Urusi imewataka raia wake wote waondoke mara moja Israel

Urusi imewataka raia wake wote waondoke mara moja Israel

Kama Russia akiwapokea Waisrael 1.5M kati ya 7.5M maana yake MOSSAD & IDF wameanza ku operate na kutumia fursa ya kuungwa kwao mkono kimataifa hadi na washirika wa adui zao. Si ajabu kesho Marekani aseme ana raia wao 2.5M. Hao wengine 3.5 nao kwa njia hiyo wakapewa pass za kwenda UK, France, Canada, Australia n.k hapo Israel pakatumiwa kama nuclear battle field dhidi ya Iran ambao kama hawana tunnels za kuwatoroshea nchi jirani sijui wataponaje. Inshort waisrael 1.5M wamepata hifadhi Russia, watarudi baadae kusafisha nchi na kuijenga upya tena kwa ukubwa wa eneo na kusitawi sana. Yupi aliyejitokeza kusema ana raia wake Iran na anataka kuwachukuwa?
 
Ezekieli 38:4
nami nitakugeuza na kutia kulabu katika mataya yako, nami nitakutoa, pamoja na jeshi lako lote, farasi na hao wapandao farasi, wote wamevaa silaha za namna zote, jeshi kubwa sana, wenye ngao na kigao, wote wakishika upanga;

Putini atafia kwenye mlima huko Israel
Israel hii hii ya Wayahudi Feki ndo ya kuitisha Russia iliyoundiwa hadi Kesho la Pamoja la NATO??
 
Urusi kwa sasa inatawaliwa sana na watu wenye akili kubwa acha tu...Israel kapiga bomu kambi ya Urusi syria mrusi kapotezea kimyaaa, Israel aendelee kupambana na hali yake 😆😅
 
IMG_2744.jpeg

Hali itakuja kuwa mbaya katika haya mataifa Hali siyo nzuri hata kidogo
 
Back
Top Bottom