Tetesi: Usajili wa Mabasi ishirini mapya ya Abood

Mkuu hizi njia mpya anazotaka kuanzisha atazimudu kweli huyu wakunyumba
 
Nikitokavl Moro to Dar gari yangu ni BM
 
Mzee hiyo kampuni kubwa halafu kuna wabia wengi wanene hapo..fitna na kila kitu wanajua ataweza na ukiangalia now songea inakua uhitaji upo...Ruti zote alizozianzisha zimezaa matunda
Mkuu hizi njia mpya anazotaka kuanzisha atazimudu kweli huyu wakunyumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…