Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usajili wenu mkubwa huoIvi Yanga Haioni Wachezaji Wengine, Mbn Wachezaji Wamejaa Wengi Kila Kona Ya Afrika Kuanzia Kusini, Kaskazini, Kati, Magharibi Na Mashariki...Af Wanauwezo Mzuri Wa Kucheza Soka Shida Bado Hamjawaona...Yanga Wafanye Msako Kwenye Ligi Za Sehemu MbaliMbali Hapa Afrika Watapata Watu Wataokaweza Kuwamudu Kuwasajili Na Wenye Uwezo Mzuri Kwa Manufaa Ya Timu... Sio Kila Siku Kung'ang'ania Watu Wale Wale Wakati Wachezaji Wazuri Na Wenye Hadhi Ya Kucheza Yanga Ni Wengi...
Kutoka Kongo, Afrika Kusini, hadi Tanzania historia inamuhukumu hawezi kubadilika, ni mchezaji mzuri lakini anaweza kufanya kitu mpaka ukashangaa au kuigharimu timu kabisa, kama tukio la kuvua bukta.Muache asepe, morrison ni mchezaji mzuri endapo ataacha uchoyo na kupenda kucheza kwa show off
Huko aendako akijirekebisha hayo mapungufu yake atakuwa ni mchezaji hatari na wakuhofiwa na wapinzani
Lakini haji manara saizi si mshazoea na kum treat kama mwenzenu, kwani bado wale wenye kinyongo naye wakimtazama kua ni mamluki bado wapo?Kwa akili na upoyoyo wa baadhi ya viongozi wetu, lolote linawezekana! Kama Haji Manara na kejeli zake zote zile, alipokelewa! Basi hata kwa BM3, haitashindikana.
Ila binafsi sitafurahishwa hata kidogo na huo ujio wake (kama ni kweli)
Na inaonekana katika nchi alizopita hakuwahi kutengeneza fanbase ya kuheshimika kisoka kama alivyokuja hapa bongo, kiukweli ni kwamba kupitia hizi simba na yanga kumekuwa kunatoa benefit kwa wachezaji wengi sana kuwa maarufu kuliko nyakati zoote walizokuwa wakicheza nchi zingineTunaweza kusema ni upuuzi kufikiria kwamba yanga itamsajili Morison, kuna uwezekano mkubwa wa yeye kubaki hapa Tanzania katika moja ya vilabu vingine.
Lakini kumbuka wametumia almost mwaka mahakamani kuhakikisha wanamrejesha morrison, sasa huoni kwamba hii kwa upande wao ni kama golden chance?Kama ni kweli viongozi wangu wa Yanga watakuwa ni viongozi wapumbavu kuwahi kutokea wa soka ulimwenguni
Oya usiseme hivyo, yule Morrison ni mtu mbad ataiumiza Simba round ijayo na wachezaji wale wa umri wa JUWATA Jazz.Mi naombea aende kwa watani zetu utoh ili waongeze idadi ya mapoyoyo kwenye klub yao (manara +morison+……)
Lakini kumbuka wametumia almost mwaka mahakamani kuhakikisha wanamrejesha morrison, sasa huoni kwamba hii kwa upande wao ni kama golden chance?
Umetoka home umebeba mapanga na mimbwa kibao kwenda kuwinda sungura , umefika huko machakani umezurura umepoteza muda wako mwingi na hujapata chochote, halafu unafika home unakuta kumbe ulivyotoa uliacha mlango wazi una shangaa unamuona swala anajizungusha zungusha hana pa kwenda, utamuacha?
Tena mkubwa mno. Wamwache akacheze ligi zingine ukoNi ujinga mkubwa kwa yanga kumsajili tena marrison