EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Kwenda zako kuzimuwenye mihemko na waporomosha matusi mnajiskia vibaya ee 🤣
ukweli ndivyo ulivyo, ni kuivumilia tu hata kama hutaki, kwamba upinzani nchini umegonga mwamba kabisaaaa dhidi ya Dr Samia Suluhu Hassan na serikali yake 🐒
wanafanya kazi kwa bidii na kwa kurilax na wananchi wanayaona matokeo yake kwenye maisha yao ya kilasiku 🐒
hoja yangu ya msingi ndiyo ukweli wenyewe,Hamna ukweli, NJAA zenu ndio zinawafanya mnatia UFAHAMU mfukoni kwa muda, ili kumpaka chokaa punda awe pundamilia.
Ukweli wa Moyo unajua, hana kibali, anauza kwa Mnada wa wazi rasilimali, anachekea mafisadi na WEZI waliotajwa report ya CAG, kifupi hana sifa ya kuendelea kwenye taasisi ya Urais.
Ila nyie CHAWA ndo mnataka kumponza
Jaribu kupokea ukweli mchungu.
Baraka na Neema za Mungu ziambatane na kuandamana nasi sote katika mawazo yetu, maneno na matendo ili hatimae sote tufurahie zawadi ya uhai, afya na maisha aliyotujalia Mungu bure, kwa upendo, hekima, busara na matashi mema kwa manufaa yetu sisi na wengine wote chini ya jua...Ama Laana Hii irudie kwako mleta maneno haya.
Hatuwalaanigi Viongozi wa Nchi.
Kwani ikiwasibu Laana ,na sisi wananchi hatuna salama.
Mungu awarehemu na awape Huruma na Upendo kwa raia zao.
Amin
na Hii laana Akugeuzie mwenyewe.
Amin
katina mpya,Nadhani ulikusudia kutwambia tusiache kuishinikiza serikali katika hili la KATIBA MPYA
Dogo Hizi post za kuandikiwa pale Lumumba alafu unapewa bundle ukapost jfupinzani nchini umeshindwa kabisa kutikisa nguvu, umaarufu na ushawishi wa Dr Samia Suluhu Hassan kwa wanainchi mijini, vijijini, kitaifa na kimataifa..
kiufupi ameshindika kwa hoja, sera, mipango, maono, nia, uthubutu, hekima, uaminifu, matarajio ya wanainchi kwake n.k
hali hii imewapunguza speed sana wapinzani na bilashaka, huenda hivi sasa kwa jinsi walivyopoa, wamejitathimini na wameridhishwa na jitihada za makusudi za Rais alieko madarakani, comrade Dr. Samia Suluhu Hassan, katika nia na azma yake ya kubadili kabisa Tanzania kijamii, kisiasa na uchumi katika msingi wa 4Rs, alizoanzisha Reconciliation, Resilience, Reform and Rebuild...
hata hivyo kwa wale wapinzani wachache walojaribu kujitutumua nao sijui wamepotelea wapi, baada ya kila attempt wanayojaribu kuitumia kuinfluence wananchi inakosa impact kabisa, dhidi ya nguvu, upendo, ushawishi na umaarufu wa Dr Samia Suluhu Hassan mioyoni mwa wananchi ..
hii ina maanisha kwamba wananchi nao kwa umoja na mshikamano wao, wamekubali na kuridhishwa na kiongozi huyu, na hatua madhubuti ambazo Dr. Samia Suluhu Hassan, rais anazochukua katika kupanga na kutatua changamoto zao kijamii, kisiasa na kiuchumi ..
waTanzania wanampenda, wanamuamini, wanamkubali na wanamuelewa sana Dr Samia Suluhu Hassan na mipango yake yenye kuleta ahueni na matumaini kwa waliokata tamaa.
wamekosa kabisa sasa vya kupinga. mihemko, hasira na ghadabu zao kwa Dr.Samia Suluhu Hassan zimekua hazina tija na wala haziathiri wala kudhoofisha chochote katika jitihada zake za kuwaletea wananchi maendeleo..
Je, kwa hali hiyo,
unashauri wapinzani wajikite zaidi na uchaguzi wa 2030 au wakomae na huu ujao mwakani, ilimradi bora liende kanyaga twende kukamilisha ratiba na katiba tu?🐒
Wewe kisomo kinakuhuhusu, sipo tiyari muona mtanzania mwenzangu anapoteanaupinzani nchini umeshindwa kabisa kutikisa nguvu, umaarufu na ushawishi wa Dr Samia Suluhu Hassan kwa wanainchi mijini, vijijini, kitaifa na kimataifa..
kiufupi ameshindika kwa hoja, sera, mipango, maono, nia, uthubutu, hekima, uaminifu, matarajio ya wanainchi kwake n.k
hali hii imewapunguza speed sana wapinzani na bilashaka, huenda hivi sasa kwa jinsi walivyopoa, wamejitathimini na wameridhishwa na jitihada za makusudi za Rais alieko madarakani, comrade Dr. Samia Suluhu Hassan, katika nia na azma yake ya kubadili kabisa Tanzania kijamii, kisiasa na uchumi katika msingi wa 4Rs, alizoanzisha Reconciliation, Resilience, Reform and Rebuild...
hata hivyo kwa wale wapinzani wachache walojaribu kujitutumua nao sijui wamepotelea wapi, baada ya kila attempt wanayojaribu kuitumia kuinfluence wananchi inakosa impact kabisa, dhidi ya nguvu, upendo, ushawishi na umaarufu wa Dr Samia Suluhu Hassan mioyoni mwa wananchi ..
hii ina maanisha kwamba wananchi nao kwa umoja na mshikamano wao, wamekubali na kuridhishwa na kiongozi huyu, na hatua madhubuti ambazo Dr. Samia Suluhu Hassan, rais anazochukua katika kupanga na kutatua changamoto zao kijamii, kisiasa na kiuchumi ..
waTanzania wanampenda, wanamuamini, wanamkubali na wanamuelewa sana Dr Samia Suluhu Hassan na mipango yake yenye kuleta ahueni na matumaini kwa waliokata tamaa.
wamekosa kabisa sasa vya kupinga. mihemko, hasira na ghadabu zao kwa Dr.Samia Suluhu Hassan zimekua hazina tija na wala haziathiri wala kudhoofisha chochote katika jitihada zake za kuwaletea wananchi maendeleo..
Je, kwa hali hiyo,
unashauri wapinzani wajikite zaidi na uchaguzi wa 2030 au wakomae na huu ujao mwakani, ilimradi bora liende kanyaga twende kukamilisha ratiba na katiba tu?🐒
Nasema kisomo kinakuhusu , uchawa hata mbinguni haupo wewe wautoa wapi , mkuu pumbavu sanabadala utoe fikra mbadala wa hoja ya msingi mezani, unatoka nduki na kujificha, kwa kujipa umuhimu ambao haustahili hata kidogo
serikali mbadala ya kambi rasmi ya upinzani sio?Dogo Hizi post za kuandikiwa pale Lumumba alafu unapewa bundle ukapost jf
Sisi tuliopo serikalini tunajua Hali niniTete
Mishahara mwezi huu ilikuwa hari hati
Wazabuni mpaka Leo hawajalipwa
Wafanyabiashara nchi nzimagoma
Siku hizi tra wanakusanya ili kulipa madeni hela hapohapo ambao siyo utaratibu uliozoleka
Hali ni tete
Alafu bumunda Toka Lumumba linaandika upuuzi
relax basi gentlema,Nasema kisomo kinakuhusu , uchawa hata mbinguni haupo wewe wautoa wapi , mkuu pumbavu sana
Hamna kitu, hapo , hana sifa ya kuendelea ku hold hiyo nafasi 2025, kama mnataka opposition wachukue nchi kirahisi mwekeni huyo Mama.hoja yangu ya msingi ndiyo ukweli wenyewe,
kama una hoja nyingune tofauti na hoja yangu ya msingi, andika bandiko tujadili mbivu na mbichi,
yote na yote ukweli ni kwamba upinzani is no more mbele ya Dr.Samia Suluhu Hassan tuendako mbele
epuka kizira au kususa uchaguzi kwa sababu hizo....Hamna kitu, hapo , hana sifa ya kuendelea ku hold hiyo nafasi 2025, kama mnataka opposition wachukue nchi kirahisi mwekeni huyo Mama.
Free and fair election hatoboi, labda muendelee na wizi wenu wa kura na kutumia Vyombo vya Dola.
upinzani nchini umeshindwa kabisa kutikisa nguvu, umaarufu na ushawishi wa Dr Samia Suluhu Hassan kwa wanainchi mijini, vijijini, kitaifa na kimataifa..
kiufupi ameshindika kwa hoja, sera, mipango, maono, nia, uthubutu, hekima, uaminifu, matarajio ya wanainchi kwake n.k
hali hii imewapunguza speed sana wapinzani na bilashaka, huenda hivi sasa kwa jinsi walivyopoa, wamejitathimini na wameridhishwa na jitihada za makusudi za Rais alieko madarakani, comrade Dr. Samia Suluhu Hassan, katika nia na azma yake ya kubadili kabisa Tanzania kijamii, kisiasa na uchumi katika msingi wa 4Rs, alizoanzisha Reconciliation, Resilience, Reform and Rebuild...
hata hivyo kwa wale wapinzani wachache walojaribu kujitutumua nao sijui wamepotelea wapi, baada ya kila attempt wanayojaribu kuitumia kuinfluence wananchi inakosa impact kabisa, dhidi ya nguvu, upendo, ushawishi na umaarufu wa Dr Samia Suluhu Hassan mioyoni mwa wananchi ..
hii ina maanisha kwamba wananchi nao kwa umoja na mshikamano wao, wamekubali na kuridhishwa na kiongozi huyu, na hatua madhubuti ambazo Dr. Samia Suluhu Hassan, rais anazochukua katika kupanga na kutatua changamoto zao kijamii, kisiasa na kiuchumi ..
waTanzania wanampenda, wanamuamini, wanamkubali na wanamuelewa sana Dr Samia Suluhu Hassan na mipango yake yenye kuleta ahueni na matumaini kwa waliokata tamaa.
wamekosa kabisa sasa vya kupinga. mihemko, hasira na ghadabu zao kwa Dr.Samia Suluhu Hassan zimekua hazina tija na wala haziathiri wala kudhoofisha chochote katika jitihada zake za kuwaletea wananchi maendeleo..
Je, kwa hali hiyo,
unashauri wapinzani wajikite zaidi na uchaguzi wa 2030 au wakomae na huu ujao mwakani, ilimradi bora liende kanyaga twende kukamilisha ratiba na katiba tu?🐒
I can see , lack of objectivity and particularity!!!epuka kizira au kususa uchaguzi kwa sababu hizo....
nakuombea usije kuamini kwamba kuna free and fair elections wakati uchaguzi umekwisha
itakulazimu usubiri miaka mitano tena....
ungegoma wewe kuchangia hoja hii pangechimbika,Ushawishi gani wakati nchi imetawaliwa na migomo kwenye kila sekta sasa na wawekezaji wa kigeni wanagoma.
Bibi chura nchi imemshinda