Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

Dume la mbegu hilo ,jogoo dume kiboko cha Jeshi la Urusi

Para Military group lenye mafunzo makali.kuliko jeshi la serikali ya Urusi

Hilo jeshi lina wapiganaji wenye uwezo mkubwa kuliko jeshi la serikali na lilianzishwa kwa lengo moja tu kukabiliana na jeshi la serikali kama litakuja kuasi ili.kipande cha Russia kilichobaki baada ya Soviet Union kusambaratika sababu ya uasi wa jeshi kisije tokea kwenye Russia ya Putin

Sasa wamegeuka jeshi la Russia halina uwezo wa kupambana nao hata asilimia 20

Wagner mafunzo kivita ni.mara mia ya Askari wa serikali wa rank yeyote toka chini hadi juu
Serikali ya Russia muda wowote inapinduliwa na Putin atachinjwa kama kuku wa mdondo ingawa kuna taarifa kuwa kakimbilia Iran taarifa ambazo zijadhibitisha bado kuwa baada ya press Conferenc makomandoo wa chechna na Iran ambao amekuwa akiwatumia kwenye ulinzi binafsi waliondoka naye kwenda Iran kwenye mji.mmojawapo Iran ili Wagner kama wanawinda kichwa chake wasimpate

Kwa maoni yangu siku tatu toka sasa tutajua mbivu na mbichi kama Putin yuko Kremlin au la

Tuvute subira
Washaelewana,aibu yako mkuu[emoji1787]
 
Kuna vyanzo vinadai kilichofanya Prigozhin achukie ni kitendo cha viongozi wa MOD wa Russia kuamua kuchukua udhibiti wa kuendesha shughuli za Wagner huko Ukraine, yaani Prigozhin ameona hiyo hatua itamdhoofisha yeye binafsi na kundi lake.

Huenda pia ni mbinu ya viongozi wa MOD kummaliza kabisa Prigozhin kwa wakati huu na kumuondoa kabisa kwenye mchezo na hata Putin inawezekana amebariki haya.

Japo haitakuwa rahisi kwa Wagner kumng'oa Putin Ila huu mzozo umeonyesha udhaifu uliopo huko Moscow na pengine hii Vita haikupendwa na wengi huko Moscow.

Au ni mwendelezo wa propaganda za Russia kwa malengo fulani.
Propaganda hizo[emoji1787]
 
BREAKING NEWS

Rais wa Beralus Lukashenko amefanikiwa kumshawishi mkuu wa Wagner kuweka chini silaha na kumaliza tofauti zake na jeshi la Urusi. Wapiganaji wa Wagner wamesitisha kuelekea Moscow.
Hii sasa drama
 
Wapiganaji wa Wagner waelekea Moscow kuuondoa utawala wa kijeshi unaoongozwa na SERGEI SHOIGRU. Kiongozi wa Wagner anadai kwamba majeshi ya urusi yamekuwa yakishambulia kambi zao nchini UKRAINE.

Huu Uzi nitatoa update ya kila kinachoendelea.

=====
Update: Maafisa wa Ukraine wasema watatumia 'mapinduzi ya kijeshi' nchini Urusi kurejesha eneo lililochukuliwa

Katika tishio moja kwa moja kwa mamlaka ya Putin, Yevgeny Prigozhin, kiongozi wa Wagner, aliishutumu jeshi la Moscow kwa kupiga bomu askari wake na kudhibiti jiji muhimu la Urusi mapema asubuhi.

Kiongozi huyo mwenye msimamo mkali wa jeshi binafsi maarufu zaidi ulimwenguni aliahidi kwenda kwenye mji mkuu kwa kulipiza kisasi.

Katika hotuba isiyokuwa ya kawaida, Bwana Putin alilitaja tukio hilo kuwa "uhaini" na akasema wale wanaounga mkono vitisho na njia za kigaidi watapata adhabu isiyoweza kuepukika.

Rais wa Ukraine, Zelensky, alivunja ukimya na kusema kuwa hii ni mfano mwingine wa "udhaifu kamili wa Urusi".

=====

Mamlaka katika eneo la Lipetsk nchini Urusi waagiza watu kubaki nyumbani

Mamlaka katika eneo la Lipetsk nchini Urusi walitoa wito kwa watu kubaki ndani ya nyumba zao kwa sababu za usalama.

Walitoa onyo hilo kutokana na ripoti kuwa wapiganaji wa Wagner walikuwa wakitumia eneo hilo wakati wa safari yao kuelekea Moscow.

=====

Wagner wateka makao makuu ya jeshi la Urusi ukanda wa Kusini
Gavana wa Voronezh, nchini Urusi alisema Jumamosi kuwa huduma za dharura zilikuwa zikijaribu kuzima tanki la mafuta linalowaka katika kituo cha mafuta.

Zaidi ya askari zimamoto 100 na vifaa 30 vya kuzimia moto walikuwa wakifanyia kazi katika eneo hilo, alisema Gavana Alexander Gusev kupitia Telegram.

Awali Jumamosi, chanzo cha usalama nchini Urusi kiliiambia Reuters kuwa wapiganaji wa Wagner walidhibiti vituo vya kijeshi katika jiji la Voronezh, umbali wa kilomita 500 (maili 310) kusini mwa Moscow. Reuters hawakuweza kuthibitisha madai hayo.
=====

NDEGE YA RAIS YADAIWA KUONDOKA MOSCOW, WAGNER WAKIDAIWA KUKARIBIA MJI

Inadaiwa Wapiganaji wa Wagner wameendelea na mapambano na sasa wamefika katika Mkoa wa #Lipetsk, takriban Kilometa 450 kutoka Moscow

Aidha, inaelezwa kuwa Ndege za Kivita za Urusi zimeshambulia misafara ya Wapiganaji wa #Wagner na tayari Wanajeshi wameshajipanga katika nafasi za kuulinda Mji Mkuu, Moscow

Kiongozi wa Wagner, Yevgeny #Prigozhin amedai kuwa Wapiganaji wake wamepokelewa kama 'Wakombozi' na kuwa waliweza kuchukua Makao Makuu ya Kijeshi huko #Rostov bila mapigano

Katika hatua nyingine, imeelezwa kuwa Ndege ya Rais imeonekana kuondoka #Moscow, hata hivyo Ikulu imedai kuwa Rais #Putin bado yupo katika Mji Mkuu huo

Wagner wasitisha kwenda Moscow wakidai hawawezi kumwaga damu ya Warusi

Kiongozi wa kundi la Wagner amesema kwenye chanel yake ya Telegram kwamba wamekubaliana kuacha kupeleka vikosi vyake Moscow.

Prigozhin amesema wapiganaji wanarejea kwenye kambi za Ukraine na hawataki kumwaga damu za warusi.

Makubaliano ya ghafla ya kuondoa hali ya sintofahamu yanakuja baada ya kiongozi wa Beralus, Alexander Lukashenko kufanya maongezi na Prigozhin kulingana na channel ya Kirusi ya Rossiya 24
Hatimaye nduli anapigwa kutokea ndani😁
 
Itawaramba
20230624_223032.jpg
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] umewahi hata kupitia JKT kaka? Kuna kambi iliwahi kuwa na wanajeshi kufikia 250k huo si mji mzima kaka?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
IMG_20230624_221842_939.jpg


Wagner wamewamaindi sana hawa jamaa wawili Shoigu waziri wa ulinzi na Gerasimov Chief of General Staff

Wanawalalamikia kwa yale mabomu inayosemekana walipigwa na jeshi la Urusi

Je, jamaa watajiuzulu? Au Putin atawapiga chini? Inasemekana ni mojawapo ya makubaliano kati ya Putin, Lukaschenko na Prigozhin jamaa waondoke madarakani

Lets wait and see
 
Sio rahisi, Wagner wanapigana na Ukraine sio Urusi.....west hawezi kuipa silaha Wagner.
Wahna wangeingia vitani na urusi kanuni ingekuwa hivi.

USA: hello wagner you are now an enemy of my enemy.
WAGNER: of course
USA: can we supply you with little toys to finish that lunatic leader?


Guess what? WAGNER WANGEKUBALI CHAP
 
Back
Top Bottom