Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 10,771
- 14,129
GENTAMYCINE nadhani kwa hili uelewa wako ni mdogo kama wa kunguru. Sidhani kama ni kosa kuwa na raia wa nje mwenye mchango ktk taifa. Huu ujinga ufike sehemu ukome. Kila anayeishi mpakani anabambikwa urais wa kigeni why???