Ushabiki wa Rais Samia kwa Yanga na athari ya haki kwa waamuzi

Ushabiki wa Rais Samia kwa Yanga na athari ya haki kwa waamuzi

Justine Marack

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2014
Posts
612
Reaction score
1,698
Mwaka huu tumeshuhudia site kuwa Rais Samia ni Shabiki lialia wa Yanga. Ni kiasi ambacho amefikia kujisahau kuwa yeye ni kiongozi mkubwa nchini. Hapo zamani tulizowea kuona Marais walijaribu kuficha mahaba Yao kwa timu zao. Tunakumbula Magufuli alifikoa kushona jezi vipande viwili ili kuondoa dhana ya Usimba au Uyanga.

Lakini kwa Rais Samia imekua tofauti. Anatamani Yanga iwekwe kwenye bajeti ya Wizara. Hata hivyo Kuna mashaka kuwa kunaweza kuwa na mkono wa Serikali kuisaidia Yanga. Simba imajitahidi Mpaka kukata wadhamini kimataifa ili kutangaza Nchi na kuvaa "Visit Tanzania". Lakini aliakua kuchukua timu yake na kuipeleka Malawai kutangaza "Hier" Badala ya " Visit Tanzania".

Kwa hali ya Sasa kuwa Kila Mtu anasifia Samia Samia. Tutegemee Nini kwa Marefa wa Ligi kuu juu ya upendeleo kwa Yanga?

Tukumbuke Marefa nao ni binadam wanaona Nini kinachendelea. Rais ameamua kutoa maagizo indirectly kuwa yeye anafurahishwa na Yanga. Sasa Marefa wameelewa.

Mwisho nasemaje! Rais ameuathili mchezo wa mpira. Natamani Simba wahamie Ligi ya Kenya wakaandike Visit Kenya. Ili wabakie na "Hier" yao.
 
Una hoja ,usikilizwe.
Watapata taabu sana
Screenshot_20230706-193335_Instagram.jpg
 
Rais ameipendelea yanga hadi kucheza final caf
Rais ameipendelea yanga hadi kuwa bingwa NBC
Rais ameipendelea yanga kuwa bingwa AsFc
Rais ameipendelea yanga kuwasajili mayele, diara, azizi ki n.k
Rais akaihujumu simba kuishia Robo
Rais akaihujumu simba kukosa ubingwa na kupgwa na azam kama shoga wa magomeni
Raisi ndo aliwasajili sawadogo, okwa,kapama
Rais ndo alikula b 20 za mo
***** jipange tengeneza timu mtalaumu watu bure
 
Rais ameipendelea yanga hadi kucheza final caf
Rais ameipendelea yanga hadi kuwa bingwa NBC
Rais ameipendelea yanga kuwa bingwa AsFc
Rais ameipendelea yanga kuwasajili mayele, diara, azizi ki n.k
Rais akaihujumu simba kuishia Robo
Rais akaihujumu simba kukosa ubingwa na kupgwa na azam kama shoga wa magomeni
Raisi ndo aliwasajili sawadogo, okwa,kapama
Rais ndo alikula b 20 za mo
***** jipange tengeneza timu mtalaumu watu bure
"Fainali ya CAF" ni lugha ambayo mnaitumia sana kujikuza, kiasi kwamba wale waliocheza fainali ya CACL sijui watasema vipi.

Wewe nyoosha maelezo, sema Fainali ya shirikisho.
 
Mwaka huu tumeshuhudia site kuwa Rais Samia ni Shabiki lialia wa Yanga. Ni kiasi ambacho amefikia kujisahau kuwa yeye ni kiongozi mkubwa nchini. Hapo zamani tulizowea kuona Marais walijaribu kuficha mahaba Yao kwa timu zao. Tunakumbula Magufuli alifikoa kushona jezi vipande viwili ili kuondoa dhana ya Usimba au Uyanga.

Lakini kwa Rais Samia imekua tofauti. Anatamani Yanga iwekwe kwenye bajeti ya Wizara. Hata hivyo Kuna mashaka kuwa kunaweza kuwa na mkono wa Serikali kuisaidia Yanga. Simba imajitahidi Mpaka kukata wadhamini kimataifa ili kutangaza Nchi na kuvaa "Visit Tanzania". Lakini aliakua kuchukua timu yake na kuipeleka Malawai kutangaza "Hier" Badala ya " Visit Tanzania".

Kwa hali ya Sasa kuwa Kila Mtu anasifia Samia Samia. Tutegemee Nini kwa Marefa wa Ligi kuu juu ya upendeleo kwa Yanga?

Tukumbuke Marefa nao ni binadam wanaona Nini kinachendelea. Rais ameamua kutoa maagizo indirectly kuwa yeye anafurahishwa na Yanga. Sasa Marefa wameelewa.

Mwisho nasemaje! Rais ameuathili mchezo wa mpira. Natamani Simba wahamie Ligi ya Kenya wakaandike Visit Kenya. Ili wabakie na "Hier" yao.
Usihofu bado wiki moja tu utajifungua salama.
 
"Fainali ya CAF" ni lugha ambayo mnaitumia sana kujikuza, kiasi kwamba wale waliocheza fainali ya CACL sijui watasema vipi.

Wewe nyoosha maelezo, sema Fainali ya shirikisho.
CAF ni Confederation of African Football mashindano yote ya Africa yapo chini yao sijui ni kipi unapinga
 
kuna shda hapo.haiwezekani km rais wa nch kuwa na mahaba ya wazi kiasi hicho.huo ni upumbavu anaonyesha rais
Fanyeni vizuri muitangaze nchi chini ya Uongozi wake muone kama hamtapendwa, sio kujisifia ukubwa tu.
Fanyeni kitu kionekame sio kusajili sawakubwa halafu unaenda kuchoma viwanja vya watu na kurudisha basi kinyumenyume na kujaza manyau mweusi uwanjani.
 
Back
Top Bottom