Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Fast jet nilikata tiket ya kwenda na kurudi SA kwa Tsh 360,000 gawanya ujue ticketi moja ilikua Tsh ngapi usibishe kama vitu huvijui tulikua tunakata tiket moja kuja Daslm kwa rand 1600 inategemena na season maana nazo zinashuka na kupanda kutokana na season...Acha uongo sio kwa Africa! Nchi gani Africa imefanikiwa kuweka bei ya chini?. Suala liko kwenye mazingira ya biashara hasa kutokuwa na uwezo wa uzalishaji wa vipuri na huduma za ndege na pia kodi zisizo rafiki na udogo wa soko kutokana na umasikini.
Mpaka wametangaza hio bei bila shaka watakuwa na back up ya wanasiasa wazito waliopenyeza rupia kwa wahusika.soon utashangaa wanafungiwa kama fast jet ATCLL itawaletea figisu
kumbe tunarud nyuma badala ya kusonga pia hapa tutamlaumu mzungu , tujichunguze wap tunafer mpk hatusong mbele kweny hii nyanjaKabla ya Scandinavia, KAMATA walikuwa na luxury bus ambayo mpaka leo hii sijawahi kuona hapa TZ.
Safari zake ilikuwa ni Dar - Arusha. Miaka ya 80.
wazee wa 10%Serikali ilikosea sana kuipiga vita FastJet
ndege za wagen sio ?Tushukuru mwenda zake alienda, yale mambo ya kila mtu kupanda ndege sasa yanarudi
Sasa kama zako hazikusaidii si bora utumie za wenginendege za wagen sio ?
ndo kwann serikali yako isifanye hivyo , ndo hoja ya mkuu hapoKwa hiyo wanamfumo tofauti na soko lote la usafiri wa anga. Pili nchi kama hiyo utakuta mambo niliyosema Serikalini inatoa ruzuku na hakuna msululu wa kodi. Mafuta karibu na bure
Kule kwa Mwamposa tunasemagaMajaliwa awe karibu tu Kuna jitu libaenda kudondoka
hakuna kununua mahindi?Hujasafiri mkuu!!
Sijaona basi yoyote ya kichina ambazo ni luxury .mnadanganywa , nenda hapo Zambia utakuja kuyapinga haya maneno yako hapa..
Luxury kwanza gar inakuwa Auto gearshift, wala huzisikii, engine nyuma mnasafiri kimya kimya , choo ndani , tena kwa wenzetu miaka hii ni choo cha haja zote, seat , inclination kubwa yani unalala na abiria wa nyuma yako halalamiki kuguswa na seat ,
Hakuna basi ya mchina yenye full air suspension , wala autobox,
Mfano wa luxury' hizi basi ni za abiria 35 tu kwa urefu huo, vioo ni sealed , hakuna kununua mahindi!!
lin uliwai kuwa nazo zako zikashindwa kukusaidia?Sasa kama zako hazikusaidii si bora utumie za wengine
Watanzania wengi husoma bila kuelewaSomeni tangazo vizuri. Ni special flight siku ya tarehe 13 na ni 1000hrs dar mwanza tu.
Bangi unavuta?lin uliwai kuwa nazo zako zikashindwa kukusaidia?
Sasa vioo vyote sealed , muhindi msamvu unanunua vip? Labda umuombe dereva akununuliehakuna kununua mahindi?
Watu hawana exposure , haladfu badala ya kujifunza wanakuwa wabishiFast jet nilikata tiket ya kwenda na kurudi SA kwa Tsh 360,000 gawanya ujue ticketi moja ilikua Tsh ngapi usibishe kama vitu huvijui tulikua tunakata tiket moja kuja Daslm kwa rand 1600 inategemena na season maana nazo zinashuka na kupanda kutokana na season...
Lakini pia budget airline wana structure yao ya cost management ,Gharama kubwa za uendeshaji wa ndege, standard kimataifa, ni mafuta 25 - 40%, matengenezo ,(maintenance) 15 -25%, gharama za watumishi 15-20% na zilizobaki ni gharama ndogondogo. Nakutafutia gharama za Bombardier uone bei itakuaje na kama 120,000 itawawezesha kufanyakazi au ni bei ya kuingia kwenye soko na kwa muda tu
Kukosa exposure kunawafanya waamini katika bei kubwa zilizopo nyumbani kumbe hilo swala wenzetu walishatoka muda mrefu...Watu hawana exposure , haladfu badala ya kujifunza wanakuwa wabishi
Fastjet nilikuwa naenda mwanza kwa sh 38500,
Pana bus nyota 5 wanazo Greyhound wana balaa wale jamaa seat sidhani kama zinazidi 16 chini wanagawa vinywaji na chakula juu ndio seat zipo niliwahi panda mara moja tuu...zile bus za Zambia zenye body ya IQ 10 zinasubiri sana...Latra wanakariri na sidhani kama wanajua maana ya luxury buses, bahati mbaya hata sisi abiria hatujui
Luxury bus lazima iwe full air suspension,full air conditioned, choo , engine nyuma for quiet cabin and at least 45degree seat inclination, .ukiwa na configuration hii seat kwa basi zima haziwezi kuzidi 40 ,
Mchijna akiweka aircon tu, anaibatiza basi luxury
Nimaanisha bei ikipunguzwa taratibu za kiusalama zibaki pale pale. Punguzo liathiri faida tu ya kampuni, ndiyo maana yangu mkuuKivipi mkuu sijakuelewa maana wiki nne zilizopita nimeenda Jhb mpaka Durban kwa rand 800 nadhani sawa na Tsh 112,000 na Tiketi ya Kuja Tanzania na Kurudi SA Kenya Airways kwa USD 300...pana muda bei ya ndege kwenda Cape Town kutokea JHB inakua chini kuliko Bus na bado bus zinajaa tuu...
Hivi uzinduzi ni kitu cha lazima mkuu? Kwa maoni yakoKutoka kwa chanzo cha ndani..ni kwamba ilikuwa ni ofa ya siku moja..hiyo ndege ilikuwa imenunuliwa na shirika na ilikuwa inapelekwa Mwanza kufanyiwa uzundizi..ndio ikaonekana lazima angalau pia ibebe abiria kadhaa.