Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

Ni ngumu saana kuuwawa pia manake anajua inside out ya Putin, pia nahis kuna backup ya west na ahadi nyingi, naona washadondisha helicopter ya russia kule
This was likely to happen nchi za magharibi waungane na America halafu washindwe kuja na strategies za kumhujumu Mrusi? Halafu ninachoamini ni kwamba Warusi wengi wamechoshwa na utawala wa miongo kadhaa wa Puttin...
 
Wapiganaji wa Wagner waelekea Moscow kuuondoa utawala wa kijeshi unaoongozwa na SERGEI SHOIGRU. Kiongozi wa Wagner anadai kwamba majeshi ya urusi yamekuwa yakishambulia kambi zao nchini UKRAINE.

Huu Uzi nitatoa update ya kila kinachoendelea.

=====
Update: Maafisa wa Ukraine wasema watatumia 'mapinduzi ya kijeshi' nchini Urusi kurejesha eneo lililochukuliwa

Katika tishio moja kwa moja kwa mamlaka ya Putin, Yevgeny Prigozhin, kiongozi wa Wagner, aliishutumu jeshi la Moscow kwa kupiga bomu askari wake na kudhibiti jiji muhimu la Urusi mapema asubuhi.

Kiongozi huyo mwenye msimamo mkali wa jeshi binafsi maarufu zaidi ulimwenguni aliahidi kwenda kwenye mji mkuu kwa kulipiza kisasi.

Katika hotuba isiyokuwa ya kawaida, Bwana Putin alilitaja tukio hilo kuwa "uhaini" na akasema wale wanaounga mkono vitisho na njia za kigaidi watapata adhabu isiyoweza kuepukika.

Rais wa Ukraine, Zelensky, alivunja ukimya na kusema kuwa hii ni mfano mwingine wa "udhaifu kamili wa Urusi".

=====

Mamlaka katika eneo la Lipetsk nchini Urusi waagiza watu kubaki nyumbani

Mamlaka katika eneo la Lipetsk nchini Urusi walitoa wito kwa watu kubaki ndani ya nyumba zao kwa sababu za usalama.

Walitoa onyo hilo kutokana na ripoti kuwa wapiganaji wa Wagner walikuwa wakitumia eneo hilo wakati wa safari yao kuelekea Moscow.

=====

Wagner wateka makao makuu ya jeshi la Urusi ukanda wa Kusini
Gavana wa Voronezh, nchini Urusi alisema Jumamosi kuwa huduma za dharura zilikuwa zikijaribu kuzima tanki la mafuta linalowaka katika kituo cha mafuta.

Zaidi ya askari zimamoto 100 na vifaa 30 vya kuzimia moto walikuwa wakifanyia kazi katika eneo hilo, alisema Gavana Alexander Gusev kupitia Telegram.

Awali Jumamosi, chanzo cha usalama nchini Urusi kiliiambia Reuters kuwa wapiganaji wa Wagner walidhibiti vituo vya kijeshi katika jiji la Voronezh, umbali wa kilomita 500 (maili 310) kusini mwa Moscow. Reuters hawakuweza kuthibitisha madai hayo.
Nduli putin apigwe ,ang'olewe mbupu kwa kigae cha chupa ,atobolewe macho ,atundikwe msalabani, aliwe kiboga na anyongwe hadharani uchi wa mnyama .
 
Msafara wa kijeshi wa kwanza wa wapiganaji wa Wagner ukianza kutoka mji wa Rostov kuelekea Moscow. Mkuu wa Wagner amesema kwamba watapiga na kuharibu na kuchoma moto chochote kitakachojaribu kuwazuia katika safari yao ya kuelekea Moscow. Amewataka raia wa Urusi kuwa watulivu na kukaa kwenye majumba yao. Pia amewataka wanajeshi wa Urusi kuweka chini Silaha zao kwani hawana nguvu za kupambana na wapiganaji wake. View attachment 2667266
Ohoooo dimbwi limeingia luba...
 
Tusubirie, lakini kama Biden atajidanganya agombee tena ninakuhakikishia mapema saa 3 Trump atashinda
Trump ni muoga asiye na maamuzi, katika utawala wake angekutana na hili sakata angekwisha wauza Ukraine.

Ni mtu fulani hivi ambaye haaminiki wala kupaswa kupewa mamlaka ya kushikilia vitu vya siri.

Biden anaweza asipendwe kwasababu ya kuiumiza nchi kwa kuifadhili Ukraine, lakini sio dhidi ya Trump.

Trump ni very trash
 
Wegner kama Wegner hawwezi kuwa washindi Russia, isipokuwa wakipata sapoti kwa waasi wapya jeshi la Russia.

Kuhusu nini kitatokea Ukraine, sidhani kama kutakua na sababu kuendeleza mgogoro, isitoshe walipigana kama kazi na sio vinginevyo
Kama kuna support Wagner watapata basi ni kutoka Russian nationalists ( who are more hostile towards Ukraine).
Hakuna happy ending Upande wa Ukraine.
 
Kuna watu hawajui PMC hawawezi kusonga mbele maana hawana ndege vita hawana baadhi ya ammunition walizokuwa wanapewa na Jeshi. Hivyo cant fight RF.
Hiyo ni vita ya ndani na zaidi wakikamata kambi hawapati upinzani bali wanaungwa mkono.
Unataka atumie ndege kujipiga?
 
Hii mm nilihisi kuna siku tu kwa sababu hao WAHASI wako kipesa maana yake Dau likipanda kutoka kwa mtu mwingine anakugeuka tu kwa PESA.
Pia siku zile za katikati kiongozi wa WAHASI alilalamika kua hana silaha za kutosha anaomba aongezewe kutoka jeshi la PUTIN kosa wakamuongezea SILAHA tena nzito LEO hii kawageuka NaZo na zile alizo chukua Ukraine [emoji1255].PUTIN kazi anayo.
Slava Ukraine [emoji1255]
Huyu lazima awe na Javeline na Manpad, atasingizia kaziiba Ukraine. Hizi ngoma ni hatari kwa tanks na helkopta.
 
Jasusi mbobezi wa Kimataifa. Mtaalamu wa Vita na Diplomasia. Mwanasiasa Mkongwe na Mwanamikakati anaweza kutuelezea zaidi hii Mbinu wanayotumia Russia kitaalamu inaitwaje.

Hii Warussi wame bwinu mbwinu mpya ya kivita kuwachanganya Ukraine na Mabeberu. Wataenda kupokea kipigo kikali. Ina jina lake kitaalamu na Yericko Nyerere anaweza elezea hii kwa kina mkamwelewa.
Huyo siyo Jasusi, ni mpenzi wa vitabu vya Wille Gamba
 
kwa ambao hawa mjui Prig

PRIGOZHIN

- Born 1st June, 1961 in Leningrad.

- In 1981, sentenced to twelve years imprisonment for robbery and fraud.

- Began selling hot dogs in 1990 after early release from prison.

- Expanded business operations in 1995, ran popular and successful restaurants.

- Grew closer to Putin in the 2000s, served international leaders including Chirac and George Bush.

- Became known as "Putin's chef", had received government contracts and grew increasingly wealthy.

- Established Wagner Group in 2014 to support Russian forces in the war in Donbas.

- Operations expanded to Syria and Africa, became key player in 2022 Ukraine War.

- His troops led successful campaign to take Bakhmut earlier this year.

- Now leaving rebellion against Putin and Russia's military.
 
Waziri mkuu wa Italia Giorgia Meloni ,amesema ,hatua ya wapiganaji wa Kirusi, Wagner kuteka makao makuu ya jeshi na miji miwili nchini Urusi, ni ishara ya uwepo wa ugomvi ndani ya utawala wa Moscow.
 
Back
Top Bottom