Pre GE2025 Uropokaji wa Tundu Lissu ni kilema hawezi kubadilika. Tumkatae kabla hajaleta maafa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sio Lisu pekee mbona Kuna mwingine Aliwahi kuwa Rais,mlikuwa wapi kumkataa mapema?
 
Kama ni mropokaji na mlijua hilo, Abdul alikwenda kutafuta nn kwake??? Watz siyo wajinga.
Abdul alienda kwake kwa sababu alikaribishwa akuvamia.

Alafu Lissu sio kiongozi wa kwanza nchi hii kuongea na mtoto wa Rais. Yeye ni mropokaji ndio maana kaona ni ajabu.

Viongozi wa upinzani wanaongea na marais, wanaongea na viongozi wa dini, wanaongea na mabalozi, wanaongea na watu wa juu wa usalama. Ila wanakausha kiume.

Lissu kwa uropokaji ule huwezi kuwa na trust ya kuongea nae jambo lolote la siri.
 
Ni mkweli asiyepindisha maneno, watu wa ukweli wanamtaka. Ya nini kuwa na kiongozi mwenye siri za ajabuajabu? Wenye makandokando wanamuogopa sana huyu mwamba lissu
Top secrets ndio zinaongoza nchi kama unakuwa kiongozi ila hauna koromelo basi hufai kabisa kuongoza taasisi yoyote kubwa.
 
Top secrets ndio zinaongoza nchi kama unakuwa kiongozi ila hauna koromelo basi hufai kabisa kuongoza taasisi yoyote kubwa.
huko juu hajafika, akifika anajua code zinazoongoza nchi, kuna siri hutakiwi kuzitoa hata kidogo mpaka unakufa
 
huko juu hajafika, akifika anajua code zinazoongoza nchi, kuna siri hutakiwi kuzitoa hata kidogo mpaka unakufa
Lissu ameshakuwa public figure anajiandaa kuwa mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani na mgombea urais maana yake ikitokea bahati mbaya anaweza kuangukia kwenye urais. Kama hawezi kutunza siri in a process maana yake hico ni kilema hakitakaa kipone hivyo ni hatari kwa national security.
 
Itakuwa ajabu na wendawazimu ikiwa wajumbe wa mkutano mkuu watakengeuka na kuamua kumchagua mgombea anayeungwa mkono na washindani wao kisiasa na wakamuacha huyo wanayemuhofia.Wajumbe mkifanya hivyo dhambi hiyo haitawaacha salama itawatafuna mpaka kizazi chenye cha tatu
 
Nipo tayari kwa mdahalo na yoyote muda wowote.
Peleka upuuzi mdahalo na lissu akimbie mbowe we sisimizi utaweza?!.
Team Nkurunzinza mmeumia sana baada ya lissu kuanika madhaifu ya bwana enu eeh mlitaka asiseme ukweli
Kama kusema ukweli ni kuropoka ndio tunamtaka kiongozi wa aina hii tofauti na msiri mbowe anayetuuza kwa mama abdul.
 
akiwa rais ataapa kulinda siri za nchi. Why aropoke kutoa siri za nchi wakati ana maofisa usalama wa taifa? Kwenye huu mtifuano ni kampeni tu ajiweke front vew kwa wapiga kura wake dhidi ya mpinzani wake
 
Ukipata kusikia hiyo ya 2015 ndipo utahamishia Timu yake kabisa. Kilichofanyika na kukubali kutokubaliana ili taasisi iendeleee
 
Kabla hajaanza kumuumbua dikteta uchwara Mbowe mbona haujawahi kusema Lissu ni mropokaji?
 
Inawezekana kweli ndivyo alivyo ila kwa watu smart hiyo ni mbaya.Wakigundua friji lako haligandishi watakukwepa.tatzo la watanzania tunapenda kuongea zaidi kuliko kutenda.yaani mtu ukijua kupiga mdomo vizuri ndio unaonekana unafaa kua kiongozi bila kujua kuongea na kuongoza ni vitu tofauti.Wafuasi wake wanaamini kelele zake zitawaogopesha ccm wanasahau kua ccm haiogopi wapiga kelele.Mtikila alikua mpiga kelele na mjenga hoja mzuri na jasiri kuliko lissu na ccm waliishia kumtazama tu abwabwaje uku wakifanya mambo yao.Labda wengine walikua hawajazaliwa ndo maana wanamuona lissu kama tumaini lao.ngoja tuone muda utatuambia zaidi.
 
Tofautisha kati ya kuropok na kuongea facts. Mi nachojua lisu hapepesi macho kwenye rushwa yoyote hata rushwa za mbowe kwa mademu wale atasema tu
 
Inaonekana TAL kama anawachachafya sana..... Kila wakati mnamwandama....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…