Hakuna kikwazo cha maana hata kimoja alichopewa Iran, as long as Iran anafanya Biashara na dunia hana kikwazo cha maana, taifa lipigwe pini lisifanye Biashara na mtu uone , hata Venezuela sio kwamba walipigwa vikwazo moja kwa moja, walikua navyo mda tu wanadunda, ilivyofika 2019 kila kitu kikwapiga pin, hawakumaliza mwaka , yani miez 12 ilitosha kuwatoa kama taifa tajiri America ya kusin hadi taifa masikini zaid
Venezuela hata toilet paper wanakaa folen kupata
Hakuna taifa lolote lenye uwezo wa ku pona vikwako , halipo , wakikupiga pini unakwenda na maji in blink of an eye