Penye ugali kuna majungu sanaNi Kirusi HATARI kwa Usalama wa Taifa letu.
Nimemaliza.
Hivyo mbona rahisi smsVita vya Uwaziri Mkuu naona vimepamba moto
Watoane kamasiPenye ugali kuna majungu sana
uaneni huko maccm,who cares!
Achana na Kamara, je kwetu kuna CAMARA?Kama kawaida yenu Waswahili mkiona mtu ni performer mna anza majungu yenu! Tanzania kila mtu ni mkimbizi isipokuwa wagogo waliopo katikati ya nchi!!
Kutoka mpakani mwa nchi hakukuondolei Utanzania / uraia wako!
Waswahili acheni majungu ; hizo tabia zenu za kishenzi ndio maana hamna maendeleo, mmejaa wivu!
Bora logarithms 😂😂😂 hii statement hata data given hakunaHuu uzi hauna tofauti na logarithms
TaalumaCheo cha tatu ni Mwalimu
Ndio wapo! Je ni kosa kutoka mpakani? Kuna wapare mpakani mwa Kenya na Tanzania, Je utawakataa kuwa waTanzania?Achana na Kamara, je kwetu kuna CAMARA?
Camara ni kutoka GuineaNdio wapo! Je ni kosa kutoka mpakani? Kuna wapare mpakani mwa Kenya na Tanzania, Je utawakataa kuwa waTanzania?
Wengi ndio sio wote! Hapa mbozi tunaye Camara Laye ni mnyiha!Camara ni kutoka Guinea
Pamoja na mapungufu yake kama binadamu yeyote, lakini huyu Mwamba angetufikisha pazuri.Tumechezewa Sana Ndugu Zangu
TUmeliwa Mno Ndugu Zangu
Tumelaliwa Sana Ndugu Zangu
Tumehomolwa Sana Sana Ndugu Zangu
Hii Nchi Inaliwa
Vyovyote Nitakavyosema Najua Mmenielewa Sana Sana Ndugu Zangu
By Mzilankende
Wakimbizi Halafu Wanatokaje Arusha Namanga Mpaka Wakamatwe Mbeya
Leo Naagiza Mkoa Ataokamatwa Mkimbizi Haram
OCD, RPC, RIO, DIO Wajihesabu Hawana Kazi Siku Hiyo Hiyo
By Jiwe
n a k a z I aPamoja na mapungufu yake kama binadamu yeyote, lakini huyu Mwamba angetufikisha pazuri.
Dotto bitekoKxurwaxa Brxitrxeegrxoo
Yaani vyeo viwili wapi na wapi au HAPA na KULE wapi sasa jamani ! aah ?Na kwanini ana vyeo viwili?
Mkuu ulikuwa kimyaa karibu sana VITA IMANANi Kirusi HATARI kwa Usalama wa Taifa letu.
Nimemaliza.
NLMMtaje
NLMInasikitisha sana ,waanze naye fasta.
NLMUmeficha sana code. Fungua kidogo