USA, UK wanataka vita itapakae kwa makusudi kabisa

Unajuwa Watanzania wangapi wanafanya kazi kwa Bakhresa, Oilcom, Azania -, GSM na kwa Waarabu wengine kibao waliopo Tanzania?

Hao niliokutajia wote Wayemeni na wengine wapo ardhi hii kabla ya babu zako kuhamia Tanganyika.

Wa mbili havai moja.
Okay, lakini walitokea wapi au asili yao ni wapi.
 
Kitu usochokielewa ni kuwa Waislam tumeshikamana kwa kamba ya Allah.

Waislam ni kama kiwiliwili kimoja kidole kikumia mwili mzima unapata home.
 
 
Kama wanataka wang'olewe kama walivyo watang'olewa tu
Leo siku ya 102 kikundi kidogo cha vijna wa mitaani kimeyasimmisha dede mataifa yote yanayojidai vidume kumbe ni wabarikiwa.

Your browser is not able to display this video.
 
Hamas walivyowageuka Israel?walikuwa na urafiki lini?mbona watu wa mudy mnapenda uongo?
 
Wamekukosea nini, mbona una wengi sana Tanzania?

Tena??? Mbona hili hatukujadiliana? Anyway . Wazayuni watapigika kinyama. Wanaendelea kuchakazwa kwa sasa wanapukutika kama mbelewele. Gaza hawalali hawakai... Israel kunaanza kubakiwa na magofu tu shenzi type makafir hawa.
Nawakumbusha tu hatutaki mje tena na nyuzi za kulia lia
 
Nawakumbusha tu hatutaki mje tena na nyuzi za kulia lia
Kitu mbacho hukielewi ni kuwa Hamas wameshinda hii vita zamani sana.

Si mnasema ni kikundi cha Kigaidi? Sasa kikundi cha kigaidi malengo yake ni nini?

nahisi hilo swali liko juu ya uwezo wako kulielewa.
 
Kitu mbacho hukielei ni kuw Hamas wameshinda hii vita zamani sana.

Si mnasema ni kikundi cha Kigaidi? Sasa kikundi cha kigaidi malengo yake ni nini?

nahisi hilo swali liko juu ya uwezo wako kulielewa.
Gaza inafuka moshi ni magofu misikiti imegeuka makabuli we endelea na ngonjela zako nenda kaongeze nguvu
 
Ogopa sana watu wanaotengeneza ndege inapaa hewani bila dereva

Watu wanatengeneza kidonge.. unakimeza mdomoni ila kinaenda kuponesha mguu

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ….. Akili kumkichwa ukilemaa unaachwa ferry. Mashariki ya kati wana weakness moja kubwa sana nayo ni dini (imani). Adui yako akishajua weakness yako basi jua umeisha . Kuwagombanisha middle east ni kazi rahisi mno una provoke tu mambo ya imani basi wanamalizana wenyewe kwa wenyewe na hawatopatana.
 
Waarabu na utajili wote. Kwa nini hawana umoja wa kupigana na wazungu ?

Waarabu kwa nini wanashindwa kubuni silaha zao za vita ili waweze kupambana na uonezi wa wazungu ? Maana hata israel amepelekwa tu na wazungu kwa ubabe kwenye ardhi ya waarabu
Kwani wazungu wanaumoja gani ulowaona nao
Wazungu wana umoja???
 
Waambie magaidi wa Houthi waache kushambulia meli na kuvuruga biashara ya usafirishaji wa meli bahari nyekundu. Haikubaliki kwa sababu zozote zile kufanya hayo mambo yao ya hovyo.
Si tumekubaliana kwamba Americant na Uingereza wameanzisha mashambulizi dhidi yao

Kwahio wao watawalazimisha kufungua hizo njia
 
Mambo yamebadilika sana mzee PUT IN kaigeuza vita kwake kua fursa

Yaani kama mnadhani kua eti PUT IN hii vita inamfanya asiweze kufanya jambo lolote nje ya ukraine hem nato wafanye kama wanakosea wakaivamie belarus uone

Vita hata kwa marekani inategemea anapigana nanani marekani na shoga zake walitegemea kwamba Russia ataikurupukia ukraine aivamie yote aibebe na ndio maana jamaa walipopeleka jeshi pale kiev wakaona yes kumbe mwamba hana hata muda na kiev
Hujiulizi kwanini vita ya ukraine inapiganwa pale pale tokea ianze mpaka leo

Russia anatumia rasilimali kidogo kudeal na vita na vikwazo kwa pamoja

Hushangai west kwa ujumla wao wanakutana na ukata wa kumpa silaha ukraine ila Russia anazo mpaka anazo tena

Americant vita imemzidi hajui asaidie ukraine ama asaidie israhell

Acha tuone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…