mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
- Thread starter
-
- #41
Ni kuhamisha tu magoli, hoja zote zimejibiwa kivitendoHalafu unakuta nyumbani kuna mtu anamwita mume wangu na watoto wanamwita baba
Huoni alitutia hasara. aturudishie sasa hela zetu.Sababu ilikuwepo, na sasa ameishusha bila shaka sababu ni kuimarika uchumi wetu
Hongera sana kwake
Us dola ni 2418/= official BOT priceYaan mpaka nimeona aibu eti naye mume wa mtu upupu tu na kuwaza ukuu wa wilaya
Data gani na zipi wakati dola iko juu kuliko alipoikuta huyo mama yako mtenda miujiza? So simple mwanangu. Ni uchawa kutoliona hili wala kuona hali za wananchi walio wengi wanaotaabika.Data mkuu zinaongea hapa hakuna uchawa
Ni US dollar pekee imeshuka au na currency nyingine zote zimeshuka dhidi ya tshs?Sababu ilikuwepo, na sasa ameishusha bila shaka sababu ni kuimarika uchumi wetu
Hongera sana kwake
Zambia wana shida gani mkuu? Naona hata Kwacha vs Tsh iko hoi mno. Hela yao imeporomoka thamani kwa kiwango cha kutisha.Yaani mitanzania ambayo haijasoma ndo kama hili litoa mada jinga kabisa .
ELIMU
Mnamo september ili kuvutia wawekezaji usa iliamua kushusha intrest rate hadi 4% na ilitabiliwa kabisa kuwa mwezi huu dola itashuka imefanya hivo dunia nzima kwa pesa zote isipokuwa chache sana kama zambia(wanamatatizo yao)
.
Uganda na kenya nao mama anaupiga mwingi? Mama anafanya kazi nzuri ila acheni kumchezea akili .
Nikuongezee angalia kuanzia tarehe 20 dolla itaanzapanda na tutarudi 2600.sababu ni kuwq kumekuwa na exaggeration ya information east africa .kama unabisha ikifika 2200 nunua dola 100 tu kisha nipime kwa hilo.nakuapia december tunafunga ikiwa 2500 hadi 2600.
Sikunyingine usikurupuke wachumi tumo humu.
kwani alipo ingia alikuta iko vp ameikuta iko 2,300 kaipandisha hadi 2,700 leo kushuka had 2,400 apongezwe tenaUkweli lazima usemwe, kwenye hilo nampa hongera raisi Samia
Kudadeki, halafu kuna mijamaa bado inapinga,Now 2300
Ngoma imeshafika 2375/=kwani alipo ingia alikuta iko vp ameikuta iko 2,300 kaipandisha hadi 2,700 leo kushuka had 2,400 apongezwe tena
Unaongea pumb ujui maswala ya uchumi ww
Hamna hoja, mumebaki kuhamisha magoli🚮🚮🚮🚮