Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

Umeelewa swali au unajizima data ? Ubora wa jeshi la Urusi umejidhihirisha leo ? urusi sio wa kuomba majadiliano kbs
Tumia akili

Na usilazimishe fikra zako dhaifu zipenye katika kundi la watu, Naona unatumia nguvu nyiiingi kudisplay kitu ambacho hakipo.

Tunaweza kukuelewesha Lkn kuhojiana na wewe hapa Ni kupoteza Muda kabisa. Hili linatosha
 
ngozi nyeusi bhna tabu tupu kazi kupiga kelele kushadadia mambo yasiyo wahusu,mara cjui putin atakoma sijui wagner kafanyaje upuuzi mtupu.
badala muangalie ya nchini kwenu kazi kuleta ujuaji thats why i sayed black people waliumbwa kwa majaribio ndo zikaja race nyingne uwezo wenu wa kufikiri ni poor
 
Jimbo la nani?

Umefurahi enh
Ushawahi kuona uasi unafanywa na mgongo wa chura na zile kombi za kizamani. Huku wakiwa na tuvifaru twa kizamani kabisa.

Ile ilikuwa sanaa bro. Dunia iko kasi inabidi jambo ulishabikie baada ya siku mbili sio kichwakichwa. Hahahah
 
Mkuu wewe una ngozi ya blue?, au ndo nyani haoni kundule πŸ™„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…