Urusi huenda imebakia na nguvu ya mashambulizi kutoka angani tu, ardhini pumzi imekata?

urusi imesema sio vita ni operation ya kijeshi
 
Utaambiwa ana mabomu ya nyuklia ameyaficha 😊😊😄😄, sjui wengine wana mabomu ya maji..teh teh teh ...
 
Warus wanachukuliaga vita poah sana yan walivyokua wanaingia kwa msururu ,Ukraine utafikir msafara wa harus ,hawana protection wanajiendea kama mazombi,kuna mji huko karibu na kyv waliuteka ,wasinyo na akili wamejikusanya sehemu kama wanachek mpira ,aisee wamefanyiwa counter attack moja wamejeuka majivu,walionusurika nadhan hawatarud urusi
 
Msituchagulie pakuwapapasa hao UKRAINE
VIVA PUT IN
 
Urusi wapo vizuri tuu, shida ni Ukraini wanajeshi kujichanganya na Raia, inaleta shida kwa Urusi kufanya upembuzi yakinifu kwa vita ya aridhini. Ndio maana Urusi ameona isiwe tabu ngoja atokee angani sasa.
Sasa uko angani wanawezaje kufanya upembuzi wa raia?Kati ya angani na aridhini n wapi ilikuwa rahisi kufanya huo upembuzi,uongo mwingine muwe mnajipanga kwanza.
 
Uteketeze 80% ya nguvu za kijeshi halafu ushindwe kumiliki hata kijiji? Hizi propaganda za kijamaa ni kiboko.
 
Ndivyo urusi wamekuambia wamemaliza? Mbona kichekesho hiki
 
Biden ameongea kauli moja iliyotafsiriwa kama ni kuruhusu Putin ashughulikiwe. Ni mjeuri huyu mrusi anayependa kuona Soviet Union ya wakati ule ikiwa inarudi miaka ya sasa lakini Wamarekani wameshaitawala sana dunia kwa sasa.

Ukishanunua simu ya kisasa umekubali kutawaliwa na mmarekani, huo ni ushawishi ambao Russia hana kwa sasa. Wanamzunguka Putin na asipokuwa mwangalifu watamfanya kitu mbaya.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23]
 
Unajiongopea mkuu... Russia anachezea kichapo Kila kukicha... Russia amebakiza kurusha makombora Tena ambayo hayana dira Wala muelekeo..
 
Mkuu umepiga kwenye mshono hapo kwenye mstari wa mwisho
 
Mbwembwe tu hizo Russia ameshazea za chembe Ukraine....mlisema siku 2 Ukraine itakuwa imetekwa leo unaenda mwezi mambo magumu...
 
Hawezi kuanzisha vita na NATO Ukraine tu inamtoa jasho kama sio haja kubwa
 
Hapo kichwan hamna kitu

Ingekua 80% ya nguvu ya jeshi ya Ukraine imeteketezwa s Ukraine yote ingekua chini ya Urus? Yani 20% ya nguvu inaizuia urusi ishindwe chukua hata mji mmoja ??

Nyie ndio mnasababisha CCM inaendelea kudunda.. ujinga mtupu
Saivi wanapigana kama wakora hamna jeshi
 
Nguvu za mtu ni pamoja na support aliyonayo. Huwezi ukabagua eti hizi ni nguvu za fulani ana zile ni za mtu mwingine.

Ukraine ana marafiki wa kweli. Urusi ana marafiki wanafiki
 
Waache wauane tu mi nasubiri vita iishe maana watu watakuwa hakuna wataanza kuita watu kutoka nchi zingine ili wakuze uchumi wao hapo sasa ndio kuokota dodo kwenye mpera chap naibuka zangu yukreini kuwa raia nishachoka na mfumuko wa bei bongo,
 
[emoji16][emoji16][emoji16] Western propaganda Ni shiida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…