Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

Unaweza ukasoma wewe pia sio lazima mimi.
Unaweka dini mbele ( ukidhani mie ni muislam ).
Usilolijua mie ni mkristo wa kuzaliwa na wa Ubatizo.
Jews hawahusiani chochote na wakristo, wanafana na waislam kuliko hata wakristo.
So, usiparamie mambo kwa Mlengo wa kidini ( ulizoletewa ).
Sisi waislamu tunawaona mayahudi ni wabaya kuliko wakristo.La kushangaza wakristo wengi wanawaona ni ndugu zao kuliko waislamu.
 
Kitu kizito kutoka west kinaweza kikatua Moscow hapo kwa jina la Wagner amini usiamini
Ilikuwa ni ujinga na upumbavu mkubwa watu kushabikia kuwa NATO amefyata mkia kwa Russia.
Tuliwaambia NATO anapigana akiwa amekaa mezani na kunywa mvinyo...pro Putin walitutukana sana.

Hadi sasa uchumi wa Russia utayumba zaidi ya miaka 20 ijayo.

Putin hana uhakika kuwa salama hadi muda huu na ujao.

Tusubiri na tuombe uzima...nahisi Nato wako bega kwa bega na Wegner
 
Mapigano kati ya Wanajeshi wa Urusi na wapiganaji wa Wagner yameripotiwa katika barabara kuu (M2 Hiway) inayoelekea Moscow kutoka mji wa Rostov. Wanajeshi wa Urusi wametimua mbio na kuacha nyuma misururu ya silaha zao.
IMG_20230624_135841_391.jpg
 
Wapiganaji wa Wagner waelekea Moscow kuuondoa utawala wa kijeshi unaoongozwa na SERGEI SHOIGRU. Kiongozi wa Wagner anadai kwamba majeshi ya urusi yamekuwa yakishambulia kambi zao nchini UKRAINE.

Huu Uzi nitatoa update ya kila kinachoendelea.

====

President Vladimir Putin vowed Saturday he would not allow Russia to slip into civil war, after the leader of the Wagner mercenary force seized a key military headquarters overseeing the offensive in Ukraine.

The rapidly moving events mark the most serious challenge yet to the Kremlin chief's long rule and Russia's most serious security crisis since he came to power in late 1999.

Wagner chief Yevgeny Prighozin said his troops had taken control of the military command center and an airbase in the southern city of Rostov-on-Don, and vowed to topple Moscow's top military leaders.

Responding in a televised address, Putin slammed his former ally — whose private army provided some of the most successful shock troops in Moscow's offensive in Ukraine — for a "stab in the back" that posed a threat to Russia's very survival.

"Any internal turmoil is a deadly threat to our statehood and to us as a nation. This is a blow to Russia and to our people," Putin said.

"This battle, when the fate of our people is being decided, requires the unification of all forces."

"What we have been faced with is exactly betrayal. Extravagant ambitions and personal interests led to treason," Putin said, referring to Prigozhin, who built a powerbase as a catering contractor to the Kremlin, and now runs a powerful private military force.

"All those who consciously stood on the path of betrayal, who prepared an armed rebellion, stood on the path of blackmail and terrorist methods, will suffer inevitable punishment, before the law and before our people," Putin vowed.

The Russian president's speech came shortly after Prighozin posted a message of his own, apparently filmed in Rostov-on-Don, accusing the Russian military leadership of betrayal and failure in the ongoing battle against Ukrainian forces.

"A huge amount of territory is lost. Soldiers have been killed, three, four times more than what it says in documents shown to the top," he said, accusing military commanders of hiding the true scale of Russian losses in Ukraine from the Kremlin.

"Military sites in Rostov, including an aerodrome, are under control," he said, adding that warplanes taking part in the Ukraine offensive "are leaving as normal."

The Moscow Times

Vita na Magharibi ni vigumu sana, keshaahidiwa mahali pema
 
'chickens have come home to roost', is normally used to mean that the bad things that someone has done in the past have come back to bite or haunt the individual. Kuua watu wasio na hatia na kuharibu nchi yao Mungu hawezi kukuacha salama karma itawarudia mandondocha ya dikteta Putin.
 
Back
Top Bottom