political monger senior
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 1,827
- 5,994
Iyo ni propaganda tu west awawezi fanya icho kitu tena kwa US ndio kabisa izo ndege zake ni ghali sana akizipeleka Ukraine then zikawa zinashushwa tu soko lake ndio bye bye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu nae vipi????? Game bado mbichi sana...........jamaa wanajua mrusi uwezo wa kumtandika ukraine anao na hadi kuwatandika wenzake anao sema ni timing tu......[emoji23][emoji23][emoji23]Huyu analialia
Upo mkuuUkraine ni no flying zone kwa ndege za ukrein wakipeleka ndege wapeleke na marubani na anti aircraft missiles maana s300 za Ukraine zishadunguliwa kilambo
HahaHilo lilishafikiriwa kitambo na huenda wanapotamka kuwa wanafikiria kupeleka ndio ma pilot wanamalizia mafunzo.
Lakini kwanini wazungu wambea hivi? Si wangepeleka kimya kimya?
Haaaaa umenichekesha sana mkuu uliposema jamaa wambeaHilo lilishafikiriwa kitambo na huenda wanapotamka kuwa wanafikiria kupeleka ndio ma pilot wanamalizia mafunzo.
Lakini kwanini wazungu wambea hivi? Si wangepeleka kimya kimya?
Kuna wakati wazungu ni wambea sana.Haha
Haaaaa umenichekesha sana mkuu uliposema jamaa wambea
Yupo bali anateswa sana na Himars hahaUpo mkuu
HahahaaaKuna wakati wazungu ni wambea sana.
Hawa watu nimefanya nao kazi, ukiwa mnafiki watakuumbua fasta ukipeleka unafiki wako wataufikisha kwa mhusika.
Usithubutu kuongea kitu kinaitwa siri kwa mzungu haha
Nato bado hawajapeleka troops officialy. Kwao bado ni risk kubwa. However wanaweza train ukraines in their aircraft system. To ukraine pilots hiyo ni new platform very different from soviet planes so itachukua muda.Mzee, ukisikia zinapelekwa jua kuna na marubani wa kutoka nchi za US na ulaya humo!
Mimi naamini hii vita kuna wanajeshi wengi tu wa NATO wanamchachafya Putin
Nipo jamaa, ni salamu tuu au unataka kuleta Uyukreini wako 😅😅😅😅Upo mkuu
Kuna wa Ukraine wengi tu wanapata training kutoka NATO hiyo iko wazi.Tatizo si kutuma ndege tatizo ni training. Ndege vita za ulaya zina different set of instruments tofauti na tech tofauti. Unless wamesha train pilots wa ukraine kwenye ndege zao ndio wapeleke.
Kumbe wanajua 😅😅😅😅😅😅Huyu nae vipi????? Game bado mbichi sana...........jamaa wanajua mrusi uwezo wa kumtandika ukraine anao na hadi kuwatandika wenzake anao sema ni timing tu......
Tena na hivi vikwazo vimekua ni silaha nzuri kabisa ya mrusi kuanza kuwadhoofisha wamagharibi mapema kabla ya vita kamiliView attachment 2356261View attachment 2356262
Russia anadai kaharibu viwanja vyote vya ndege vya Ukraine lakini cha ajabu ndege za Ukraine bado zinaruka na kufanya mashambulizi hasa kuharibu radar za Urusi. Hapa chini ni ndege ya Ukraine ikiruka na kulaunch AGM 88 HARMWataruka kutokea wapi wakati viwanja vya ndege vya kijeshi vimebondwa vyote au ndio watarukia kwenye civil airports halafu vikilipuliwa mje kulalamika kwamba RUSSIA ana target raia?
Russia anadai kaharibu viwanja vyote vya ndege vya Ukraine lakini cha ajabu ndege za Ukraine bado zinaruka na kufanya mashambulizi hasa kuharibu radar za Urusi. Hapa chini ni ndege ya Ukraine ikiruka na kulaunch AGM 88 HARM
Russia anadai kaharibu viwanja vyote vya ndege vya Ukraine lakini cha ajabu ndege za Ukraine bado zinaruka na kufanya mashambulizi hasa kuharibu radar za Urusi. Hapa chini ni ndege ya Ukraine ikiruka na kulaunch AGM 88 HARM
😅😅😅😅😅 nyie jamaa ni waongo kinyama mnakuja na madai ya kukomboa km3,000 hivi unajua huo umbali unavuka Mtwara to Mtukula 😆😆😆😆Yupo bali anateswa sana na Himars haha
Umeanza kuwa muoga kinoma🤣🤣🤣Nipo jamaa, ni salamu tuu au unataka kuleta Uyukreini wako 😅😅😅😅
Last month we got the visual confirmation of the Ukrainian Air Force MiG-29 Fulcrum fighter jets employing US-made AGM-88 High-speed Anti-Radiation Missiles.Hivi ukiwa vitani kuna muda wa kurecodi video [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hasa ukiangalia unaona kabisa hii ni zile video za Russia na ina wiki2 toka ipostiwe we unaileta leo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nioneshe rubani kama ana bendera ya Ukraine