Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Naam utakuwa ukisaidiana na ndugu yangu OKW BOBAN SUNZUFungua kiwanda, mimi mhasibu wako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naam utakuwa ukisaidiana na ndugu yangu OKW BOBAN SUNZUFungua kiwanda, mimi mhasibu wako.
Ata nao waambikiza wana dhambi pia...kwa nini wanagegedana na mwenye kibamia na kumchu a hela zakeUna dhambi weweee...
Au sioSitaki.
Sawa,muda ni mwalimu mzuri,mtajifia kwa maradhi kama kuku wa kideri mi nipo hapa mkuu, nyie tunawajua wazalendo uchwaraTrump hana mpango kunyonya nchi masikini na hio misaada ndio ilikua mitego yenu kunyonywa ,sasa ndio muda muafaka wa kuanza kujitegemea maana hakuna tena masharti
Umenunua ARV za kutosha mkuu?au unashangilia tuMungu Wabariki Wazungu
Na mlevi sikuzote husema ukwel 😌Nahisi niliandika ile comment nikiwa nimelewa Kiko yangu Mjukuu 🏃🏃
mkuu unakaa kwako au kwenu?Safi sana,wakati tunampigia debe Kamala,mkasema mwanamke hafai kuongoza kabisa,sasa jiandaeni kuanguka kwa H..IV na kufa kama kuku wa kideri
Hahaha........kuweni na imani na Wazee 😜Na mlevi sikuzote husema ukwel 😌
goli la mamaD.Trump wants to help Amerika, cha ajabu tanzagiza ambapo >50% ya fedha ni msaada ndiyo inaongoza kwa kuchezea fedha, raisi ikulu 3, magari kila siku land cruiser mpya, USA inabana matumizi kusaidia wananchi, tanzagiza shopping kwa kwenda mbele …
Wazee wa skuiz ovyo kabisa ndoman hata mkitupa laana zinadunda😆Hahaha........kuweni na imani na Wazee 😜
Hakika MkuuTumekuwa mipumbavu sana. Mfumo wa kisiasa wa kurithishana na kula kwa zamu usiozingatia uhitaji wa nchi na wananchi wake
Sio laana yangu, Mimi nikikupa tu lazima ikupateWazee wa skuiz ovyo kabisa ndoman hata mkitupa laana zinadunda😆
ili mje muwekee ngao vifanga wasiliwe na mwewe,
Nakaa kwa mama yako mkuumkuu unakaa kwako au kwenu?
Tunapoelekea ni gizaNdio atajua hajui
itakurudia mwenyewe ndoman wazee wa skuiz mnakua wakali mnoSio laana yangu, Mimi nikikupa tu lazima ikupate
Miaka 79 niliyonayo mchezo 😜
mbona sikuoni mkuu mimi pia nakaa kwa mama yanguNakaa kwa mama yako mkuu
Kukiua kirusi kinachosababisha ukimwi ni sawa na kuua Cell inayokupa uhai ni impossibleUpo vizuri, sasa tuendelee..
- Unajua kwamba makampuni ya dawa hupata faida kwa watu kuendelea kuumwa na sio kupona? Na je, unadhani wanakupa ARVs ili upone kisha wakose mapato au wanakupa ili uendelee kusurvive (usife) ila uendelee kuumwa na kuwapa mapato? Kumbuka, misaada haitolewi na makampuni ya dawa , bali marekani huzinunua kisha kutoa misaada.
- Unajuankwammba ARVs hufanya kazi kwa kufubaza Virusi vya Ukimwi? Na je, kama dawa ya kufubaza inawezeka, kwa kiaka zaidi ya 40, dawa ya kuuwa kabisa hivyo virusi imeshindikanaje? Jibu ndio hilo kwenye point ya kwanza hapo juu..
Sasa je, Figo na Ini hazina haaki ya kusherehekea uamuzi huu?
Makampuni ya dawa nchini na nje ya nchi hayana haki ya kukasirika juu ya uamuzi huu kiasi sasa wanamuhonga Anna Tibaijuka ili awapigie kampeni? Hadi anadanganya kwamba ARVs zinaongeza kinga, wakati si kweli..