mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
- Thread starter
-
- #201
Una chembechembe za udiktetaUvivu upi? Mimi kwenye kile ninacho kijua humu JF huwaga na kielezea na kama kuna reference huwaga naweka na ndio msingi wa malumbano ya hoja ambayo hujenga.
Sasa naona na ww unateleta taarabu mara mvivu sijui nini,kama ww unajua chambua weka na reference kama hujui kaa kimya,wanaojua wananielezea.
Walimu wanakazi sasa,sasa udikteta wangu upo wapi?Nimekulamisha kitu gani labda? Yaani kukuambia kuongea kwa reference ndio udikteta?Ila mpaka hapa nishajua na ongea na mtu wa aina gani, kama ulikuwa huwezi kuchambua kitu husingereply comment zangu kwani umenipotezea mda kukujibu. Kwa mtu aliye soma tu hata Diploma anajua nini umuhimu wa kujenga hoja kwa kurefer kwenye vyanzo vya uhakika, nna wasiwasi na uwezo wako wa ufahamu.Una chembechembe za udikteta
Watu kama nyie ndio hamkubaliani na mawazo mbadala, kila kitu nyie mnajua,(Halafu mnataka muwekewe rf badala ya kutafuta) ila haishangazi ndivyo mlivyofundishwa,
ngera kali linux kwa kuelewa na kuridhika japo pengine hujakubaliana na mimi
Huyo Ajuza mwenyewe hata ye haelewi kitu naye anashangaa tu kama mwananchi wa kawaida kule Namtumbo!!.Mama is next level ,saizi imeshuka tena ππππ
View: https://www.instagram.com/p/DDepiy9sRSZ/?igsh=MXRjanMzdnYxa2l5bQ==
Ingawa mnashangilia ila kuimarika Kwa Shilingi kunafanya mauzo ya bidhaa zetu Nje kuwa na bei kubwa so exporters wataanza kulia sio mda.
Huu ndio udikteta wenyewe, ukishindwa hoja unahamisha magoli kwa kuanzisha yasiyokuweponna wasiwasi na uwezo wako wa ufahamu.
Anaona humu jf watu hatujaenda shule sijui.Yaani mitanzania ambayo haijasoma ndo kama hili litoa mada jinga kabisa .
ELIMU
Mnamo september ili kuvutia wawekezaji usa iliamua kushusha intrest rate hadi 4% na ilitabiliwa kabisa kuwa mwezi huu dola itashuka imefanya hivo dunia nzima kwa pesa zote isipokuwa chache sana kama zambia(wanamatatizo yao)
.
Uganda na kenya nao mama anaupiga mwingi? Mama anafanya kazi nzuri ila acheni kumchezea akili .
Nikuongezee angalia kuanzia tarehe 20 dolla itaanzapanda na tutarudi 2600.sababu ni kuwq kumekuwa na exaggeration ya information east africa .kama unabisha ikifika 2200 nunua dola 100 tu kisha nipime kwa hilo.nakuapia december tunafunga ikiwa 2500 hadi 2600.
Sikunyingine usikurupuke wachumi tumo humu.
ShangaaSeriously???
Wengine mnaenda kucheza tu shuleAnaona humu jf watu hatujaenda shule sijui.
kinakuwasha inabidi uoshe na ile dettol ya maji kupunguza miwasho.Wengine mnaenda kucheza tu shule
Sasa matusi ya nini tena? Wapi nimekutukana?kinakuwasha inabidi uoshe na ile dettol ya maji kupunguza miwasho.
Yale yale ww umetoa hoja ipi na kurefer kitu gani zaidi ya kuniattack? Huna cha kunielewesha sababu hauna reference na kwa kukosa reference automatically unakuwa huna tofauti na waongoza story za kahawa aka wazee wa kuzogoa. Msomi hoja zake zinaongozwa na reference.Huu ndio udikteta wenyewe, ukishindwa hoja unahamisha magoli kwa kuanzisha yasiyokuwepo
Hata mimi nina wasiwasi na uwezo na elimu yako,
Kukuelewesha wewe ni kupoteza mda tu
WAnaudhi yaani uongo wa chekecheaAnaona humu jf watu hatujaenda shule sijui.
Mkuu hii nchi hii maajabu hayaishiShangaa
Siku nikiwa Rais nitawanyooshaMkuu hii nchi hii maajabu hayaishi
Kwa kweli, tena hata kwa viboko.. Kuna mambo ya ajabu sanaSiku nikiwa Rais nitawanyoosha
Msomi gani hajui kufatilia habari mpaka awekewe ref? Hakuna mtu atashindwa ikiwa atawekewa kila kituYale yale ww umetoa hoja ipi na kurefer kitu gani zaidi ya kuniattack? Huna cha kunielewesha sababu hauna reference na kwa kukosa reference automatically unakuwa huna tofauti na waongoza story za kahawa aka wazee wa kuzogoa. Msomi hoja zake zinaongozwa na reference.
Hakuna kitu upumbavu mtupu tu ww unasifia kuporomoka Akili zimo kweli,Hv hapo ndipo alikuta Shilingi yetu ipo hadi usifie,Mijitu mieusi basi mtu anapiga hatua hapo hapo wala haendi mbele unamsifu kwa na ww umepofuka wala huoni kama watu wanaenda mbele au wanarudi nyuma.Hakuna rais wala waziri wa fedha hata mmoja aliyewahi kuishusha us dola namna hii,
Hongereni sana, kutoka 2850/= mpaka 2400/=?
Hakuna kama Mama, kama mitaa tu ni hivi, je uchaguzi mkuu si tutaogelea kwenye asali na maziwa?
Mama na akae mpaka achoke
NB:
Mkijua kulaumu, mjue na kupongeza
Mama akae mpk achokeHakuna rais wala waziri wa fedha hata mmoja aliyewahi kuishusha us dola namna hii,
Hongereni sana, kutoka 2850/= mpaka 2400/=?
Hakuna kama Mama, kama mitaa tu ni hivi, je uchaguzi mkuu si tutaogelea kwenye asali na maziwa?
Mama na akae mpaka achoke
NB:
Mkijua kulaumu, mjue na kupongeza
Ahsante kwa ufafanuzi na majibu, ifahamike kuwa werevu wachache hujenga taifa.Yaani mitanzania ambayo haijasoma ndo kama hili litoa mada jinga kabisa .
ELIMU
Mnamo september ili kuvutia wawekezaji usa iliamua kushusha intrest rate hadi 4% na ilitabiliwa kabisa kuwa mwezi huu dola itashuka imefanya hivo dunia nzima kwa pesa zote isipokuwa chache sana kama zambia(wanamatatizo yao)
.
Uganda na kenya nao mama anaupiga mwingi? Mama anafanya kazi nzuri ila acheni kumchezea akili .
Nikuongezee angalia kuanzia tarehe 20 dolla itaanzapanda na tutarudi 2600.sababu ni kuwq kumekuwa na exaggeration ya information east africa .kama unabisha ikifika 2200 nunua dola 100 tu kisha nipime kwa hilo.nakuapia december tunafunga ikiwa 2500 hadi 2600.
Sikunyingine usikurupuke wachumi tumo humu.