Urusi huenda imebakia na nguvu ya mashambulizi kutoka angani tu, ardhini pumzi imekata?

Usiwe mbishi, raia wanaoishi mpakani wanavuka kuingia Mexico kuchukua mafuta, usiwe mbishi.

Vikwazo Russia walijua miaka 10 nyuma kwamba kuna siku kuna hili jambo litatokea, walishajiandaa kisaikolojia.

Ujinga wa US ni kuchukua hatua ambazo zinatabirika, kwa hilo watu wanajipanga na mahesabu makali, hata Putin alisema watapita sehemu ngumu lakini kwaa muda tu.

Ni mwezi mmoja to EU hali ni mbaya, sasa ngoja ipite hata miezi 6 uone EU kama hawajanunua gas kwa ruble.

Qatar wenyewe wamesema, hakuna namna ya kuziba sehemu ya Russia imeacha.
 
Puttin kafanya kosa liitwalo PUTSCH na sasa majeshi yake yana haha .
ukifatilia habari humu ndani za wajuzi wa mambo utadhani mda wowote moscow inatekwa. manake utasikia wanajeshi elfu ishirini wa urusi wameuawa, ndege elfu mbili zimedondoshwa, mara sijui vifaru elfu sita vimeteketezwa mara wanajeshi wa urusi hawana chakula wanakimbia hovyo vitani.lakini punde tena unaona rais wa ukraine akilalama kuomba msaada NATO na kuomba mazungumzo. hii vita imejaa propaganda sana kila upande. Kukumbusha tu vikosi vya NATO na marekani vilivyovamia serbia mwaka 1999 iliwachukuwa siku 78 (24 March – 10 June 1999) za kipigo cha mbwa koko kuweza kuwasambaritisha wayugoslavia toka kosovo. Ukraine sio somalia usisahau hilo
 
Hapo kichwan hamna kitu

Ingekua 80% ya nguvu ya jeshi ya Ukraine imeteketezwa s Ukraine yote ingekua chini ya Urus? Yani 20% ya nguvu inaizuia urusi ishindwe chukua hata mji mmoja ??

Nyie ndio mnasababisha CCM inaendelea kudunda.. ujinga mtupu
Warusi weusi wanataabu kweli
 
hatuez kutengeneza hata stick za meno sababu tunaamini vitu vigumu na kupuuzia vitu vyepes , Urusi kashavamia majirani zake wengi so na wao pia ni biashara ya Mtoto wa Biden ?
I'm sure you didn't get my point.
Inaelekea comprehension ni tatizo kubwa kwako.
Hatuwezi kuandika mambo yote ili watu kama wewe muelewe haraka na kirahisi.
Kifupi Russia amesukumwa kilazima kuivamia Ukraine sababu ya mambo yaliyokuwa yanaendelea nyuma ya pazia na hadharani ambayo ni kitisho kwa existence ya Russia.
Pia ni hatari kwa dunia maana lab za biological weapon kama hizi kule Wuhan zimetuletea Covid-19. Wanufaika wa hizi silaha ni wachache lakini hasara kwa wengi dunia nzima.
 
Kwahiyo ndugu huelewi hata vita inapiganiwa wapi?
 
Iraq sasa hivi hana vikwazo wamefundishwa democracy ni nini sasa hivi ni taifa la mfano kwa democracy na uchumi
 
Tuanzia hapa, uchumi wa Urus ni $1.4 Trillion USD
Budget ya jeshi USA ni $1 trillion .. let that sink in first

Haya tuendelee
Tatizo lako husomi , gas anayo supply Russia ulaya USA pekee anaweza i replace , kasome habari za juz na jana mpango USA kuuza gas ulaya

Hayo mataifa ya ulaya yanamtegemea USA kupitiliza ,Russia zaid ya kuwauzia vitu ambavyo wanaweza vipata pengine hakuna anachowapa,

USA Ana uwezo wa kuwaamrisha mataifa makubwa hayo yasifanye Biashara na Russia na yakatii including China

China kila mwaka anafanya Biashara USA zenye thaman ya almost $900 Bilion.. wakat huo huo china anacho faidika na Urusi n kuwakopesha tu , riba ya few $ Bilion .. sasa je, ingekua n ww , uko tayari upoteze Biashara ya almost a trillion dollars kwasababu ya riba ya dola Bilion 10??

Acha utani , USA n USA full stop
 
Basi tuna maoni tofauti, mi naona nguvu ya US na Nato ni kwene hollywood, na kuwapiga wavaa kanzu huko jangwani.

Back up yote ya Nato wanashindwa kumtoa Russia Ukraine?😂😂
Nionavyo mimi NATO hawataki kujitokeza moja kwa moja ili kuepusha WWW III. Russia anachapika sana kwenye ground sema anawaaminisha vichwa ngumu kuwa ni Western propaganda. Angekuwa hachapiki ange balance taarifa kwa kutoa taarifa za upande wake mara kwa mara.
Anachokifanya Urusi ni kulipua majengo tu hatuoni madhara mengine makubwa ukiachilia hayo majengo na baadhi ya raia na wanajeshi wachache wanaokufa
 
wameshindwa kufunga anga la saudia kwa wanamgambo wa houthi ,wataweza la ukraine,
 
vita inapiganwa ndani ya ardhi ya ukraine hakuna jibu tofauti. ikitokea NATO wamegusa ardhi ya urusi ama ikitokea urusi imegusa ardhi ya NATO basi na sisi huku umatumbini bia zitakuwa hazinyweki tena
Sasa habari ya Moscow umeiingizaje kwenye hoja yako ya awali?
 
Ulitaka Urusi ilipue nini kwa mfano.
 
Sina muda wa ku google hizo data, but najua uchumi wa USA ni mkubwa japo ulichifanya wewe ni kuwa detaileds zaidi.

USA na uchumi wake mkubwa nambie nikiwa na dola 100, kati ya USA na China ni wapi nitapata mahitaji ya kujikidhi zaidi?

Kingine hio gas toka USA inafikaje EU, ne gas ya USA kuiuza EU ina bei sawa na gas ya Russia, na mwisho USA ana uwezo kuihudumia EU gas kwa asilimia 40 zote, bado Russia alikuwa anajenga NordStream 2 which means demand ilikuwa inaongezeka.

Je uchukuzi wa gas kwa meli na bomba upi una gharama nafuu?

Acha kusikiliza VoA.
 
Mkuu operation haiangalii unatumia hypersonic, cruise missile ama ndege na vifaru.

Lengo ni kumpiga adui, mi nashangaa sana kusema eti Russia anachapika ardhini.

Ukraine inaomba msaada wa ndege vita na vifaru, Russia inapiga depot za mafuta na chakula, hivi unaona hii vita Ukraine atatoka?
 
Tuje hapo kwenye bidhaa , ndipo pa Muhimu zaid

Mnunuz mkubwa wa bidhaa za china ni USA akifuatiwa na European union alafu asia etc.. nchi ya kwanza Africa ni South Africa ambayo global kwa nchi zinazonunua bidhaa china inashika nambar 20

In other words , swala lako la ukiwa na $100 wapi utapata bidhaa kiwepes linakosa nguvu manake top 40 wote matajiri .. hivyo tu

Gas itasafiri kwa meli lkn usisahau OPEC wapo , umoja wa wazalisha na wauza mafuta dunian, wana nguvu isiyo himilika, they can increase oil production na gas muda wowote. Usisahau uwepo wao , muhimu sana. Saiv wapo wametulia wanaangalia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…