Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Haya mmeshinda, wajukuu wa GobachevMsituchagulie pakuwapapasa hao UKRAINE
VIVA PUT IN
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya mmeshinda, wajukuu wa GobachevMsituchagulie pakuwapapasa hao UKRAINE
VIVA PUT IN
Leo hii imekuwa kuondoa laboratories?Hivi unaujua ukubwa wa eneo la Ukraine mpaka ufikiri operesheni ingeisha ndani ya siku tatu?
Pia ujue kuwa hii siyo vita halisi kama USA na Iraq, hii ni operations maalumu ambayo ililenga kuondoa nguvu za kijeshi za Ukraine ambazo marekeni walikuwa wamewajengea kwa lengo la kuweka makombora ya kuilenga Urusi. Wakati Russia wanailalamikia Marekani na kutaka security assurance lengo hasa lilikuwa kutaka marekani aondoe maabara za biological weapons na aache kusuply makombora kwa Ukraine. Karibu 80% ya nguvu za kijeshi ya Ukraine imeteketezwa!
Wanazi wa Urusi bado hamjakoma kututajia masilaha yenu ya kwenye karatasi lakini vitani si chochote wala loloteAnga linafungwa na nini? Kufuli za Solex ama?
Kuna nchi za kufungia anga kama Libya ila sio Russia.
Unaifahamu Tu-160? Ka google usome, hio ni bomber ambayo supersonic inapiga mach 2.05 at altitude.
Inabeba ton 20 ya free falling body ikiwemo silaha za nuclear cause ni nuclear capable bomber.
Ndio ndege yenye kasi zaidi, kubwa zaidi ya kijeshi na nzito zaidi kuwahi kuruka ambayo ina sweep wing.
Nimesema hio ndege ni supersonic kwenye speed kali licha ya ukubwa wake, mbawa zake huwa zinarudi nyuma inakua kama Mig.
Ikiwa slow inapanua mbawa zake kama Boeing 787 au ndege ya abiria ya kawaida.
Hio ndege ina uwezo wa kuipiga Kiev kukabaki shimo baadae kizazi kijacho wakaja kudhani kuna kimondo kilitua kama kule Arizona. Tena inapiga nje kabisa ya anga umbali wa km 5500.
Kumbuka hizo wanazo zaidi ya 60.
Kuna kitu kinaitwa s500 kuna mdau mmoja amesema humu ina uwezo wa kuzuia hata punje ya mchele[emoji23][emoji23][emoji23], mi namuunga mkono, kwa maana s500 inashusha satellite.
Kama radar inaona tone la mvua basi hata punje ya mchele ukiirusha tokea Kiev itaonekana tu ikiingia Russia.
Nato haina uwezo wa kuifungia Russia anga.
Ndio maana nikasema labda wafunge na kufuli.
Unaposikia Russia wanasema wanafanya operation ujue wanafanya operation.
Putin hataki kuichukua Ukraine iliyo vipande vipande anaitaka nzima nzima, na Ukraine.
Kwa hio mkuu Russia si nchi ya mchezo mchezo kwenye vita.
Halafu huwezi kumpangia mtu kushambulia vipi.
NATO AKIINGIA UNIJULISHE MKUU.... LAKINI ATAKUA KISHAPOTEZA POINT, HAIWEZEKANI ATOE AHADI, THEN ASHINDWE KUSIMAMIA ALICHOKIAHIDI KWA ZELENSKY.Kwanini operesheni imechukua muda.?
Ninavyokwambia ndo kwanza jamaa wanajipanga kwenda huko.
Hii wiki yapili sasa washafika.
Midege yoote mikubwa ya Mrusi ni kubeba mizigo.
Supersonic unazosema hizo kabisaa zinaangushwa mapema tu.
Haziruhusiwi kuruka hata mail moja.
Kaa utulie hapo.
Mrusi kamaliza ila hawa ndio wanaanza.
HAHAHA SEMA KWA SAUTI KUBWA MKUU... HIYO CHANZO GANI UMETOA MKUU UINGEREZA SIO MWANACHAMA WA NATO?Mkuu hujui kitu ,hao wako hapo ndani si kutoka Canada wala wapi.
Washashushwa mi najua 2 weeks ago.
Na wanaongezeka,Mwingereza hayupo NATO wala EU alijitoa.
Kapeleka battalion ,silaha na misaada ya wamama ,watoto na wazee.
Fikiria tu anampelekea nani silaha huku hamna wapiganaji?
Una mashairi mazuri ya taarabu..uki ungana na mzee yusuph na hakika taarabu ita tamalaki tenaAnga linafungwa na nini? Kufuli za Solex ama?
Kuna nchi za kufungia anga kama Libya ila sio Russia.
Unaifahamu Tu-160? Ka google usome, hio ni bomber ambayo supersonic inapiga mach 2.05 at altitude.
Inabeba ton 20 ya free falling body ikiwemo silaha za nuclear cause ni nuclear capable bomber.
Ndio ndege yenye kasi zaidi, kubwa zaidi ya kijeshi na nzito zaidi kuwahi kuruka ambayo ina sweep wing.
Nimesema hio ndege ni supersonic kwenye speed kali licha ya ukubwa wake, mbawa zake huwa zinarudi nyuma inakua kama Mig.
Ikiwa slow inapanua mbawa zake kama Boeing 787 au ndege ya abiria ya kawaida.
Hio ndege ina uwezo wa kuipiga Kiev kukabaki shimo baadae kizazi kijacho wakaja kudhani kuna kimondo kilitua kama kule Arizona. Tena inapiga nje kabisa ya anga umbali wa km 5500.
Kumbuka hizo wanazo zaidi ya 60.
Kuna kitu kinaitwa s500 kuna mdau mmoja amesema humu ina uwezo wa kuzuia hata punje ya mchele[emoji23][emoji23][emoji23], mi namuunga mkono, kwa maana s500 inashusha satellite.
Kama radar inaona tone la mvua basi hata punje ya mchele ukiirusha tokea Kiev itaonekana tu ikiingia Russia.
Nato haina uwezo wa kuifungia Russia anga.
Ndio maana nikasema labda wafunge na kufuli.
Unaposikia Russia wanasema wanafanya operation ujue wanafanya operation.
Putin hataki kuichukua Ukraine iliyo vipande vipande anaitaka nzima nzima, na Ukraine.
Kwa hio mkuu Russia si nchi ya mchezo mchezo kwenye vita.
Halafu huwezi kumpangia mtu kushambulia vipi.
Urusi imeanza vita lini?Wanazi wa Urusi bado hamjakoma kututajia masilaha yenu ya kwenye karatasi lakini vitani si chochote wala lolote
Basi tuna maoni tofauti, mi naona nguvu ya US na Nato ni kwene hollywood, na kuwapiga wavaa kanzu huko jangwani.Sifa anazopewa urusi ni tofauti na uhalisia. Hata kama ukraine anasaidiwa na NATO bado urusi alitakiwa atuaminishe nguvu alizo nazo.
Putin is extremely overrated!
Urusi wapo vizuri tuu, shida ni Ukraini wanajeshi kujichanganya na Raia, inaleta shida kwa Urusi kufanya upembuzi yakinifu kwa vita ya aridhini. Ndio maana Urusi ameona isiwe tabu ngoja atokee angani sasa.
Ukitaka kujua nguvu ya US jiulize kwann Kila mara US ndio anawawekea vikwazo wenzake na yy ni nadra kusikia amewekewa vikwazo na nchi nyingine.Basi tuna maoni tofauti, mi naona nguvu ya US na Nato ni kwene hollywood, na kuwapiga wavaa kanzu huko jangwani.
Back up yote ya Nato wanashindwa kumtoa Russia Ukraine?[emoji23][emoji23]
We unapiga story gani, hebu kasome, Iran imewekewa vikwazo na walipigana na Iraq miaka 8, Iraq ikipewa kila aina ya msaada, USSR, US, EU zote zilimsapoti Sadam, ikafikia wakati wakaona hawa kuwamaliza ni kuwapiga sumu, na hapo vita ikasimama, lakini mshindi hakuwepo.Iran anauza mafuta nje hauzi?
Vikwazo ambavyo havigus unapopatia pesa hivyo sio vikwazo , wahongwe stop kuuza wese nje uone miaka miwili itapita wapo
Alafu Iran is no where close to that, Soleman asinge uwawa kirahisi hivyo
Russia hakuwah fka alipofika Venezuela but where is Venezuela today??
US anashinikiza na analazimisha nchi washirika kwa kuwapa wengine vikwazo.Ukitaka kujua nguvu ya US jiulize kwann Kila mara US ndio anawawekea vikwazo wenzake na yy ni nadra kusikia wamewekewa vikwazo na nchi nyingine.
Kwann Urusi china nao wasilazimisheUS anashinikiza na analazimisha nchi washirika kwa kuwapa wengine vikwazo.
Alipopagusa hivi sasa hapawezi, amegusa kwenye maslahi binafsi ya EU.
Hakuna kikwazo cha maana hata kimoja alichopewa Iran, as long as Iran anafanya Biashara na dunia hana kikwazo cha maana, taifa lipigwe pini lisifanye Biashara na mtu uone , hata Venezuela sio kwamba walipigwa vikwazo moja kwa moja, walikua navyo mda tu wanadunda, ilivyofika 2019 kila kitu kikwapiga pin, hawakumaliza mwaka , yani miez 12 ilitosha kuwatoa kama taifa tajiri America ya kusin hadi taifa masikini zaidWe unapiga story gani, hebu kasome, Iran imewekewa vikwazo na walipigana na Iraq miaka 8, Iraq ikipewa kila aina ya msaada, USSR, US, EU zote zilimsapoti Sadam, ikafikia wakati wakaona hawa kuwamaliza ni kuwapiga sumu, na hapo vita ikasimama, lakini mshindi hakuwepo.
Vikwazo kwa nchi kama Russia haviwezi kufanya kazi, US hana uwezo wa kuipa Russia vikwazo, kuipa vikwazo Russia ni kuipa vikwazo EU.
Ngoja uone kama EU hawajamgeuka US siku za usoni kuhusu gas.
US penyewe maisha yamepanda mpaka watu wanavuka mpaka kwenda kununua mafuta Mexico.
Kuna nchi gani ilishawahi kuitingisha US hivyo kiuchumi?
We unacheza..
We unapiga story gani, hebu kasome, Iran imewekewa vikwazo na walipigana na Iraq miaka 8, Iraq ikipewa kila aina ya msaada, USSR, US, EU zote zilimsapoti Sadam, ikafikia wakati wakaona hawa kuwamaliza ni kuwapiga sumu, na hapo vita ikasimama, lakini mshindi hakuwepo.
Vikwazo kwa nchi kama Russia haviwezi kufanya kazi, US hana uwezo wa kuipa Russia vikwazo, kuipa vikwazo Russia ni kuipa vikwazo EU.
Ngoja uone kama EU hawajamgeuka US siku za usoni kuhusu gas.
US penyewe maisha yamepanda mpaka watu wanavuka mpaka kwenda kununua mafuta Mexico.
Kuna nchi gani ilishawahi kuitingisha US hivyo kiuchumi?
We unacheza..
Nimeshakuambia US haina uwezo wa kuiwekea vikwazo Russia mkuu, haina huo uwezo, Russia ni super power, nimekuambia US haina uwezo huo.Hakuna kikwazo cha maana hata kimoja alichopewa Iran, as long as Iran anafanya Biashara na dunia hana kikwazo cha maana, taifa lipigwe pini lisifanye Biashara na mtu uone , hata Venezuela sio kwamba walipigwa vikwazo moja kwa moja, walikua navyo mda tu wanadunda, ilivyofika 2019 kila kitu kikwapiga pin, hawakumaliza mwaka , yani miez 12 ilitosha kuwatoa kama taifa tajiri America ya kusin hadi taifa masikini zaid
Venezuela hata toilet paper wanakaa folen kupata
Hakuna taifa lolote lenye uwezo wa ku pona vikwako , halipo , wakikupiga pini unakwenda na maji in blink of an eye
Ndiyo.Kumbe na wazungu matajili nao huwa wanapeleka laptop kwa fundi kama siye makapuku?😄😄
Raisi waWarus wanachukuliaga vita poah sana yan walivyokua wanaingia kwa msururu ,Ukraine utafikir ms
Raisi wa Ukraine anasema nato ni waogaWanazi wa Urusi bado hamjakoma kututajia masilaha yenu ya kwenye karatasi lakini vitani si chochote wala lolote
Hakuna kikwazo cha maana hata kimoja alichopewa Iran, as long as Iran anafanya Biashara na dunia hana kikwazo cha maana, taifa lipigwe pini lisifanye Biashara na mtu uone , hata Venezuela sio kwamba walipigwa vikwazo moja kwa moja, walikua navyo mda tu wanadunda, ilivyofika 2019 kila kitu kikwapiga pin, hawakumaliza mwaka , yani miez 12 ilitosha kuwatoa kama taifa tajiri America ya kusin hadi taifa masikini zaid
Venezuela hata toilet paper wanakaa folen kupata
Hakuna taifa lolote lenye uwezo wa ku pona vikwako , halipo , wakikupiga pini unakwenda na maji in blink of an eye
[emoji2][emoji2][emoji2]MAIKI TUNAIPELEKA KWA WARUSI WEUSI WAMATUMBI WENZETU NDUGUZE NA PUTIN WAJUKUU WA GOBACHEV[emoji23][emoji23][emoji23]