Usaliti ulivyogharimu maisha ya watu niliowapenda

Heee ukusikia king'ang'a in Mange handwriting ndio huyo sasa....kumtumia babe tena😇😇
 
Acha tu Mamy, ving'ang'a pro max,
Nikikuonesha missed calls zake hutaamini yaan na hapo nimemblock na anajua kua kablokiwa ila anapiga balaa, tangu 2021 hadi 2025 mtu unashindwa kumsahau kweli!
Ina maana anakutafuta hadi leo 2025?
 
Yaani hadi raha amekachangamsha ka jumapili!by the way kwa nini pilau linakuwaga tamu sana jumapili na sio jumatano?
Jpili linashuka kwa utulivu ukiwa umetoka kushiba neno la Mungu, halafu umetulia unakunywa divai huku dr anatuchangamsha na story 😹
 
Acha tu Mamy, ving'ang'a pro max,
Nikikuonesha missed calls zake hutaamini yaan na hapo nimemblock na anajua kua kablokiwa ila anapiga balaa, tangu 2021 hadi 2025 mtu unashindwa kumsahau kweli!
Naomba namba ya lily nimkarabati
 
MAbadiliko ya Lily yamekuwa ya gafla sana,. Mara tatoo mara bhangi within a year 🤔,.
Au labda umetufupishia mda?
Mwaka mmoja ni mrefu sana kwa mtu kubadilika iwe kwa uzuri au kwa ubaya dear, wala haihitaji miaka mingi kuchora tattoo au kuvuta bangi, hapo niliposkip ni kwanini alijibadilisha hivyo, ili afanane na bae wangu, yeye ana muonekano wa masculine pia ana tattoos nyingi ikiwemo jina langu
 
Ep 6
Wakati dokta anaendelea mi nlikua nawasoma tu ye na lily ss nasimulia ilivyokua

Baada ya yule kenge kutuma v note kwa shemeji ( anaitwa mamu dokta acha kutuficha had jina) kwanza mamu akashangaa account nyingin tena ya watsap imemtumia voice note ikabidi azisikilize sasa lily alikua ametuma vipande vile nlivyokua nasema nlikua nae kwenye mahusiano huku akiambatanish tena na picha alizonipiga pale pale kwa kificho .Mamu hakulaza dam akanitumia pale pale vitu vyote kama alivyopokea huku akiwa anahitaji maelezo kutokana na kwamb alikua akiniamini sana na haamin kama naweza kumsaliti

Baada ya kupokea zile mambo kwanza nlijuta sana kuonana na lily pili nikoana hapa nkikubali ntakua nimeisha kabisa na ntavunja kabisa uaminifu wangu kwa mamu nlichokifanya kwanza ni kukataa na kusema yule ni mgonjwa wanngu kwanza na Kama anavyojua nahudumia watu wenye changamotoa za akili lily hakuamini kirahis akaniuliza kwa hy wagonjwa wako ndo unawapa namba zangu wanitumie hivi vitu. Mamu ni mtu anajua kureson sana mambo akiangalia umbali wetu na mda tunaokaa bila kudunyuana akawa ameshajua lazima nimejiongeza nilimpa fact sana lakin akawa haelewi na anaona kama najitetea tu ( by the way mi huwa sikubali kosa hasa kuchepuka )
Mamu alionekana kuumia sana japo alikua hana ushahidi ila akaiambia niwe makini na usaliti kwakw ni mwiba .

Nilizidi kumchukia sana lily na kutamani hata kwenda kumzqba makofi nlimpigia lily simu aka pokea kwa hasira nkamuuliza sasa ndo umefanyajw we kichaa lily alicheka sana akasema nataka na wewe upate maumivu nnayoyapata nlikuambia vita ndo imeqnza rasmi huwezi kuja tu kunchezea na kuniacha ghafla lazima na huyo sem wako muachane tu mi ndo lily kichaa .Kiukweli hasira zilinipanda mpaka nkawa nawaza nkamfanyie lily mambo ya ajabu nkawaza au nkamloge kweli hilo wazo likapita basi nkampigia mganga wangu wa bagamoyo amnyooshe .Hilo wazo nkalipiga chini nkaona huyu ntadili nae ana kwa ana nkapanga plan kama tatu .


Itaendelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…