Uporwaji wa ardhi utaisha lini dodoma? Naumia sana raisi samia alione hili

Uporwaji wa ardhi utaisha lini dodoma? Naumia sana raisi samia alione hili

EDIGAR JO

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2024
Posts
422
Reaction score
444
Samahani .
Poleni na kazi Waheshimiwa
Natumaini mkheri wa afya
Naomba msaada wako kwa kunisaidia mawasiliano ya simu ya viongozi hawa,
1.Waziri wa Ardhi wa Tanzania wa sasa Mheshimiwa Jerry Silapha.
2.Mheshimiwa .Poul Makonda
Mi nilikuwa naomba msaada wenu kwenye jambo hili ili kisiharibike kityu.
Baba angu mimi amekumbana na changamoto ya kutwaliwa eneo lake na taasisi ya Serikali TBC .
Lakini utwaaji huu unaonekana ni batili kwani hamna malipo halali ambayo yanafanyika kutokana na kutakwa kutia sahihi kwenye hundi ya malipo takribani TShs Milioni 109.754.Ambapo malipo hayo tunayakataa kwa hoja zifuatazo;
1.Thamani ya nyumba 1 na ghofu ni takribani milion 95.2 wakati zilipojengwa mwaka 2018 na kuna kisima Milion 6 ,Kuna Mikorosho 50 ukuaji 100% na imevunwa mara 2 na miti mingine ya matunda .Eneo ni Ekari 3.5 lipo KM 1.5 kutoka Dodoma -Morogoro road.
Dodoma mjini(Mtumba (Mji wa kiserikali)).
Kutokana na mchanganuo huo thamani ya vitu hivyo kwa sasa ni kubwa na hàipaswi kuwa hio.
2.Shitaka hili lilitimiza mwaka tarehe 26.02.24 kuwepo mahakamani pasina kusikilizwa hata maramoja mpaka kumalizika kwa muda wake.
Hivyo ni viashiria vya kuwepo kwa udanganyifu.
3.Taarifa za uthamini hazikuwa sahihi kwani zinaonesha kuwa ni za kugushi na si halali.
Na ujenzi wa wavamizi hao unaendelea .

Ombi langu kwenu nyie Wana JF wenzangu wapendwa tusaidie mimi na Baba au mmoja kati yetu kuonana na viongozi wa ngazi za juu wahusikao na Ardhi ,amma naomba utusimamie wewe tupate haki yetu sisi WANYONGE.Viongozi ambao pia nalitamani niwaone ni Makonda ,Waziri wa Ardhi Mh.Jerry ,Au wa juu zaidi ya hapo maana hili jambo nadhani wanaoliangalia ni wakubwa Ndio maana Mahakama haikuwa na nguvu ya kuita shitaka hilo.
Nimeshindwa kuonana nao .Nilizuiliwa njiani pasina sababu za wazi.
Amma ,
Naomba msaada wako kwa kunisaidia mawasiliano ya simu ya viongozi hawa,
1.Waziri wa Ardhi wa Tanzania wa sasa Mheshimiwa Jerry Silapha.
2.Mheshimiwa .Poul Makonda
 
Samahani, natumaini umzima wa afya.

Mi nilikuwa naomba msaada wako kwenye jambo hili ili kisiharibike kityu.

Baba angu mimi amekumbana na changamoto ya kutwaliwa eneo lake na taasisi ya Serikali.

Lakini utwaaji huu unaonekana ni batili kwani hamna malipo halali ambayo yanafanyika kutokana na kutakwa kutia sahihi kwenye hundi ya malipo takribani TShs Milioni 109.754. Ambapo malipo hayo tunayakataa kwa hoja zifuatazo;

1. Thamani ya nyumba 1 na ghofu ni takribani milioni 95.2 wakati zilipojengwa mwaka 2018 na kuna kisima milioni 6, kuna mikorosho 50 ukuaji 100% na imevunwa mara 2 na miti mingine ya matunda. Eneo ni ekari 3.5 lipo km 1.5 kutoka Dodoma-Morogoro road.

Dodoma mjini (Mtumba (Mji wa kiserikali)).

Kutokana na mchanganuo huo thamani ya vitu hivyo kwa sasa ni kubwa na haipaswi kuwa hivyo.

2. Shitaka hili lilitimiza mwaka tarehe 26.02.24 kuwepo mahakamani pasina kusikilizwa hata mara moja mpaka kumalizika kwa muda wake.

Hivyo ni viashiria vya kuwepo kwa udanganyifu.

3. Taarifa za uthamini hazikuwa sahihi kwani zinaonesha kuwa ni za kugushi na si halali.

Na ujenzi wa wavamizi hao unaendelea.

Ombi langu kwako, kwa kuwa wewe ni mfanyakazi wa Serikali huenda ukatusaidia mimi na Baba au mmoja kati yetu kuonana na viongozi wa ngazi za juu, kati ya Makonda, Waziri wa Ardhi Mh. Jerry, au wa juu zaidi ya hapo maana hili jambo nadhani wanaoliangalia ni wakubwa. Ndio maana Mahakama haikuwa na nguvu.

Kaka naomba msaada wako, kwani kwa nguvu zangu nimeshindwa kuonana nao. Nilizuiliwa njiani pasina sababu za wazi.

Kuna malipo ya milioni 1.5 na sio Rushwa. Wa kunisaidia 0685237039.

Thanks
downloadfile-1.png
HII DODOMA MBONA INASHIDA SANA ZA ARCHI WEWE RAISI UITWAYE MAMA HUONI HILI??
 
Samahani, natumaini umzima wa afya.

Mi nilikuwa naomba msaada wako kwenye jambo hili ili kisiharibike kityu.

Baba angu mimi amekumbana na changamoto ya kutwaliwa eneo lake na taasisi ya Serikali.

Lakini utwaaji huu unaonekana ni batili kwani hamna malipo halali ambayo yanafanyika kutokana na kutakwa kutia sahihi kwenye hundi ya malipo takribani TShs Milioni 109.754. Ambapo malipo hayo tunayakataa kwa hoja zifuatazo;

1. Thamani ya nyumba 1 na ghofu ni takribani milioni 95.2 wakati zilipojengwa mwaka 2018 na kuna kisima milioni 6, kuna mikorosho 50 ukuaji 100% na imevunwa mara 2 na miti mingine ya matunda. Eneo ni ekari 3.5 lipo km 1.5 kutoka Dodoma-Morogoro road.

Dodoma mjini (Mtumba (Mji wa kiserikali)).

Kutokana na mchanganuo huo thamani ya vitu hivyo kwa sasa ni kubwa na haipaswi kuwa hivyo.

2. Shitaka hili lilitimiza mwaka tarehe 26.02.24 kuwepo mahakamani pasina kusikilizwa hata mara moja mpaka kumalizika kwa muda wake.

Hivyo ni viashiria vya kuwepo kwa udanganyifu.

3. Taarifa za uthamini hazikuwa sahihi kwani zinaonesha kuwa ni za kugushi na si halali.

Na ujenzi wa wavamizi hao unaendelea.

Ombi langu kwako, kwa kuwa wewe ni mfanyakazi wa Serikali huenda ukatusaidia mimi na Baba au mmoja kati yetu kuonana na viongozi wa ngazi za juu, kati ya Makonda, Waziri wa Ardhi Mh. Jerry, au wa juu zaidi ya hapo maana hili jambo nadhani wanaoliangalia ni wakubwa. Ndio maana Mahakama haikuwa na nguvu.

Kaka naomba msaada wako, kwani kwa nguvu zangu nimeshindwa kuonana nao. Nilizuiliwa njiani pasina sababu za wazi.

Kuna malipo ya milioni 1.5 na sio Rushwa. Wa kunisaidia 0685237039.

Thanks View attachment 3017878HII DODOMA MBONA INASHIDA SANA ZA ARCHI WEWE RAISI UITWAYE MAMA HUONI HILI??
Pole Haki ya mtu haitapotea Katika nchi hii,ipo siku yako usichoke kupambana Magoliati ni mengi ila mtawashinda
 
Kwann unasema malipo ya 1.5m unayotaka kutoa sio rushwa? Ukitoa wewe huoni kama ni rushwa wakitoa wenzako unakimbilia kusema kwa mama.

Ni haki yako kusaidiwa usianze kutanguliza rushwa! Utakuwa huna tofauti na hao waliotoa rushwa wakawadhulumu
 
Pole Haki ya mtu haitapotea Katika nchi hii,ipo siku yako usichoke kupambana Magoliati ni mengi ila mtawashinda
Ahsante kama kunawezekana ifikishe kila mahari kuna malipo baada ya kuisha chili.
Maana baada ya kukumbana na hili na kushindikana mahakamani ,mpaka leo hii Waziri wa Ardhi hapokei simu
So sad
 
Kwann unasema malipo ya 1.5m unayotaka kutoa sio rushwa? Ukitoa wewe huoni kama ni rushwa wakitoa wenzako unakimbilia kusema kwa mama.

Ni haki yako kusaidiwa usianze kutanguliza rushwa! Utakuwa huna tofauti na hao waliotoa rushwa wakawadhulumu
Ni shukrani kwa mtu yeyote atakaye mutua mzigo huu kichwani ,na nitampa kama shukrani .
Maana nipo CHUONI sasahivi mpaka nashindwa kusoma .Hii serikali inanipa hasira sana
 
Kwa kiongozi yeyote aliyehusika na hii kesi na ameikalia your days are numbered lets us counts whether me or you but 😷
 
Kwa kiongozi yeyote aliyehusika na hii kesi na ameikalia your days are numbered lets us counts whether me or you but 😷
Ni kama unapaniki sasa dogo. Utafeli kabla hujaanza hiyo vita!
 
Katiba mpya inayompa raia umiliki kamili, na nguvu ya kuuza kwa hiyari ardhi kwa bei anayoiridhia.

Lakini waTanzania wakiambiwa waunge mkono katiba mpya wanadhani katiba mpya inahusu masuala ya kuchukua dola kupitia vyama vya kisiasa.

Kumbe katiba mpya inahusu haki kamili raia kumiliki ardhi na haki nyingi zingine tele.
 
Katiba mpya inayompa raia umiliki kamili, na nguvu ya kuuza kwa hiyari ardhi kwa bei anayoiridhia.

Lakini waTanzania wakiambiwa waunge mkono katiba mpya wanadhani katiba mpya inahusu masuala ya kuchukua dola kupitia vyama vya kisiasa.

Kumbe katiba mpya inahusu haki kamili raia kumiliki ardhi na haki nyingi zingine tele.

Wanaitaji kuelimishwa shida ata wanaoonekana wanamaono ya iko unachokisema wanaonekana ni kma hawako na msimamo ndio maana
 
Samahani .
Poleni na kazi Waheshimiwa
Natumaini mkheri wa afya
Naomba msaada wako kwa kunisaidia mawasiliano ya simu ya viongozi hawa,
1.Waziri wa Ardhi wa Tanzania wa sasa Mheshimiwa Jerry Silapha.
2.Mheshimiwa .Poul Makonda
Mi nilikuwa naomba msaada wenu kwenye jambo hili ili kisiharibike kityu.
Baba angu mimi amekumbana na changamoto ya kutwaliwa eneo lake na taasisi ya Serikali TBC .
Lakini utwaaji huu unaonekana ni batili kwani hamna malipo halali ambayo yanafanyika kutokana na kutakwa kutia sahihi kwenye hundi ya malipo takribani TShs Milioni 109.754.Ambapo malipo hayo tunayakataa kwa hoja zifuatazo;
1.Thamani ya nyumba 1 na ghofu ni takribani milion 95.2 wakati zilipojengwa mwaka 2018 na kuna kisima Milion 6 ,Kuna Mikorosho 50 ukuaji 100% na imevunwa mara 2 na miti mingine ya matunda .Eneo ni Ekari 3.5 lipo KM 1.5 kutoka Dodoma -Morogoro road.
Dodoma mjini(Mtumba (Mji wa kiserikali)).
Kutokana na mchanganuo huo thamani ya vitu hivyo kwa sasa ni kubwa na hàipaswi kuwa hio.
2.Shitaka hili lilitimiza mwaka tarehe 26.02.24 kuwepo mahakamani pasina kusikilizwa hata maramoja mpaka kumalizika kwa muda wake.
Hivyo ni viashiria vya kuwepo kwa udanganyifu.
3.Taarifa za uthamini hazikuwa sahihi kwani zinaonesha kuwa ni za kugushi na si halali.
Na ujenzi wa wavamizi hao unaendelea .

Ombi langu kwenu nyie Wana JF wenzangu wapendwa tusaidie mimi na Baba au mmoja kati yetu kuonana na viongozi wa ngazi za juu wahusikao na Ardhi ,amma naomba utusimamie wewe tupate haki yetu sisi WANYONGE.Viongozi ambao pia nalitamani niwaone ni Makonda ,Waziri wa Ardhi Mh.Jerry ,Au wa juu zaidi ya hapo maana hili jambo nadhani wanaoliangalia ni wakubwa Ndio maana Mahakama haikuwa na nguvu ya kuita shitaka hilo.
Nimeshindwa kuonana nao .Nilizuiliwa njiani pasina sababu za wazi.
Amma ,
Naomba msaada wako kwa kunisaidia mawasiliano ya simu ya viongozi hawa,
1.Waziri wa Ardhi wa Tanzania wa sasa Mheshimiwa Jerry Silapha.
2.Mheshimiwa .Poul Makonda
Makonda 0682009009
0769278080
 
Samahani .
Poleni na kazi Waheshimiwa
Natumaini mkheri wa afya
Naomba msaada wako kwa kunisaidia mawasiliano ya simu ya viongozi hawa,
1.Waziri wa Ardhi wa Tanzania wa sasa Mheshimiwa Jerry Silapha.
2.Mheshimiwa .Poul Makonda
Mi nilikuwa naomba msaada wenu kwenye jambo hili ili kisiharibike kityu.
Baba angu mimi amekumbana na changamoto ya kutwaliwa eneo lake na taasisi ya Serikali TBC .
Lakini utwaaji huu unaonekana ni batili kwani hamna malipo halali ambayo yanafanyika kutokana na kutakwa kutia sahihi kwenye hundi ya malipo takribani TShs Milioni 109.754.Ambapo malipo hayo tunayakataa kwa hoja zifuatazo;
1.Thamani ya nyumba 1 na ghofu ni takribani milion 95.2 wakati zilipojengwa mwaka 2018 na kuna kisima Milion 6 ,Kuna Mikorosho 50 ukuaji 100% na imevunwa mara 2 na miti mingine ya matunda .Eneo ni Ekari 3.5 lipo KM 1.5 kutoka Dodoma -Morogoro road.
Dodoma mjini(Mtumba (Mji wa kiserikali)).
Kutokana na mchanganuo huo thamani ya vitu hivyo kwa sasa ni kubwa na hàipaswi kuwa hio.
2.Shitaka hili lilitimiza mwaka tarehe 26.02.24 kuwepo mahakamani pasina kusikilizwa hata maramoja mpaka kumalizika kwa muda wake.
Hivyo ni viashiria vya kuwepo kwa udanganyifu.
3.Taarifa za uthamini hazikuwa sahihi kwani zinaonesha kuwa ni za kugushi na si halali.
Na ujenzi wa wavamizi hao unaendelea .

Ombi langu kwenu nyie Wana JF wenzangu wapendwa tusaidie mimi na Baba au mmoja kati yetu kuonana na viongozi wa ngazi za juu wahusikao na Ardhi ,amma naomba utusimamie wewe tupate haki yetu sisi WANYONGE.Viongozi ambao pia nalitamani niwaone ni Makonda ,Waziri wa Ardhi Mh.Jerry ,Au wa juu zaidi ya hapo maana hili jambo nadhani wanaoliangalia ni wakubwa Ndio maana Mahakama haikuwa na nguvu ya kuita shitaka hilo.
Nimeshindwa kuonana nao .Nilizuiliwa njiani pasina sababu za wazi.
Amma ,
Naomba msaada wako kwa kunisaidia mawasiliano ya simu ya viongozi hawa,
1.Waziri wa Ardhi wa Tanzania wa sasa Mheshimiwa Jerry Silapha.
2.Mheshimiwa .Poul Makonda
Acheni mbambamba chukueni hiyo milioni 109 mkaanzishe project sehemu nyingine ...mkijipanga vizuri hiyo hela inatosha kabisa
 
Samahani .
Poleni na kazi Waheshimiwa
Natumaini mkheri wa afya
Naomba msaada wako kwa kunisaidia mawasiliano ya simu ya viongozi hawa,
1.Waziri wa Ardhi wa Tanzania wa sasa Mheshimiwa Jerry Silapha.
2.Mheshimiwa .Poul Makonda
Mi nilikuwa naomba msaada wenu kwenye jambo hili ili kisiharibike kityu.
Baba angu mimi amekumbana na changamoto ya kutwaliwa eneo lake na taasisi ya Serikali TBC .
Lakini utwaaji huu unaonekana ni batili kwani hamna malipo halali ambayo yanafanyika kutokana na kutakwa kutia sahihi kwenye hundi ya malipo takribani TShs Milioni 109.754.Ambapo malipo hayo tunayakataa kwa hoja zifuatazo;
1.Thamani ya nyumba 1 na ghofu ni takribani milion 95.2 wakati zilipojengwa mwaka 2018 na kuna kisima Milion 6 ,Kuna Mikorosho 50 ukuaji 100% na imevunwa mara 2 na miti mingine ya matunda .Eneo ni Ekari 3.5 lipo KM 1.5 kutoka Dodoma -Morogoro road.
Dodoma mjini(Mtumba (Mji wa kiserikali)).
Kutokana na mchanganuo huo thamani ya vitu hivyo kwa sasa ni kubwa na hàipaswi kuwa hio.
2.Shitaka hili lilitimiza mwaka tarehe 26.02.24 kuwepo mahakamani pasina kusikilizwa hata maramoja mpaka kumalizika kwa muda wake.
Hivyo ni viashiria vya kuwepo kwa udanganyifu.
3.Taarifa za uthamini hazikuwa sahihi kwani zinaonesha kuwa ni za kugushi na si halali.
Na ujenzi wa wavamizi hao unaendelea .

Ombi langu kwenu nyie Wana JF wenzangu wapendwa tusaidie mimi na Baba au mmoja kati yetu kuonana na viongozi wa ngazi za juu wahusikao na Ardhi ,amma naomba utusimamie wewe tupate haki yetu sisi WANYONGE.Viongozi ambao pia nalitamani niwaone ni Makonda ,Waziri wa Ardhi Mh.Jerry ,Au wa juu zaidi ya hapo maana hili jambo nadhani wanaoliangalia ni wakubwa Ndio maana Mahakama haikuwa na nguvu ya kuita shitaka hilo.
Nimeshindwa kuonana nao .Nilizuiliwa njiani pasina sababu za wazi.
Amma ,
Naomba msaada wako kwa kunisaidia mawasiliano ya simu ya viongozi hawa,
1.Waziri wa Ardhi wa Tanzania wa sasa Mheshimiwa Jerry Silapha.
2.Mheshimiwa .Poul Makonda
1. Ukae chini utulie na Kisha uandike Tena vizuri hili bandiko lako ili ueleweke vizuri, na ili uweze kupatiwa msaada unaohitajika. Uandike matukio yote kwa mtiririko mzuri ili Watu wengine tofauti na hao uliowataja waweze kukusaidia endapo kama wanaweza kufanya hivyo.
Ikiwezekana, omba msaada kwa Watu wa karibu yako ili wakusaidie kuandika vizuri.
 
Back
Top Bottom