USAID hatimae imekufa rasmi kwa taarifa hii

USAID hatimae imekufa rasmi kwa taarifa hii

Punguza ujuaji, walioajiriwa hawajui ila wewe usiye ajiriwa ndio unajuwa hizo bioweapon? Watu wanaumia kwasababu wanajua serikali yetu haina msaada na raia, unadhani ni watu wangapi wapo hatarini kufariki kwa malaria,Tb,Aids pamoja na depression ya kukosa kazi?

Bahati mbaya karibu kila familia bongo inamuathirika, ina ndugu wapo vijijini kwenye malaria huko. Kwahiyo utafurahi zaidi USAID kufungwa ambavyo ndugu zako wakifa kama kuku wenye kideli huku hao wenye serikali yao wakiendelea kutamba tu kwenye mavieite
Itakuwa ni kiama kama alivyosema Prof Tibaijuka.
 
Watanzania wanaweza kukesha wakiomba shirika linalojiita la msaada kutoka America lisife wakati huohuo kuna msshirika ya nchi yao yamekufa wala hata hawawazi.
Kiwanda kunaweza kufa ndani ya nchi hii likawa ni jambo la kawaida lakini msshirika haya ya nje yenye kutengeneza matatizo lukuki yakaonekana ni mazuri.
Kwa taarifa zilizopo hili shirika la USAID pesa zake nyingi hutumika kufanya tafiti za silaha za kibaolojia/ bioweapon hasa mataifa ya Asia na afrika.

Waafrika wachache walioajiriwa humo hawajui hili wao ni kufurahia mishahara wakati nyuma ya pazia wale wakuu wao wapo kazini kupambana kudhibiti vizazi na vizazi kwa gharama yoyote hata ikihitajika kuua mamilioni ya wanadamu nje ya nchi yao.
Waafrika tuamke hawa watu hawatupendi bali wanatamani hata leo tusiwepo ili wao waje kuanzisha makaazi huku kwetu.
Mimi akili yangu inaniambia kuwa mission ya kuanzishwa kwa USAID imekamilika na sasa wanaiondoa.
Kama siyo mission Trump asingeamka from no where na kulifuta. Wameona sensa inaonesha kuwa jamii yetu imeshakuwa chronic tayari kwa matumizi ya ARV na vitu vingine hivyo ni muda muafaka wa wao kupunguza population (rasilimali watu) huku wakipiga pesa zaidi kwa mauzo ya dawa kwa watakaoweza.

Kweli Amerika wametukomoa, ndugu zangu tutaangamia sana kwa hofu.
 
Mimi akili yangu inaniambia kuwa mission ya kuanzishwa kwa USAID imekamilika na sasa wanaiondoa.
Kama siyo mission Trump asingeamka from no where na kulifuta. Wameona sensa inaonesha kuwa jamii yetu imeshakuwa chronic tayari kwa matumizi ya ARV na vitu vingine hivyo ni muda muafaka wa wao kupunguza population (rasilimali watu) huku wakipiga pesa zaidi kwa mauzo ya dawa kwa watakaoweza.

Kweli Amerika wametukomoa, ndugu zangu tutaangamia sana kwa hofu.
Itakuwa ni kiama, ARV zilivyoghali.
 
USAID is officially dead.

Elon Musk alisema USAID ni shirika la kihalifu na linapaswa kufa

Kwa taarifa hii ni wazi kwamba kauli yake imetekelezwa

Je ndugu zangu nini itakuwa athari kwa Afrika hususani Tanzania aliyekuwa anaongoza kwa kupokea mafungu huko USAID

View attachment 3225645
Noma sana
 
Jiwe alikuwa mpigaji tu kama wapigaji wengine, aliwatumia sana nyie mnaojiita wanyonge kupiga pesa huku nyie wanyonge mkishangilia

Sema lolote ila aliweza mengi mazuri kuyafanya.. Hata kama unasema aliiba basi alikuwa smart sanaaaa hakunaga kutokea nchini..

Bado ni bingwaaaa eti? 😂
 
USAID is officially dead.

Elon Musk alisema USAID ni shirika la kihalifu na linapaswa kufa

Kwa taarifa hii ni wazi kwamba kauli yake imetekelezwa

Je ndugu zangu nini itakuwa athari kwa Afrika hususani Tanzania aliyekuwa anaongoza kwa kupokea mafungu huko USAID

View attachment 3225645
Every dollar we spend should,
one, make America great, second Secure, and third prosperous.
Nje ya hapo hakuna kutumia pesa za walipa Kodi, USAID ilikuwa inaendeshwa kama ilivyo TANAPA ,TAZAMA hapa bongo,
Wanajipangia matumizi, hakuna anayejua wanakusanya ngapi, anayetumwa kuwakagua, anachapwa mountain, anapiga kimya,
Kwa mujibu wa waziri wa Mambo ya nje (state secretary) wa USA, USAID walikuwa, hawafati maelekezo ya, Sera ya Mambo yq, nje ya America, wanakuwa wagumu kutoa majibu kwa wawakilishi wa, wananchi,Congress, wanapotakiwa, walijifanya kama "Global charity organisation" You can't be a charity using tax payers money"
Hapa bongo wanamiradi ya kutunza sokwe,"sasa kutunza sokwe kuna tija gani katika Mambo Yale matatu! Safe, prosperous, great!
Samia aache kununua ma v8 kila mwaka,DC wa Dar unampa Prado VX 4wheel! Ya nini,? Amepewa, kazi, aende kwa usafiri wake, kwani anatofauti gani na, Mwalimu? Wote ni watumishi wa umma!
Ma DC, RC, hivi vyeo vifutwe, wilaya zipunguzwe, maeneo yq utawala hayana tija, badala yake,ziongezwe while, hospitari,
 
Every dollar we spend should,
one, make America great, second Secure, and third prosperous.
Nje ya hapo hakuna kutumia pesa za walipa Kodi, USAID ilikuwa inaendeshwa kama ilivyo TANAPA ,TAZAMA hapa bongo,
Wanajipangia matumizi, hakuna anayejua wanakusanya ngapi, anayetumwa kuwakagua, anachapwa mountain, anapiga kimya,
Kwa mujibu wa waziri wa Mambo ya nje (state secretary) wa USA, USAID walikuwa, hawafati maelekezo ya, Sera ya Mambo yq, nje ya America, wanakuwa wagumu kutoa majibu kwa wawakilishi wa, wananchi,Congress, wanapotakiwa, walijifanya kama "Global charity organisation" You can't be a charity using tax payers money"
Hapa bongo wanamiradi ya kutunza sokwe,"sasa kutunza sokwe kuna tija gani katika Mambo Yale matatu! Safe, prosperous, great!
Samia aache kununua ma v8 kila mwaka,DC wa Dar unampa Prado VX 4wheel! Ya nini,? Amepewa, kazi, aende kwa usafiri wake, kwani anatofauti gani na, Mwalimu? Wote ni watumishi wa umma!
Ma DC, RC, hivi vyeo vifutwe, wilaya zipunguzwe, maeneo yq utawala hayana tija, badala yake,ziongezwe while, hospitari,
Hii ya kufanya bila kufuata maelekezo ya USA kama nchi ni kosa kubwa
 
Every dollar we spend should,
one, make America great, second Secure, and third prosperous.
Nje ya hapo hakuna kutumia pesa za walipa Kodi, USAID ilikuwa inaendeshwa kama ilivyo TANAPA ,TAZAMA hapa bongo,
Wanajipangia matumizi, hakuna anayejua wanakusanya ngapi, anayetumwa kuwakagua, anachapwa mountain, anapiga kimya,
Kwa mujibu wa waziri wa Mambo ya nje (state secretary) wa USA, USAID walikuwa, hawafati maelekezo ya, Sera ya Mambo yq, nje ya America, wanakuwa wagumu kutoa majibu kwa wawakilishi wa, wananchi,Congress, wanapotakiwa, walijifanya kama "Global charity organisation" You can't be a charity using tax payers money"
Hapa bongo wanamiradi ya kutunza sokwe,"sasa kutunza sokwe kuna tija gani katika Mambo Yale matatu! Safe, prosperous, great!
Samia aache kununua ma v8 kila mwaka,DC wa Dar unampa Prado VX 4wheel! Ya nini,? Amepewa, kazi, aende kwa usafiri wake, kwani anatofauti gani na, Mwalimu? Wote ni watumishi wa umma!
Ma DC, RC, hivi vyeo vifutwe, wilaya zipunguzwe, maeneo yq utawala hayana tija, badala yake,ziongezwe while, hospitari,
Apunguze matumizi hao Ma RC na DC na magari yao yanaingiza
gharama kwa nchi bila tija ya maana.
 
Punguza ujuaji, walioajiriwa hawajui ila wewe usiye ajiriwa ndio unajuwa hizo bioweapon? Watu wanaumia kwasababu wanajua serikali yetu haina msaada na raia, unadhani ni watu wangapi wapo hatarini kufariki kwa malaria,Tb,Aids pamoja na depression ya kukosa kazi?

Bahati mbaya karibu kila familia bongo inamuathirika, ina ndugu wapo vijijini kwenye malaria huko. Kwahiyo utafurahi zaidi USAID kufungwa ambavyo ndugu zako wakifa kama kuku wenye kideli huku hao wenye serikali yao wakiendelea kutamba tu kwenye mavieite
Kila mtegemea vya weninge hufa masikini 🚮
 
Mimi akili yangu inaniambia kuwa mission ya kuanzishwa kwa USAID imekamilika na sasa wanaiondoa.
Kama siyo mission Trump asingeamka from no where na kulifuta. Wameona sensa inaonesha kuwa jamii yetu imeshakuwa chronic tayari kwa matumizi ya ARV na vitu vingine hivyo ni muda muafaka wa wao kupunguza population (rasilimali watu) huku wakipiga pesa zaidi kwa mauzo ya dawa kwa watakaoweza.

Kweli Amerika wametukomoa, ndugu zangu tutaangamia sana kwa hofu.
Hawa wajinga hawawezi kukuelewa hata kidogo
 
Back
Top Bottom