Wao waendelee kupanga tu itakopofika muda wanayalipua watakuta Wagner walishavuka kitambooooKama inavyoonekana kwenye picha hapo. Urusi inapanga kuyalipua madaraja 3 yanayoingia Moscow ili kuwazuia wapiganaji wa Wagner kuingia katika mji huo. View attachment 2667360
Ukraine ilipaswa iwasaidie hawa waasi kuongeza nguvu kuelekea kuiteka Moscow.Kama inavyoonekana kwenye picha hapo. Urusi inapanga kuyalipua madaraja 3 yanayoingia Moscow ili kuwazuia wapiganaji wa Wagner kuingia katika mji huo. View attachment 2667360
Hawajalipwa ndio balaa linaanza hapo.Asee wakuu mm sijaelewa vizur nn kimetokea wagner kuwa against Russia wakat walikuwa wanatumiwa na puttin..nielekezeni wazee wa anga za kinataifa.
Mzee kwenye harakati za madaraka, YASIYOFIKIRIKA KABISA HUTOKEA.Sawa na Hezbollah waanze kuishambulia Iran au Tariban wa Afghanistan waishambulie Pakistani, Ngoja tuone.
Ni Suala la dakika tu Wagner, Ukraine, West soon itajulikana wapo pamoja. Kwa kifupi Putin sasa anapigana ndani ya nchi yake na maadui kibaoooooooo na hii in moment ilikuwa ikisubiriwa sanaaaaaa na west na ilishatabiriwa. Kumbuka Libya, Iraq na kwengine ilivyokuwa. Labda kama aamue liwalo na liwe atumie nyuklia na hata akifanya hivyo hana muda mrefu wa kuendelea kuitawala russia. Kwa kifupi Putin siku zake zinahesabika ameamua mwenewe kumaliza vibayaUkraine ilipaswa iwasaidie hawa waasi kuongeza nguvu kuelekea kuiteka Moscow.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Sahii reformation lazima na shukrani pia Kwa huo mfano wa ndugu zetu wanyarwandaMzee kwenye harakati za madaraka, YASIYOFIKIRIKA KABISA HUTOKEA.
Nakupa mfano, wakati RPF Wanaingia kijeshi Rwanda siku ya kwanza tu, na kupata mafanikio makubwa, Rwigyema (swahiba, mwanamipango mwenza wa Kagame) jasusi na kiongozi wa vikosi, anauawa akiwa ndani ya kambi yake mwenyewe. Hili hadi majeshi ya Rwanda yenyewe yalipigwa na Butwaa.
Baada ya tukio hili, haijalishi matokeo, kutakuwa na mageuzi makubwa ya kijeshi na kisiasa Urusi na kwenye SMO yao.
Mkuu lile ambalo unadhani kuwa haliwezekani, huwa linawezekana hapa duniani. Rafiki yako anaweza kuwa adui yako na adui anaweza kuwa rafiki kwa lengo flani.Kuna watu hawajui PMC hawawezi kusonga mbele maana hawana ndege vita hawana baadhi ya ammunition walizokuwa wanapewa na Jeshi. Hivyo cant fight RF.
Hizi ndio video ninazopendaga.Helikopta ya jeshi la Urusi ikitunguliwa huko RostovView attachment 2667284
yote yawezekana...Ukraine ilipaswa iwasaidie hawa waasi kuongeza nguvu kuelekea kuiteka Moscow.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Ha ha ha ha ha ha vita imeenda kuwa tamu saana mkuu. Na wale askari wa wagner waliopo Ukraine wanarudi russia kupambana. Sasa sijui SMO itaendeshwa na nani, kweli counter Offensive imekuwa ya akili zaidi badala ya nguvu.Hapo ukute keshawapa Ukraine coordinates za kambi za Russia ni swala la muda tu yale tuliyokuwa tukiambiwa kuwa Russia hatakuwepo Crimea mwisho wa mwaka kutokea.
Wagner wakipata nafasi hadi kesho itabidi wanajeshi watolewe Ukraine warudi Russia kupigana vita ya wenyewe kwa wenyewe
Mwenye kupenda kusaidia atutafsirie hiki kipande nimeona kina ladha fulaniThe Russian president's speech came shortly after Prighozin posted a message of his own, apparently filmed in Rostov-on-Don, accusing the Russian military leadership of betrayal and failure in the ongoing battle against Ukrainian forces.
"A huge amount of territory is lost. Soldiers have been killed, three, four times more than what it says in documents shown to the top," he said, accusing military commanders of hiding the true scale of Russian losses in Ukraine from the Kremlin.
"Military sites in Rostov, including an aerodrome, are under control," he said, adding that warplanes taking part in the Ukraine offensive "are leaving as normal."
tujadili.bandari.yetu
prigo hafikishi kesho MTU fani yake mpishi atapambana.na.jasusi
Mtu asiyeelewa mambo ndio ataona wakristo na wayahudi ni kitu kimoja.Sisi waislamu tunawaona mayahudi ni wabaya kuliko wakristo.La kushangaza wakristo wengi wanawaona ni ndugu zao kuliko waislamu.
Naamini mpaka kesho watakuwa wamefika mbali sana.Msafara wa wapiganaji wa Wagner kuelekea Moscow. View attachment 2667304