Tusubiri muda uamue mkuuMzee, mashitaka ya Trump ya sasa hachomoki, yana ushahidi mzito sana. Lakini pia biden naona afya ya kizee aliyonayo, hadi 2024 shidhani kama itamruhusu kusimama.
This was likely to happen nchi za magharibi waungane na America halafu washindwe kuja na strategies za kumhujumu Mrusi? Halafu ninachoamini ni kwamba Warusi wengi wamechoshwa na utawala wa miongo kadhaa wa Puttin...Ni ngumu saana kuuwawa pia manake anajua inside out ya Putin, pia nahis kuna backup ya west na ahadi nyingi, naona washadondisha helicopter ya russia kule
Nduli putin apigwe ,ang'olewe mbupu kwa kigae cha chupa ,atobolewe macho ,atundikwe msalabani, aliwe kiboga na anyongwe hadharani uchi wa mnyama .Wapiganaji wa Wagner waelekea Moscow kuuondoa utawala wa kijeshi unaoongozwa na SERGEI SHOIGRU. Kiongozi wa Wagner anadai kwamba majeshi ya urusi yamekuwa yakishambulia kambi zao nchini UKRAINE.
Huu Uzi nitatoa update ya kila kinachoendelea.
=====
Update: Maafisa wa Ukraine wasema watatumia 'mapinduzi ya kijeshi' nchini Urusi kurejesha eneo lililochukuliwa
Katika tishio moja kwa moja kwa mamlaka ya Putin, Yevgeny Prigozhin, kiongozi wa Wagner, aliishutumu jeshi la Moscow kwa kupiga bomu askari wake na kudhibiti jiji muhimu la Urusi mapema asubuhi.
Kiongozi huyo mwenye msimamo mkali wa jeshi binafsi maarufu zaidi ulimwenguni aliahidi kwenda kwenye mji mkuu kwa kulipiza kisasi.
Katika hotuba isiyokuwa ya kawaida, Bwana Putin alilitaja tukio hilo kuwa "uhaini" na akasema wale wanaounga mkono vitisho na njia za kigaidi watapata adhabu isiyoweza kuepukika.
Rais wa Ukraine, Zelensky, alivunja ukimya na kusema kuwa hii ni mfano mwingine wa "udhaifu kamili wa Urusi".
=====
Mamlaka katika eneo la Lipetsk nchini Urusi waagiza watu kubaki nyumbani
Mamlaka katika eneo la Lipetsk nchini Urusi walitoa wito kwa watu kubaki ndani ya nyumba zao kwa sababu za usalama.
Walitoa onyo hilo kutokana na ripoti kuwa wapiganaji wa Wagner walikuwa wakitumia eneo hilo wakati wa safari yao kuelekea Moscow.
=====
Wagner wateka makao makuu ya jeshi la Urusi ukanda wa Kusini
Gavana wa Voronezh, nchini Urusi alisema Jumamosi kuwa huduma za dharura zilikuwa zikijaribu kuzima tanki la mafuta linalowaka katika kituo cha mafuta.
Zaidi ya askari zimamoto 100 na vifaa 30 vya kuzimia moto walikuwa wakifanyia kazi katika eneo hilo, alisema Gavana Alexander Gusev kupitia Telegram.
Awali Jumamosi, chanzo cha usalama nchini Urusi kiliiambia Reuters kuwa wapiganaji wa Wagner walidhibiti vituo vya kijeshi katika jiji la Voronezh, umbali wa kilomita 500 (maili 310) kusini mwa Moscow. Reuters hawakuweza kuthibitisha madai hayo.
Ohoooo dimbwi limeingia luba...Msafara wa kijeshi wa kwanza wa wapiganaji wa Wagner ukianza kutoka mji wa Rostov kuelekea Moscow. Mkuu wa Wagner amesema kwamba watapiga na kuharibu na kuchoma moto chochote kitakachojaribu kuwazuia katika safari yao ya kuelekea Moscow. Amewataka raia wa Urusi kuwa watulivu na kukaa kwenye majumba yao. Pia amewataka wanajeshi wa Urusi kuweka chini Silaha zao kwani hawana nguvu za kupambana na wapiganaji wake. View attachment 2667266
Trump ni muoga asiye na maamuzi, katika utawala wake angekutana na hili sakata angekwisha wauza Ukraine.Tusubirie, lakini kama Biden atajidanganya agombee tena ninakuhakikishia mapema saa 3 Trump atashinda
Kama kuna support Wagner watapata basi ni kutoka Russian nationalists ( who are more hostile towards Ukraine).Wegner kama Wegner hawwezi kuwa washindi Russia, isipokuwa wakipata sapoti kwa waasi wapya jeshi la Russia.
Kuhusu nini kitatokea Ukraine, sidhani kama kutakua na sababu kuendeleza mgogoro, isitoshe walipigana kama kazi na sio vinginevyo
Hiyo ni vita ya ndani na zaidi wakikamata kambi hawapati upinzani bali wanaungwa mkono.Kuna watu hawajui PMC hawawezi kusonga mbele maana hawana ndege vita hawana baadhi ya ammunition walizokuwa wanapewa na Jeshi. Hivyo cant fight RF.
Huyu lazima awe na Javeline na Manpad, atasingizia kaziiba Ukraine. Hizi ngoma ni hatari kwa tanks na helkopta.Hii mm nilihisi kuna siku tu kwa sababu hao WAHASI wako kipesa maana yake Dau likipanda kutoka kwa mtu mwingine anakugeuka tu kwa PESA.
Pia siku zile za katikati kiongozi wa WAHASI alilalamika kua hana silaha za kutosha anaomba aongezewe kutoka jeshi la PUTIN kosa wakamuongezea SILAHA tena nzito LEO hii kawageuka NaZo na zile alizo chukua Ukraine [emoji1255].PUTIN kazi anayo.
Slava Ukraine [emoji1255]
Huyo siyo Jasusi, ni mpenzi wa vitabu vya Wille GambaJasusi mbobezi wa Kimataifa. Mtaalamu wa Vita na Diplomasia. Mwanasiasa Mkongwe na Mwanamikakati anaweza kutuelezea zaidi hii Mbinu wanayotumia Russia kitaalamu inaitwaje.
Hii Warussi wame bwinu mbwinu mpya ya kivita kuwachanganya Ukraine na Mabeberu. Wataenda kupokea kipigo kikali. Ina jina lake kitaalamu na Yericko Nyerere anaweza elezea hii kwa kina mkamwelewa.
Kitu ambacho sijaelewa mpaka leo ni kwa nini Mrusi anatumia mamluki kwenda vitani wakati yeye ana jeshi kubwa na vifaa kibao??
Taratibu mkuu, mambo hayaendi spidi kama tunavyotaka. Mambo yanaenda kama ilivyoratibiwa.Sasa Ukraine wangetumia hii fursa kukomboa maeneo yao na kuwafurusha Warusi...
Umenikumbusha iliyokuwa USSR ilivyo sambaratishwa bila Risasi wala makomboraSasa nimeamini vita sio yale machuma yaliyopewa jina la mabomu.
Vita ni intelligence
Akiba gani aliyo nayo?wamewekwa.akiba.endapo.suala.litaingiliwa.na.majeshi.ya
NATO.na.kuwa.vita.rasmi
jichomekeniTaratibu mkuu, mambo hayaendi spidi kama tunavyotaka. Mambo yanaenda kama ilivyoratibiwa.