Upinzani nchini umegonga mwamba dhidi ya nguvu na ushawish wa kisiasa wa DR.Samia Suluhu Hassan KWA wananchi, mijini na vijijini kitaifa na kimataifa.

kwahiyo unafurukutwa moyoni na kukereketwa akilini na unajitokeza kulaumu tu bila kua na fikra au hoja mbadala dhidi ya ukweli hou kumuhusu Dr Samia Suluhu Hassan dhidi ya Upinzani nchini?🀣
Ungejua hali ilivyo mtaani, usingesema hayo. Ndio maana CCM hawataki kabisa kubadili katiba. Wanajua.
 
Kuna nini?,toka hangaya aseme anapitapita JF naona kama umepata wazimu fulani hivi wa kichawa
 
Ha ha ha ha. Hiyo English!?!?
 
Watanzania wamejaa tabasamu na furaha kubwa sana katika nyuso zao kwa sasa kuwahi kushuhudiwa.hii yote ni kutokana na matumaini makubwa sana walio nayo kwa Rais Samia.
Si afadhali wennzako waliojaa furaha kuliko wewe uliejaa mavi
 
Ha ha ha ha. Hiyo English!?!?
kwahiyo wewe unafurahia kua confused na English sio 🀣

hii dinunia kweli unachanganya hajulikani ni duara au mviringo...
Lakini hiyo haibadili ukweli wa hoja kwamba upinzani nchini umegonga mwamba kwa kila kitu kwa huyu Dr.Samia Suluhu Hassan, kiongozi wa Tanzania πŸ’
 
Kuna nini?,toka hangaya aseme anapitapita JF naona kama umepata wazimu fulani hivi wa kichawa
wenye mihemko na waporomosha matusi mnajiskia vibaya ee 🀣

ukweli ndivyo ulivyo, ni kuivumilia tu hata kama hutaki, kwamba upinzani nchini umegonga mwamba kabisaaaa dhidi ya Dr Samia Suluhu Hassan na serikali yake πŸ’

wanafanya kazi kwa bidii na kwa kurilax na wananchi wanayaona matokeo yake kwenye maisha yao ya kilasiku πŸ’
 
Una typ ukiw wap , na unalpw posho kias gan
Ni Neema na Baraka za Mungu tu, vinginevyo haiwezekani πŸ’

saivi ndio nataka nitoke shamba, nikapumzike kidogo then baadae nirudi tena jioni, si unajua mavuno tena. Bashe kasababisha mapinduzi ya kilimo mavuno ni Bam Bam πŸ’
 
Hoja zako ni Zaifu sana nimezitia kwenye Dust Bin.
ungezifunga kabisa kwanza kwenye lailoni gentleman 🀣

but ukweli utaelezwa bayana kila fursa itakayopatikana, upende usipende kwamba upinzani nchini umegonga mwamba na hauna la kusema dhidi ya mipango mikakati Dr.Samia Suluhu Hassan kuwaletea waTananzania maendeleo πŸ’
 
Ni kweli kabisa ndio maana wanatekwa na kupigwa risasi za vichwa na kutupwa hifadhini waliwe na fisi!
kwamba kuna jamaa kapigwa risasi ya kichwa ikatokea kwenye taya na anazungumza vizuri tu na vyombo vya habari na juice anazifakamia vizuri tu πŸ’

au ni cable tire alikua anazungumzia?πŸ’
 
but ukweli utaelezwa bayana kila fursa itakayopatikana, upende usipende kwamba upinzani nchini umegonga mwamba na hauna la kusema dhidi ya mipango mikakati Dr.Samia Suluhu Hassan kuwaletea waTananzania maendeleo πŸ’
Sisi CHADEMA bado tunaendelea na Mikutano yetu halafu tunarejea na Maandamano ya AMANI Nchi nzima.

Chura Kiziwi ataongea tu.
 
Ungejua hali ilivyo mtaani, usingesema hayo. Ndio maana CCM hawataki kabisa kubadili katiba. Wanajua.
mtaani unafanya nn gentleman kipindi cha mavuno hiki?πŸ’

mbona mnachezea fursa ndugu zangu? nilipo huweza ona kijana muda huu mtaani wote wanavuna walichopanda mashambani,. waziri wa kilimo Husseni Bashe apewe Maua yake πŸ’
 
 
Sisi CHADEMA bado tunaendelea na Mikutano yetu halafu tunarejea na Maandamano Nchi nzima.
nadhani mnaiona impact ya Dr Samia Suluhu Hassan kwenye mikutano yenu iliyodorora na kukosa hamasa kabisa πŸ’

unadhani ni kwanini 🀣
 
nadhani mnaiona impact ya Dr Samia Suluhu Hassan kwenye mikutano yenu iliyodorora na kukosa hamasa kabisa πŸ’

unadhani ni kwanini 🀣
Hizi ni Kampeni kuelekea Chaguzi za Serkali za Mitaa ngoja Masika ya Mafuriko yaja. Wala usikonde.
 
Wewe wasema....amelaaniwa kuliko wanawake wote na abdul mzawa wa tumbo lake kalaaniwa tokea sasa vizazi vyote watamwita mlaaniwa
 

Attachments

  • Screenshot_20240627-211037_Lite.jpg
    427.3 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…