zao kwa Dr.Samia Suluhu Hassan zimekua hazina tija na wala haziathiri wala kudhoofisha chochote katika jitihada zake za kuwaletea wananchi maendeleo..

Je, kwa hali hiyo,
unashauri wapinzani wajikite zaidi na uchaguzi wa 2030 au wakomae na huu ujao mwakani, ilimradi bora liende kanyaga twende kukamilisha ratiba na katiba tu?šŸ’
Dogo Hizi post za kuandikiwa pale Lumumba alafu unapewa bundle ukapost jf

Sisi tuliopo serikalini tunajua Hali niniTete

Mishahara mwezi huu ilikuwa hari hati

Wazabuni mpaka Leo hawajalipwa

Wafanyabiashara nchi nzimagoma

Siku hizi tra wanakusanya ili kulipa madeni hela hapohapo ambao siyo utaratibu uliozoleka

Hali ni tete

Alafu bumunda Toka Lumumba linaandika upuuzi
 
upinzani nchini umeshindwa kabisa kutikisa nguvu, umaarufu na ushawishi wa Dr Samia Suluhu Hassan kwa wanainchi mijini, vijijini, kitaifa na kimataifa..
kiufupi ameshindika kwa hoja, sera, mipango, maono, nia, uthubutu, hekima, uaminifu, matarajio ya wanainchi kwake n.k

hali hii imewapunguza speed sana wapinzani na bilashaka, huenda hivi sasa kwa jinsi walivyopoa, wamejitathimini na wameridhishwa na jitihada za makusudi za Rais alieko madarakani, comrade Dr. Samia Suluhu Hassan, katika nia na azma yake ya kubadili kabisa Tanzania kijamii, kisiasa na uchumi katika msingi wa 4Rs, alizoanzisha Reconciliation, Resilience, Reform and Rebuild...

hata hivyo kwa wale wapinzani wachache walojaribu kujitutumua nao sijui wamepotelea wapi, baada ya kila attempt wanayojaribu kuitumia kuinfluence wananchi inakosa impact kabisa, dhidi ya nguvu, upendo, ushawishi na umaarufu wa Dr Samia Suluhu Hassan mioyoni mwa wananchi ..

hii ina maanisha kwamba wananchi nao kwa umoja na mshikamano wao, wamekubali na kuridhishwa na kiongozi huyu, na hatua madhubuti ambazo Dr. Samia Suluhu Hassan, rais anazochukua katika kupanga na kutatua changamoto zao kijamii, kisiasa na kiuchumi ..

waTanzania wanampenda, wanamuamini, wanamkubali na wanamuelewa sana Dr Samia Suluhu Hassan na mipango yake yenye kuleta ahueni na matumaini kwa waliokata tamaa.

wamekosa kabisa sasa vya kupinga. mihemko, hasira na ghadabu zao kwa Dr.Samia Suluhu Hassan zimekua hazina tija na wala haziathiri wala kudhoofisha chochote katika jitihada zake za kuwaletea wananchi maendeleo..

Je, kwa hali hiyo,
unashauri wapinzani wajikite zaidi na uchaguzi wa 2030 au wakomae na huu ujao mwakani, ilimradi bora liende kanyaga twende kukamilisha ratiba na katiba tu?šŸ’
Wewe kisomo kinakuhuhusu, sipo tiyari muona mtanzania mwenzangu anapoteana
 
šŸ’ šŸ’ šŸ’
1719142043038.jpg
 
Wewe kisomo kinakuhuhusu, sipo tiyari muona mtanzania mwenzangu anapoteana
badala utoe fikra mbadala wa hoja ya msingi mezani, unatoka nduki na kujificha, kwa kujipa umuhimu ambao haustahili hata kidogo :pedroP:
 
Dogo Hizi post za kuandikiwa pale Lumumba alafu unapewa bundle ukapost jf

Sisi tuliopo serikalini tunajua Hali niniTete

Mishahara mwezi huu ilikuwa hari hati

Wazabuni mpaka Leo hawajalipwa

Wafanyabiashara nchi nzimagoma

Siku hizi tra wanakusanya ili kulipa madeni hela hapohapo ambao siyo utaratibu uliozoleka

Hali ni tete

Alafu bumunda Toka Lumumba linaandika upuuzi
serikali mbadala ya kambi rasmi ya upinzani sio?:pedroP:

unazungumzia wafanyabiashara au wanasiasabiashara gentleman?

halafu,
huo sio uzalendo, yaani mtumishi wa umma bado unategemea mshahara pekeyake na hujishughulishi na shughuli nyingine za kujiongezea kipato ee? hujapita JKT wewe au ni wale wa vyeti feki mlonisirika kubambwa?

tafadhali sana usiishe kwenye hali ya hatari namna hiyo kutegemea mshahara. kumbe ndiyo maama unasema una hali tete. kule nyumbani kwenu kuna ardhi kubwa tu yenye rutuba, si ungelima hata ekari 30 tu gentleman?

hayo mengine ya wazabuni, sijui TRA n.k,
serikali inashughulika nayo taratibu na mambo yanakwenda vizuri sana:pulpTRAVOLTA:

nimekuonea huruma sana aise
 
Nasema kisomo kinakuhusu , uchawa hata mbinguni haupo wewe wautoa wapi , mkuu pumbavu sana
relax basi gentlema,
mihemko inakutesa sana,

lakini ukweli ndivyo ulivyo mchungu, halafu saa zingine una kera sana, kwamba Dr.Samia Suluhu Hassan ndio habari ya mjini, vijijini, kitaifa na kimataifa kwenye siasa za Tanzania, na hakuna namna nyingine:pedroP:
 
hoja yangu ya msingi ndiyo ukweli wenyewe,

kama una hoja nyingune tofauti na hoja yangu ya msingi, andika bandiko tujadili mbivu na mbichi,

yote na yote ukweli ni kwamba upinzani is no more mbele ya Dr.Samia Suluhu Hassan tuendako mbele :pedroP:
Hamna kitu, hapo , hana sifa ya kuendelea ku hold hiyo nafasi 2025, kama mnataka opposition wachukue nchi kirahisi mwekeni huyo Mama.

Free and fair election hatoboi, labda muendelee na wizi wenu wa kura na kutumia Vyombo vya Dola.
 
Hamna kitu, hapo , hana sifa ya kuendelea ku hold hiyo nafasi 2025, kama mnataka opposition wachukue nchi kirahisi mwekeni huyo Mama.

Free and fair election hatoboi, labda muendelee na wizi wenu wa kura na kutumia Vyombo vya Dola.
epuka kizira au kususa uchaguzi kwa sababu hizo....

nakuombea usije kuamini kwamba kuna free and fair elections wakati uchaguzi umekwisha :pedroP:

itakulazimu usubiri miaka mitano tena....
 
upinzani nchini umeshindwa kabisa kutikisa nguvu, umaarufu na ushawishi wa Dr Samia Suluhu Hassan kwa wanainchi mijini, vijijini, kitaifa na kimataifa..
kiufupi ameshindika kwa hoja, sera, mipango, maono, nia, uthubutu, hekima, uaminifu, matarajio ya wanainchi kwake n.k

hali hii imewapunguza speed sana wapinzani na bilashaka, huenda hivi sasa kwa jinsi walivyopoa, wamejitathimini na wameridhishwa na jitihada za makusudi za Rais alieko madarakani, comrade Dr. Samia Suluhu Hassan, katika nia na azma yake ya kubadili kabisa Tanzania kijamii, kisiasa na uchumi katika msingi wa 4Rs, alizoanzisha Reconciliation, Resilience, Reform and Rebuild...

hata hivyo kwa wale wapinzani wachache walojaribu kujitutumua nao sijui wamepotelea wapi, baada ya kila attempt wanayojaribu kuitumia kuinfluence wananchi inakosa impact kabisa, dhidi ya nguvu, upendo, ushawishi na umaarufu wa Dr Samia Suluhu Hassan mioyoni mwa wananchi ..

hii ina maanisha kwamba wananchi nao kwa umoja na mshikamano wao, wamekubali na kuridhishwa na kiongozi huyu, na hatua madhubuti ambazo Dr. Samia Suluhu Hassan, rais anazochukua katika kupanga na kutatua changamoto zao kijamii, kisiasa na kiuchumi ..

waTanzania wanampenda, wanamuamini, wanamkubali na wanamuelewa sana Dr Samia Suluhu Hassan na mipango yake yenye kuleta ahueni na matumaini kwa waliokata tamaa.

wamekosa kabisa sasa vya kupinga. mihemko, hasira na ghadabu zao kwa Dr.Samia Suluhu Hassan zimekua hazina tija na wala haziathiri wala kudhoofisha chochote katika jitihada zake za kuwaletea wananchi maendeleo..

Je, kwa hali hiyo,
unashauri wapinzani wajikite zaidi na uchaguzi wa 2030 au wakomae na huu ujao mwakani, ilimradi bora liende kanyaga twende kukamilisha ratiba na katiba tu?šŸ’

Unazo akili kweli?
 
epuka kizira au kususa uchaguzi kwa sababu hizo....

nakuombea usije kuamini kwamba kuna free and fair elections wakati uchaguzi umekwisha :pedroP:

itakulazimu usubiri miaka mitano tena....
I can see , lack of objectivity and particularity!!!
I don't see something sold from your thread, I won't waste time any more, OVER & OUT.
 
I can see , lack of objectivity and particularity!!!
I don't see something sold from your thread, I won't waste time any more, OVER & OUT.
gentleman,
no one will force or command you to visit their threads, its up to you :pedroP:
 
Ushawishi gani wakati nchi imetawaliwa na migomo kwenye kila sekta sasa na wawekezaji wa kigeni wanagoma.
Bibi chura nchi imemshinda
 
Ushawishi gani wakati nchi imetawaliwa na migomo kwenye kila sekta sasa na wawekezaji wa kigeni wanagoma.
Bibi chura nchi imemshinda
ungegoma wewe kuchangia hoja hii pangechimbika,

bahati yako umewahi kuchangia japo una mihemko :pedroP:
 
Back
Top Bottom