Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Matoi? Vip ulisha rusha moja wapo labda?Ni matoi yao ya kuchezea kwa WAARABU hapo Ukraine hayawezi kushuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matoi? Vip ulisha rusha moja wapo labda?Ni matoi yao ya kuchezea kwa WAARABU hapo Ukraine hayawezi kushuka
ThanksThese are square kilometers and not linier kilometres. Please be informed accordingly.
MkuuMatoi? Vip ulisha rusha moja wapo labda?
Nshafika 🐐🐐Hahaha
Kuwa na aibu hata kidogo, main stream medias nani anazi-controlKwani wewe uko front?
Hakuna taifa lenye propaganda nyinhi duniani kiwazidi Warusi
Achana hiyo mambo wewe....mjamaa ndio masta wa propaganda hasa Mrusi wenuKuwa na aibu hata kidogo, main stream medias nani anazi-control
Sema hapa watunga news ndipo wanapo fail sasa 😂😂😂Hivi ukiwa vitani kuna muda wa kurecodi video 😂😂😂😂😂 hasa ukiangalia unaona kabisa hii ni zile video za Russia na ina wiki2 toka ipostiwe we unaileta leo🤣🤣🤣🤣 nioneshe rubani kama ana bendera ya Ukraine
Sio kwamba vita ni mbichi mkuu hizo ndege Ukrean ndio wanaenda kumaliza vita kusafisha safisha mabaki ya mavamizi yaliyojificha ficha huko Crimea na Mariupo #KaziKAzi tuMarekani na washirika wake wanatarajia kukaa kikao kujadiliana namna ya kuweza kutuma ndege za kivita Ukraine. Kumbuka hitaji Hili Ukraine wamekua wakilihitaji kila siku.
Pia Ukraine anahitaji vifaru vya kisasa aina ya leopards kutoka German, Germany alionekana kusitasita ila kwa mafanikio waliyoonyesha madogo naona watakubali. Hii vita bado mbichi sana.
========
Washington, its allies discussing possible transfer of fighter jets to Ukraine
Tue, September 13, 2022 at 8:26 PM·1 min read
![]()
Successful counter-offensive have bolstered the case for NATO countries and partners to provide Kyiv with lethal aid.
The senior U.S. defence official said Washington and its allies were discussing Ukraine’s longer term needs, such as air defences, and whether it might be appropriate to give Kyiv fighter aircraft in the “medium to longer term.”
Source: The guardian
Hili ni tatizo dogo, viongozi wa nchi mbalimbali wanapoenda kwa Rais wanapita wapi, first lady mbona anaenda int conferencs zote?Ukraine ni no flying zone kwa ndege za ukrein wakipeleka ndege wapeleke na marubani na anti aircraft missiles maana s300 za Ukraine zishadunguliwa kitambo
Unaniita dogo😡😡😡Hili ni tatizo dogo, viongozi wa nchi mbalimbali wanapoenda kwa Rais wanapita wapi, first lady mbona anaenda int conferencs zote?
na unavosikia wanataka kukaa watume inawezekana tayari wameshatren hao wajeshiTatizo si kutuma ndege tatizo ni training. Ndege vita za ulaya zina different set of instruments tofauti na tech tofauti. Unless wamesha train pilots wa ukraine kwenye ndege zao ndio wapeleke.
Ila huu msaada ambao Ukraine anapatiwa na US na NATO utamgharimu Sana siku za baadae....Maana hawa washirika they don't give you a free lunch
Usisahau na mashine za kufulia nguo, pasi na baiskeli za kuchezea watoto za magurudumu ma3Hahahahahaha eti mpaka vijiko na uma ngoja niongezee mpaka masefuria nayo yatarudi tu
Hahahahahaha eti mpaka vijiko na uma ngoja niongezee mpaka masefuria nayo yatarudi tu
Leo ndio Mnasema generation ya ngap lol[emoji23][emoji23][emoji23]S300 ni generation ya ngapi na hizo himars ni ya ngapi?? Na mrusi aliziweka hizo kabla ukraine hajapewa hizo himars.l sababu alijua aina ya silaha walizokua nazo ukraine kwa kipindi hiko
Punguza mahaba mkubwa hali mbaya huko[emoji23][emoji23]Anakimbilia maweAnajipigia na kukomboa mita ngapi [emoji38][emoji38][emoji38]