Nyamsusa JB
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 567
- 1,564
Kwani we vita unailewaje, unadhani ni kupaka rangi Majumba eti? Huwezi kusema eti Urusi hajui vita, Angalia kwanza mechi zake. Angalia ambavo USA anaenda kwa heshima sehemu alipo Urusi.Siyo kweli, warusi wanajua kurusha makombora na kubomoa majumba tu, siyo kupigana vita. Wanavyofanya sasa hivi Ukraine ndivyo walivyofanya Aleppo Syria na pia walifanya hivyo Grozny Chechnya. Siku chache zijazo Ukraine itapata Patriot Air Defense System uone kama Urusi itaweza vita tena.
rudia kusoma taratibu...Sasa habari ya Moscow umeiingizaje kwenye hoja yako ya awali?
Wewe bado hukunijibu, jibu ni kwamba ukiwa na dola 100 unaweza kujihudumia na kujikidhi zaidi ukiwa China kuliko USA.Tuje hapo kwenye bidhaa , ndipo pa Muhimu zaid
Mnunuz mkubwa wa bidhaa za china ni USA akifuatiwa na European union alafu asia etc.. nchi ya kwanza Africa ni South Africa ambayo global kwa nchi zinazonunua bidhaa china inashika nambar 20
In other words , swala lako la ukiwa na $100 wapi utapata bidhaa kiwepes linakosa nguvu manake top 40 wote matajiri .. hivyo tu
Gas itasafiri kwa meli lkn usisahau OPEC wapo , umoja wa wazalisha na wauza mafuta dunian, wana nguvu isiyo himilika, they can increase oil production na gas muda wowote. Usisahau uwepo wao , muhimu sana. Saiv wapo wametulia wanaangalia tu
Niliisoma ile hoja nilipofikia ya kuacha laptop kwa fundi, nikagundua ni aina ya Dr.Shika Junior.Kumbe na wazungu matajili nao huwa wanapeleka laptop kwa fundi kama siye makapuku?[emoji1][emoji1]
Eti Russia kawekewa vikwazo kwenye nini?Sasa kwa nini EU inalalamika kununua kwa pesa ya Russia bidha ambayo imezuiwa kutoka nje ya Russia?.[emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna kikwazo cha maana hata kimoja alichopewa Iran, as long as Iran anafanya Biashara na dunia hana kikwazo cha maana, taifa lipigwe pini lisifanye Biashara na mtu uone , hata Venezuela sio kwamba walipigwa vikwazo moja kwa moja, walikua navyo mda tu wanadunda, ilivyofika 2019 kila kitu kikwapiga pin, hawakumaliza mwaka , yani miez 12 ilitosha kuwatoa kama taifa tajiri America ya kusin hadi taifa masikini zaid
Venezuela hata toilet paper wanakaa folen kupata
Hakuna taifa lolote lenye uwezo wa ku pona vikwako , halipo , wakikupiga pini unakwenda na maji in blink of an eye
Mimi ndio kanichosha kabisa.😄😄Niliisoma ile hoja nilipofikia ya kuacha laptop kwa fundi, nikagundua ni aina ya Dr.Shika Junior.
Tukizama sana huku tutoka nje , PPP ina uhusiano wa moja kwa moja na GDP ya taifa , utakuta taifa lama Luxembourg wako pazuri kuliko china au USAWewe bado hukunijibu, jibu ni kwamba ukiwa na dola 100 unaweza kujihudumia na kujikidhi zaidi ukiwa China kuliko USA.
China wana Purchasing Power kubwa kuliko USA, hivyo hizo namba andika tu kwenye karatasi, thats why production ya viwanda vikubwa vyote vipo huko China, cause kuna skilled but cheap wafanyakazi.
Ndege ya Russia yenye capability sawa na US lazima ya US itakua bei juu.
Kwa hio hizo namba zisikutishe mkuu.
Hizo budget zisikutishe, Russia na budget yao ndogo wana silaha zote aambazo US anazo.
Halafu kingine USA ana base nyingi zaidi duniani duniani, lazima budget yao iwe juu.
Achana kabisa na kitu inaitwa PPP.
So nikuambie tu Russiaa na budget yake ndogo kiulinzi anaingia vitani na US na mshindi haonekani, sasa unambie hizo namba kazi yake nini hasa?
Hakuna mtu alie lalamika , hiyo sehem haipo , watu wamekumbushwa tu Biashara itafanyika kama tulivyo afikiana kwenye mikataba na sii vinginevyoEti Russia kawekewa vikwazo kwenye nini?Sasa kwa nini EU inalalamika kununua kwa pesa ya Russia bidha ambayo imezuiwa kutoka nje ya Russia?.[emoji23][emoji23][emoji23]
Tukizama sana huku tutoka nje , PPP ina uhusiano wa moja kwa moja na GDP ya taifa , utakuta taifa lama Luxembourg wako pazuri kuliko china au USA
Inawezekana kweli technology aliyo nayo USA na Mrusi anayo, lkn n katika kiwango kipi? Na pia uwezo wa kupigana, Russia akapigana na USA leo , vita itapigwa hapo hapo Urusi, marekan yatapigwa maslah yake tu ila yenyewe iko salamaa
Kwa nini biashara iendelee kufanyika wakati imezuiwa kutoka kwa vikwazo?.Au wewe unaweza kufanya biashara ambayo haipo?.Hakuna mtu alie lalamika , hiyo sehem haipo , watu wamekumbushwa tu Biashara itafanyika kama tulivyo afikiana kwenye mikataba na sii vinginevyo
Jeshi la Ukraine limefundishwa na Marekani baada ya kuvamiwa Crimea, angalia linavyowachachafya warusi. Hujawahi kusikia hata siku moja General wa Jeshi la Marekani anauwawa vitani au kushikwa mateka. Kama uko karibu na askari yeyote wa JWTZ mwulize maana ya kamanda cheo cha kanali au General kuuwawa vitani. Kurusha makombora ya mbali siyo ujuzi wa vita.Kwani we vita unailewaje, unadhani ni kupaka rangi Majumba eti? Huwezi kusema eti Urusi hajui vita, Angalia kwanza mechi zake. Angalia ambavo USA anaenda kwa heshima sehemu alipo Urusi.
Luxem kuwa tajiri inachangia na watu wachache walio nao, nchi ina watu laki sita.Tukizama sana huku tutoka nje , PPP ina uhusiano wa moja kwa moja na GDP ya taifa , utakuta taifa lama Luxembourg wako pazuri kuliko china au USA
Inawezekana kweli technology aliyo nayo USA na Mrusi anayo, lkn n katika kiwango kipi? Na pia uwezo wa kupigana, Russia akapigana na USA leo , vita itapigwa hapo hapo Urusi, marekan yatapigwa maslah yake tu ila yenyewe iko salamaa
Ok, kafuatilie ufahamu kwanza mission ya urusi kuivaimia Ukraine urudi tena.Sijui .
Ulitaka walipue nini?
Ukifuatilia tangu awali urusi alisema anamalizana na Ukraine mapema sana na sasa umekatika mwezi. Kwa nini nisiamini kwamba Ukraine anaweza kushinda maana sijaona cha ziada kwa urusi zaudi ya kulipua makazi ya watu na baadhi ya wanajeshi wa Ukraine kuuwawa. Pamoja na hayo bado Ukraine inaua wanajeshi wa urusi na pia vifaa vyao vya kivita vinahatibiwa kila siku.Mkuu operation haiangalii unatumia hypersonic, cruise missile ama ndege na vifaru.
Lengo ni kumpiga adui, mi nashangaa sana kusema eti Russia anachapika ardhini.
Ukraine inaomba msaada wa ndege vita na vifaru, Russia inapiga depot za mafuta na chakula, hivi unaona hii vita Ukraine atatoka?
Story yako kama ya mshauri mmoja wa kilimo cha matikiti niliekutana nae mwaka jana nilivyoingia fiel mambo yakawa tofauti kabisa alinitia hasara. Mshenzi yuleeee mill 4 zilienda na majiAnga linafungwa na nini? Kufuli za Solex ama?
Kuna nchi za kufungia anga kama Libya ila sio Russia.
Unaifahamu Tu-160? Ka google usome, hio ni bomber ambayo supersonic inapiga mach 2.05 at altitude.
Inabeba ton 20 ya free falling body ikiwemo silaha za nuclear cause ni nuclear capable bomber.
Ndio ndege yenye kasi zaidi, kubwa zaidi ya kijeshi na nzito zaidi kuwahi kuruka ambayo ina sweep wing.
Nimesema hio ndege ni supersonic kwenye speed kali licha ya ukubwa wake, mbawa zake huwa zinarudi nyuma inakua kama Mig.
Ikiwa slow inapanua mbawa zake kama Boeing 787 au ndege ya abiria ya kawaida.
Hio ndege ina uwezo wa kuipiga Kiev kukabaki shimo baadae kizazi kijacho wakaja kudhani kuna kimondo kilitua kama kule Arizona. Tena inapiga nje kabisa ya anga umbali wa km 5500.
Kumbuka hizo wanazo zaidi ya 60.
Kuna kitu kinaitwa s500 kuna mdau mmoja amesema humu ina uwezo wa kuzuia hata punje ya mchele[emoji23][emoji23][emoji23], mi namuunga mkono, kwa maana s500 inashusha satellite.
Kama radar inaona tone la mvua basi hata punje ya mchele ukiirusha tokea Kiev itaonekana tu ikiingia Russia.
Nato haina uwezo wa kuifungia Russia anga.
Ndio maana nikasema labda wafunge na kufuli.
Unaposikia Russia wanasema wanafanya operation ujue wanafanya operation.
Putin hataki kuichukua Ukraine iliyo vipande vipande anaitaka nzima nzima, na Ukraine.
Kwa hio mkuu Russia si nchi ya mchezo mchezo kwenye vita.
Halafu huwezi kumpangia mtu kushambulia vipi.
Sio ishu ya kushinda wala kushindwa.Ukifuatilia tangu awali urusi alisema anamalizana na Ukraine mapema sana na sasa umekatika mwezi. Kwa nini nisiamini kwamba Ukraine anaweza kushinda maana sijaona cha ziada kwa urusi zaudi ya kulipua makazi ya watu na baadhi ya wanajeshi wa Ukraine kuuwawa. Pamoja na hayo bado Ukraine inaua wanajeshi wa urusi na pia vifaa vyao vya kivita vinahatibiwa kila siku.
[emoji1][emoji1] umeifanya siku yangu. Watu walikuwa na data za ushindi wa Russia kama walikuwepo kwenye kikao cha ukoo...MAIKI TUNAIPELEKA KWA WARUSI WEUSI WAMATUMBI WENZETU NDUGUZE NA PUTIN WAJUKUU WA GOBACHEV[emoji23][emoji23][emoji23]
UK alijitoa EU wala si NATO, huna haki ya kuandika chochote humu usichokijua bila ya ushahidi sahihi.Mkuu hujui kitu ,hao wako hapo ndani si kutoka Canada wala wapi.
Washashushwa mi najua 2 weeks ago.
Na wanaongezeka,Mwingereza hayupo NATO wala EU alijitoa.
Kapeleka battalion ,silaha na misaada ya wamama ,watoto na wazee.
Fikiria tu anampelekea nani silaha huku hamna wapiganaji?
Nikishasikia mtu anajenga hoja kwa kutumia neno 'Western propaganda' naachana nae.Sio ishu ya kushinda wala kushindwa.
Ishu ni kuipunguza Ukraine nguvu za kijeshi na kuondoa uongozi wa unazi.
Hakuna sehemu Russia walisema specific ni muda gani watatumia kumaliza mission, wala ishu ilikuwa si kuitawala Ukraine.
Nambie nu wapi Russia walisema wataipiga Ukraine within a week or two days or specific time walitaja?
Vitu vingine ni propaganda za west kujipa hope na kudanganya watu kwamba Russiaa ni ya kawaida.
Na wewe nikuulize toka vita imeanza kwa nini hata missile 1 haijafika Russia toka Ukraine?
[emoji16][emoji16][emoji16]Nionavyo mimi NATO hawataki kujitokeza moja kwa moja ili kuepusha WWW III. Russia anachapika sana kwenye ground sema anawaaminisha vichwa ngumu kuwa ni Western propaganda. Angekuwa hachapiki ange balance taarifa kwa kutoa taarifa za upande wake mara kwa mara.
Anachokifanya Urusi ni kulipua majengo tu hatuoni madhara mengine makubwa ukiachilia hayo majengo na baadhi ya raia na wanajeshi wachache wanaokufa