Usalama wa Taifa kuna Waziri mmoja Mwandamizi Serikali ya Rais Samia tafadhali anzeni Kumchunguza hasa

GENTAMYCINE nadhani kwa hili uelewa wako ni mdogo kama wa kunguru. Sidhani kama ni kosa kuwa na raia wa nje mwenye mchango ktk taifa. Huu ujinga ufike sehemu ukome. Kila anayeishi mpakani anabambikwa urais wa kigeni why???
 
Achana na Kamara, je kwetu kuna CAMARA?
 
Pamoja na mapungufu yake kama binadamu yeyote, lakini huyu Mwamba angetufikisha pazuri.
 
Sio yule bwana ambaye anategemewa kuchukua kiti cha Katelephone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…