Kweli wewe mbeyakuna mtu nilimwambia kuwa yale makombora ya iran yamerushwa juzi yalikuwa masaada wa russia
jamaa alinikashifu eti niende chat nini sijui hahhaha
Labda ashinde nanjaaUkraine anaenda kushinda vita
SawaRussia is just strategic to make Iran happy to keep her an ally at this juncture.
Patamu apooLa msingi Zayonist Nayo yameanza kuishi kama digidigi....😀
Hv unavuta bangi ? Ukraine kavamiwa halaf ndo unamlaumu mtu mweusi kanyimwa ubongo"Fuск Israel & Fuск Ukraine, fascism has no place in this world"
- The Russian Army🇷🇺
Kwan russia ameshinda ukraineLabda ashinde nanjaa
Alitaka awaachie urusi nchiHv unavuta bangi ? Ukraine kavamiwa halaf ndo unamlaumu mtu mweusi kanyimwa ubongo
Israeli media claim that Hezbollah has begun to expand the shelling zone and has reached the area of Netanyahu's residenceWanatakiwa hawa raia wa waisrael nao waonje joto ya vita
Ahahahaha wanatakiwa wamchape kabisaaIsraeli media claim that Hezbollah has begun to expand the shelling zone and has reached the area of Netanyahu's residence
Wayahudi wanakiburi cha kijinga sana ila mwaka huu itakula kwao, hakuna cha taifa tele wala iron dome.Dalili mbaya sana hizi, hatari iliyofikia inaskitisha
Israel hii hii ya Wayahudi Feki ndo ya kuitisha Russia iliyoundiwa hadi Kesho la Pamoja la NATO??Ezekieli 38:4
nami nitakugeuza na kutia kulabu katika mataya yako, nami nitakutoa, pamoja na jeshi lako lote, farasi na hao wapandao farasi, wote wamevaa silaha za namna zote, jeshi kubwa sana, wenye ngao na kigao, wote wakishika upanga;
Putini atafia kwenye mlima huko Israel
Duniani kumbe wajinga Bado mpo wengi.Red army ni jeshi la China uwage na akili pimbi wewe
USSR
Kama ni wayahudi fake subiri uone ufake wao basiIsrael hii hii ya Wayahudi Feki ndo ya kuitisha Russia iliyoundiwa hadi Kesho la Pamoja la NATO??
Labda kushinda na NjaaUkraine anaenda kushinda vita