Ushabiki wa Rais Samia kwa Yanga na athari ya haki kwa waamuzi

Ushabiki wa Rais Samia kwa Yanga na athari ya haki kwa waamuzi

Tatizo ni pale inapofikia kutumia Rasilimali za Taifa kwa USHABIKI WA timu flani. Kama Rais alitakiwa ku-balance. Akishabikia Yanga kama Samia Haina shida. Lakini anapotoa ndege huyo ni mamlaka, na anapaswa kutumia mamlaka kwa haki. Simba walikua na mchezo muhim na Wydad, Simba walistahili motisha pia. Naamini hata mualiko wa Malawi ulikuja kwa Rais naye kachagua timu Yake.
Leo hata Mtoto mdogo anajua ili kumfurahisha Rais Samia inabidi upende Yanga. Hata wanasiasa wengi wanajinasibu na Yanga , wanatumia Uyanga kwa Uchawa
Tulieni jamani maana hata miaka 5 hajamaliza wakati inatakiwa kuwa 10
 
Rais ameipendelea yanga hadi kucheza final caf
Rais ameipendelea yanga hadi kuwa bingwa NBC
Rais ameipendelea yanga kuwa bingwa AsFc
Rais ameipendelea yanga kuwasajili mayele, diara, azizi ki n.k
Rais akaihujumu simba kuishia Robo
Rais akaihujumu simba kukosa ubingwa na kupgwa na azam kama shoga wa magomeni
Raisi ndo aliwasajili sawadogo, okwa,kapama
Rais ndo alikula b 20 za mo
***** jipange tengeneza timu mtalaumu watu bure
Angalia club ranking za CAF zimetoka wewe achana na hizi habari za zamani
 
Haya kachukue kombe au mdali za caf rakings
Sawa sema nlikuwa naku-update tu naona una habari za zamani za sasa katika soka hujazipata.Simba ina rank namba saba(7) hii ndio habari mpya kwenye soka
 
Fika final ndege utapewa na medali utaleta
Unataka upewe ndege hatua ya robo
Baeleze baba, baeleze babaa.

Aah, lakini hata ikitokea wakifika hiyo fainali, Serikali isi risk kutoa ndege yake. Wanaweza kuichoma huko huko angani kwa mioto yao kama ile ya kwa MADIBA.
Jamaa hao ushirikina uko kwenye damu.
 
Ten hiyo siku hizi siyo Tanzania tu, mpaka Kenye, Uganda, Rwanda, Burundi, Msumbiji, Malawi ndiyo usiseme, wapo washabiki wa Yanga na Sima, Hawaijuwi Taanzania wala hawajawahi kufika. Wameambukizwa na Watanzania.
Nikweli Kuna Mmalawi mmoja nilimuagizia jezi ya Yanga,anaipenda tu na Tz hajawahi kufika
 
Yeah hao wote Simba na wanashinda kwenye events za Simba,alitaka na Yanga walalamike? Ni zaidi ya Umbumbumbu aliousema Rage
Zungu anayo Mamlaka ya kutoa ndege au kuibeba timu kila aendako kama mkoba?
 
Zungu anayo Mamlaka ya kutoa ndege au kuibeba timu kila aendako kama mkoba?
Mwacheni mama atumie nafasi yake kwa akipendacho na bado maana hadi amalize miaka 10 watu wasiye mpenda wataumia sana
 
Mwacheni mama atumie nafasi yake kwa akipendacho na bado maana hadi amalize miaka 10 watu wasiye mpenda wataumia sana
Bado miaka miwili akashabikie Yanga yake na wajukuu. Wanasimba hatumchagui 2025
 
Back
Top Bottom