Axel Lloyd
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 4,170
- 9,500
Ukubwa wa eneo hupimwa Kwa Square kilometres.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] nyie jamaa ni waongo kinyama mnakuja na madai ya kukomboa km3,000 hivi unajua huo umbali unavuka Mtwara to Mtukula [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Ila huu msaada ambao Ukraine anapatiwa na US na NATO utamgharimu Sana siku za baadae....Maana hawa washirika they don't give you a free lunchMarekani na washirika wake wanatarajia kukaa kikao kujadiliana namna ya kuweza kutuma ndege za kivita Ukraine. Kumbuka hitaji Hili Ukraine wamekua wakilihitaji kila siku.
Pia Ukraine anahitaji vifaru vya kisasa aina ya leopards kutoka German, Germany alionekana kusitasita ila kwa mafanikio waliyoonyesha madogo naona watakubali. Hii vita bado mbichi sana.
========
Washington, its allies discussing possible transfer of fighter jets to Ukraine
Tue, September 13, 2022 at 8:26 PMΒ·1 min read
Successful counter-offensive have bolstered the case for NATO countries and partners to provide Kyiv with lethal aid.
The senior U.S. defence official said Washington and its allies were discussing Ukraineβs longer term needs, such as air defences, and whether it might be appropriate to give Kyiv fighter aircraft in the βmedium to longer term.β
Source: The guardian
F 35 zinaangushwa na upepoata wasipeleke ndege nyingi washushe F-35 mbili tu. wasipo shimda vita ndani ya week niulizeni mimi.
nimekaa palee
Wapiganaji ndo wanajua wataruka kutokea wapi, na wakishindwa watakuwa wamefeli. Humu ushabiki tu hakuna lolote.Wataruka kutokea wapi wakati viwanja vya ndege vya kijeshi vimebondwa vyote au ndio watarukia kwenye civil airports halafu vikilipuliwa mje kulalamika kwamba RUSSIA ana target raia?
Hiyo ni yamaonyesho tu na hajaiuza popote hata.mshirika wake wa karibu Israel hajamuuzia na inakaribia kustaafishwaWapeleke F22 Raptor kama mbili hivi shughuli iishe, zitakua zinageuza tu kwenda kuongeza mafuta.
Japo wasiwasi wangu ni pale Urusi akiendelea kupigwa hivi anaweza ingia ukichaa wa kubonyeza manyuklia.....
Una ramani mbadala ukiachia hioUkubwa wa eneo hupimwa Kwa Square kilometres.
One sided story NB:Ukraine ana Mig na SU versions za RussiaLast month we got the visual confirmation of the Ukrainian Air Force MiG-29 Fulcrum fighter jets employing US-made AGM-88 High-speed Anti-Radiation Missiles.
Now we have photographic evidence of the missile being employed also by the Ukrainian Sukhoi Su-27 Flanker heavy fighters. The aircraft can be seen carrying also two R-27R/AA-10 Alamo and two R-73/AA-11 Archer air-to-air missiles.
As we have already reported, in early August, photos emerged online showed debris left by an AGM-88 after it struck a Russian surface-to-air missile site.
A couple of weeks later, the US government confirmed that the US-made anti-radiation missiles were delivered to Ukraine and were being employed by the MiG-29s.
Ukraine appears to be using US-made radar-hunting missiles to another kind of fighter jet
Hizi ndege sijui zinaruka kutokea wapi wakati Russia Ministry of Defense walituambia wameshaharibu Airforce ya adui haiwezi tena kufanya kazi
Russia says Ukraine's air force is practically destroyed
Hakuna sehemu mnashinda kama kwenye medias tuUmeanza kuwa muoga kinomaπ€£π€£π€£
Kwani wewe uko front?Hakuna sehemu mnashinda kama kwenye medias tu
Hata kama mkuu ilimrad uwe huruIla huu msaada ambao Ukraine anapatiwa na US na NATO utamgharimu Sana siku za baadae....Maana hawa washirika they don't give you a free lunch
Umepotea hatuonan siku hizNipo jamaa, ni salamu tuu au unataka kuleta Uyukreini wako π π π π
F35F 35 zinaangushwa na upepo
Si kila aircraft ni ya kuuza. Wana sabababu ya kiusalama why hawajaiuza mpaka leoHiyo ni yamaonyesho tu na hajaiuza popote hata.mshirika wake wa karibu Israel hajamuuzia na inakaribia kustaafishwa
Hiyo ni yamaonyesho tu na hajaiuza popote hata.mshirika wake wa karibu Israel hajamuuzia na inakaribia kustaafishwa
Wapeleke na uwanjaKuna vitu sio vya kuuza kwa kila kajamba, inapaswa itafutiwe shughuli pale Ukraine.
Ni matoi yao ya kuchezea kwa WAARABU hapo Ukraine hayawezi kushukaSi kila aircraft ni ya kuuza. Wana sabababu ya kiusalama why hawajaiuza mpaka leo
Nipo Mkuu njoo mnadani Kibamba nijie na cocastic ila kesho narudi DomUmepotea hatuonan siku hiz
These are square kilometers and not linier kilometres. Please be informed accordingly.π π π π π nyie jamaa ni waongo kinyama mnakuja na madai ya kukomboa km3,000 hivi unajua huo umbali unavuka Mtwara to Mtukula ππππ