Wasukuma ndiyo nani nchi hii? Wala msitutishe na kelele zenu. Yàani hizo kelele za Josephat Gwajima?. Rais SSH tunaye hadi 2030Mama yupi Mkuu? Huyu huyu au mwingine? Kawekewa mtego na tayari keshanaswa. Hana pakupumulia tena. "Wasukuma Wanaamini kuwa ng'ombe wanaoswagwa na mwanamke kamwe hawafiki mnadani" . Dalili tayari ziko wazi.
Umejitahidi kupiga majungu kwelikweliKuna kila dalili ndani ya chama mfumo dume umetamalaki na una mizizi mirefu sana... Kuna kundi kubwa huko haliamini katika uwezo wa mwanamke kushika nafasi kuu kwenye utawala/uongozi wa nchi .. Wengine ni kutokana na tamaduni mila na desturi zao..Na wengine ni kutokana na unyanyapaa tu na silika za mfumodume zilizojengeka miongoni wao.. Ni kati yao hawa wote tayari wanapiga jalamba kuelekea 2025..
Hakuna anayetaka kuharibu lakini kila mmoja anaomba mwenzake aharibikiwe
Kila mmoja ana timu zake zinazodukua na kutafuta taarifa za wengine...Kila mmoja ana wapambe wake, wapiga filimbi wake, chawa wake nknk.. Ni mwendo wa kutafutana kimya kimya!
Vinara front liners au front contenders ni wale wale vijana wetu ndani ya chama wanaotaka kuwapiga chini wazee
Waziri wa fedha
Aliyewahi kuwa waziri wa mazingira
Aliyewahi kuwa waziri wa afya na utalii pia
Kuna pia yule waziri mwenye asili mbili
Na wengineo
Wote wanajiweka vizuri kielimu.. Tayari wawili wana PhD... Wote kwa nyakati tofauti walipiga pesa ndefu za chama na serikali pia... Wanafahamiana vizuri tu nani alipata ngapi kwenye nini..wote wana miradi mingi na wanaingiza vipato vya kutosha sana
Wote wana ushindani mkubwa sana.. Wanataka kuoneshana ubabe wao kwa wao...Huyu waziri wa sasa wa kibubu amepata pa kupigia kiulaiiini sana...na ni wazi wenzake wanaona gere kupitiliza..lakini naye hana hakika kama atadumu kwenye hiyo nafasi mpaka 2025..kwahiyo sasa ni mwendo wa chukua chako mapemaaa
Common sharing iliyopo kati ya wote hawa ni moja...hawataki katiba mpya...wanajua hicho ni kitanzi cha ndoto zao...! Hi yo basi tutarajie drama za kila aina
Drama za tozo na miamala
Drama za wapingao chanjo
Drama za bidhaa kupanda bei
Drama za usalama nknk
Vitu vidogo vidogo vitakuzwa na kuhakikisha vinabaki midomoni mwa watu kwa muda mrefu...Mama atakimbizwa kimbizwa sana ili wenye mipango yao wajipange vema...
Ni mchakamchaka kuelekea 2025[emoji2996][emoji2996][emoji2996][emoji2996]
Hii ni dhana tu unayoitunga hapa.Kuna kila dalili ndani ya chama mfumo dume umetamalaki na una mizizi mirefu sana... Kuna kundi kubwa huko haliamini katika uwezo wa mwanamke kushika nafasi kuu kwenye utawala/uongozi wa nchi .. Wengine ni kutokana na tamaduni mila na desturi zao..Na wengine ni kutokana na unyanyapaa tu na silika za mfumodume zilizojengeka miongoni wao.. Ni kati yao hawa wote tayari wanapiga jalamba kuelekea 2025..
Mataga na CDM kilchobaki ni kutukana na kuishi dunia ya kukataa ukweliWewe akili huna umepanda daraja huku Makato yameongezeka work done equals to zero!
Kati yao hakuna anayefaa kuwa rais hata mmoja. Ni basi tu kwa sababu ya mfumo mbovu wa demokrasia yetuKuna kila dalili ndani ya chama mfumo dume umetamalaki na una mizizi mirefu sana... Kuna kundi kubwa huko haliamini katika uwezo wa mwanamke kushika nafasi kuu kwenye utawala/uongozi wa nchi .. Wengine ni kutokana na tamaduni mila na desturi zao..Na wengine ni kutokana na unyanyapaa tu na silika za mfumodume zilizojengeka miongoni wao.. Ni kati yao hawa wote tayari wanapiga jalamba kuelekea 2025..
Hakuna anayetaka kuharibu lakini kila mmoja anaomba mwenzake aharibikiwe
Kila mmoja ana timu zake zinazodukua na kutafuta taarifa za wengine...Kila mmoja ana wapambe wake, wapiga filimbi wake, chawa wake nknk.. Ni mwendo wa kutafutana kimya kimya!
Vinara front liners au front contenders ni wale wale vijana wetu ndani ya chama wanaotaka kuwapiga chini wazee
Waziri wa fedha
Aliyewahi kuwa waziri wa mazingira
Aliyewahi kuwa waziri wa afya na utalii pia
Kuna pia yule waziri mwenye asili mbili
Na wengineo
Wote wanajiweka vizuri kielimu.. Tayari wawili wana PhD... Wote kwa nyakati tofauti walipiga pesa ndefu za chama na serikali pia... Wanafahamiana vizuri tu nani alipata ngapi kwenye nini..wote wana miradi mingi na wanaingiza vipato vya kutosha sana
Wote wana ushindani mkubwa sana.. Wanataka kuoneshana ubabe wao kwa wao...Huyu waziri wa sasa wa kibubu amepata pa kupigia kiulaiiini sana...na ni wazi wenzake wanaona gere kupitiliza..lakini naye hana hakika kama atadumu kwenye hiyo nafasi mpaka 2025..kwahiyo sasa ni mwendo wa chukua chako mapemaaa
Common sharing iliyopo kati ya wote hawa ni moja...hawataki katiba mpya...wanajua hicho ni kitanzi cha ndoto zao...! Hi yo basi tutarajie drama za kila aina
Drama za tozo na miamala
Drama za wapingao chanjo
Drama za bidhaa kupanda bei
Drama za usalama nknk
Vitu vidogo vidogo vitakuzwa na kuhakikisha vinabaki midomoni mwa watu kwa muda mrefu...Mama atakimbizwa kimbizwa sana ili wenye mipango yao wajipange vema...
Ni mchakamchaka kuelekea 2025[emoji2996][emoji2996][emoji2996][emoji2996]
Mkuu usiseme hivyo watu wa dizaini hii huwa wanahama chama then wanapeperusha bendera tunabaki kushangaa ...Waziri wa fedha hatumtaki kabisa kwanza ni mnafki na kichwani ni zero licha ya kuwa na PhD.
NB:CCM nayo hatuitaki.
PhD ya openWaziri wa fedha hatumtaki kabisa kwanza ni mnafki na kichwani ni zero licha ya kuwa na PhD.
NB:CCM nayo hatuitaki.
Marry Nagu alikua kwenye first line akifuatiwa na Migiro, Amina Salum Ally then Samia… ukitaka kubali ukitaka acha.
Narudia tena Boys2men wanazichezea siasa za nchi hii kwa akili ya juu sana!!
Elezea kidogo kuhusu hii taasisi! Nani ni viongozi wake?Boys2men ni taasisi
Asante kwa kunifumbua macho!Namuona mzee wa Msoga kwa mbaali kwenye hicho ulichosema!!!Samia hatakua na mpinzani ndani ya chama 2025 mark my words….
Mchezo wa Samia kukaa hapo alipo ulisukwa kwa ustadi mkubwa sana…
Ilikua either Samia, Asha rose au Mary Nagu….2015
Trust me Samia is there until the mission accomplished!!
Hii nchi Boys2men wanazichezea siasa zake kwa akili ya juu sana!
Jk huyu mpaka kifo cha kawaida kimkute. Hakuna wa kumchezea rafu.atatwaliwa hapo katikati
Hakuna mwanasiasa anakubali kuachia madaraka kirahisi, siyo rahisi Samia aachie hivihivi tu Hadi abanwe na katiba. Hata Mbowe hakubali kuachia madaraka Ila chadema sijui Kama Kuna katiba kuhusu muda wa uongozi.Kuna maneno Samia aliyatoa wakati anahutubia juzi alipopewa taarifa ya Tume ya uchaguzi pamoja na kuwasifia; akasema, "yeye na wagombea wenzake kwa sasa watulie wafanye kazi muda wa kugombea bado".
Mwanzo nilidhani Samia hatagombea, hasa kutokana na body language yake kuonekana hawezi kuendana na kasi ya mamlaka aliyonayo, pia incompetence aliyonayo upstairs, lakini kwa kauli yake hiyo, imenifanya nianze kubadili mtazamo wangu taratibu, madaraka matamu.
Mwenyekiti wa chama anajua haya?Kuna kila dalili ndani ya chama mfumo dume umetamalaki na una mizizi mirefu sana. Kuna kundi kubwa huko haliamini katika uwezo wa mwanamke kushika nafasi kuu kwenye utawala/uongozi wa nchi. Wengine ni kutokana na tamaduni mila na desturi zao. Na wengine ni kutokana na unyanyapaa tu na silika za mfumodume zilizojengeka miongoni wao. Ni kati yao hawa wote tayari wanapiga jalamba kuelekea 2025.
Hakuna anayetaka kuharibu lakini kila mmoja anaomba mwenzake aharibikiwe
Kila mmoja ana timu zake zinazodukua na kutafuta taarifa za wengine. Kila mmoja ana wapambe wake, wapiga filimbi wake, chawa wake nknk.. Ni mwendo wa kutafutana kimya kimya!
Vinara front liners au front contenders ni wale wale vijana wetu ndani ya chama wanaotaka kuwapiga chini wazee
Waziri wa fedha
Aliyewahi kuwa waziri wa mazingira
Aliyewahi kuwa waziri wa afya na utalii pia
Kuna pia yule waziri mwenye asili mbili
Na wengineo
Wote wanajiweka vizuri kielimu.. Tayari wawili wana PhD. Wote kwa nyakati tofauti walipiga pesa ndefu za chama na serikali pia. Wanafahamiana vizuri tu nani alipata ngapi kwenye nini..wote wana miradi mingi na wanaingiza vipato vya kutosha sana
Wote wana ushindani mkubwa sana. Wanataka kuoneshana ubabe wao kwa wao. Huyu waziri wa sasa wa kibubu amepata pa kupigia kiulaiiini sana na ni wazi wenzake wanaona gere kupitiliza, lakini naye hana hakika kama atadumu kwenye hiyo nafasi mpaka 2025 kwahiyo sasa ni mwendo wa chukua chako mapemaaa
Common sharing iliyopo kati ya wote hawa ni moja, hawataki katiba mpya wanajua hicho ni kitanzi cha ndoto zao...! Hi yo basi tutarajie drama za kila aina
Drama za tozo na miamala
Drama za wapingao chanjo
Drama za bidhaa kupanda bei
Drama za usalama nknk
Vitu vidogo vidogo vitakuzwa na kuhakikisha vinabaki midomoni mwa watu kwa muda mrefu. Mama atakimbizwa kimbizwa sana ili wenye mipango yao wajipange vema.
Ni mchakamchaka kuelekea 2025[emoji2996][emoji2996][emoji2996][emoji2996]
nchi ganiMasalia ya mwendazake mnahangaika sana
Mnafanya kila mbinu kumfitinisha mama na kumpaka matope lakini yeye ndo kwanza hana habari na nyie yuko bize kujenga nchi
Kila pakacha na mazaga yake tafadhaliMkuu mshana, najua wewe Ni kamanda kindakindaki, Sasa ebu lete mchakato wa huko ufipa ambao unaujua vizuri badala ya kuhangaika na mambo ya CCM.
Au 2025 hamko kwenye game?
Nisaidie kupiga tumba na marimba goma linogeUmejitahidi kupiga majungu kwelikweli
Mkuu ukiona kiongozi anang'ang'ania Kiti sio anakipenda Kwa mapenzi yake Bali ni lile kundi linalonufaika Kwa Uongozi wake ndio wanaomshinkikiza Kwa gharama yeyote ile.Kuna maneno Samia aliyatoa wakati anahutubia juzi alipopewa taarifa ya Tume ya uchaguzi pamoja na kuwasifia; akasema, "yeye na wagombea wenzake kwa sasa watulie wafanye kazi muda wa kugombea bado".
Mwanzo nilidhani Samia hatagombea, hasa kutokana na body language yake kuonekana hawezi kuendana na kasi ya mamlaka aliyonayo, pia incompetence aliyonayo upstairs, lakini kwa kauli yake hiyo, imenifanya nianze kubadili mtazamo wangu taratibu, madaraka matamu.
Nitashangaa mpaka nianguke chino kama hayajui haya na mengineyo mengiMwenyekiti wa chama anajua haya?
SawaKuna kila dalili ndani ya chama mfumo dume umetamalaki na una mizizi mirefu sana. Kuna kundi kubwa huko haliamini katika uwezo wa mwanamke kushika nafasi kuu kwenye utawala/uongozi wa nchi. Wengine ni kutokana na tamaduni mila na desturi zao. Na wengine ni kutokana na unyanyapaa tu na silika za mfumodume zilizojengeka miongoni wao. Ni kati yao hawa wote tayari wanapiga jalamba kuelekea 2025.
Hakuna anayetaka kuharibu lakini kila mmoja anaomba mwenzake aharibikiwe
Kila mmoja ana timu zake zinazodukua na kutafuta taarifa za wengine. Kila mmoja ana wapambe wake, wapiga filimbi wake, chawa wake nknk.. Ni mwendo wa kutafutana kimya kimya!
Vinara front liners au front contenders ni wale wale vijana wetu ndani ya chama wanaotaka kuwapiga chini wazee
Waziri wa fedha
Aliyewahi kuwa waziri wa mazingira
Aliyewahi kuwa waziri wa afya na utalii pia
Kuna pia yule waziri mwenye asili mbili
Na wengineo
Wote wanajiweka vizuri kielimu.. Tayari wawili wana PhD. Wote kwa nyakati tofauti walipiga pesa ndefu za chama na serikali pia. Wanafahamiana vizuri tu nani alipata ngapi kwenye nini..wote wana miradi mingi na wanaingiza vipato vya kutosha sana
Wote wana ushindani mkubwa sana. Wanataka kuoneshana ubabe wao kwa wao. Huyu waziri wa sasa wa kibubu amepata pa kupigia kiulaiiini sana na ni wazi wenzake wanaona gere kupitiliza, lakini naye hana hakika kama atadumu kwenye hiyo nafasi mpaka 2025 kwahiyo sasa ni mwendo wa chukua chako mapemaaa
Common sharing iliyopo kati ya wote hawa ni moja, hawataki katiba mpya wanajua hicho ni kitanzi cha ndoto zao...! Hi yo basi tutarajie drama za kila aina
Drama za tozo na miamala
Drama za wapingao chanjo
Drama za bidhaa kupanda bei
Drama za usalama nknk
Vitu vidogo vidogo vitakuzwa na kuhakikisha vinabaki midomoni mwa watu kwa muda mrefu. Mama atakimbizwa kimbizwa sana ili wenye mipango yao wajipange vema.
Ni mchakamchaka kuelekea 2025[emoji2996][emoji2996][emoji2996][emoji2996]
Mkuu samahani mm sio Ngosha na wala siko upande ule ila nayaona yanayoratibiwa na wao. Ni suala la muda Tu nawe utagundua jambo Lao.Wasukuma ndiyo nani nchi hii? Wala msitutishe na kelele zenu. Yàani hizo kelele za Josephat Gwajima?. Rais SSH tunaye hadi 2030