Urusi imewataka raia wake wote waondoke mara moja Israel

Mtu amefanya tathimini akaona kuna.uwezekano mkubwa wa vita baina ya Iran na Israel, ndipo akaona ni vema awatahadharishe raia wake waondoke HALAFU ANAKUJA MRUSI WA KIZIMKAZI ANASEMA ETI NETANYAHU AMELIKOROGA KWA. URUSI.
 
Mtu amefanya tathimini akaona kuna.uwezekano mkubwa wa vita baina ya Iran na Israel, ndipo akaona ni vema awatahadharishe raia wake waondoke HALAFU ANAKUJA MRUSI WA KIZIMKAZI ANASEMA ETI NETANYAHU AMELIKOROKA KWA. URUSI.
We yahudi wa Simanjiro lugha inapanda kweli soma hapa shoga wako kafanya nini
 
Hii ni makusudi.
Wiki iliyopita alirusha makombora Tartus Russia wakayadungua.
Sasa karusha tena doh!!
 
Red army ni jeshi la China uwage na akili pimbi wewe

USSR
 
Kuilinganisha Urusi,Taifa linalopigana na nchi 32+ tajiri duniani na Israel ni kuikosea heshima.Hata kama huwapendi Urusi basi appreciate uwezo wao.
 
kuna mtu nilimwambia kuwa yale makombora ya iran yamerushwa juzi yalikuwa masaada wa russia

jamaa alinikashifu eti niende chat nini sijui hahhaha
Mimi ndiye nilikwambia uende Chitchat na haukusema kwa msaada sababu hakuna asyejua kwamba Iran anasaidiwa na Russia, wewe ulisema yamerushwa na Russia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…