ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
Mungu anawaona wabadhirifu wa mali za Nchi hii iliyobarikiwa na Mungu wa mbinguni πHuna mamlaka na waacheni vijana watulize akili zao kwenye ushabiki wa mpira, kero ni nyingi na wakiendelea kuzifikiria tutatengeneza kundi kubwa la wenda wazimu huko mitaani.
Hawana pesa, hawana michongo ya kuingiza pato na bado wakiushabikia mpira mnakuja na makelele yetu ya kuwalalamikia wakati hamna uwezo wowote wa kuwapunguzia machungu yao.
Acheni upuuzi huu.
Tutafute kazi zenye kutuingizia pato halali huku kulialia hakutusaidii sana.Mungu anawaona wabadhirifu wa mali za Nchi hii iliyobarikiwa na Mungu wa mbinguni π
Hakika kila atakayezikwapua mali hizo hatokaa aishi kwa Amani na kizazi chake choteee. ππππ
Pia tusichoke kuwakumbusha wezi wa mali za Umma na wabadhirifu wa mali za Nchi kwamba maisha ni mafupi na kwamba siku moja watashikwa na mkono wa Mungu ambao ni mrefu kuliko mkono wa Serikali !Tutafute kazi zenye kutuingizia pato halali huku kulialia hakutusaidii sana.
Vijana waachwe wafurahie mpira maisha haya ni mafupi sana na hatujui siku yetu ya mwisho ni lini.
Hakuna anayetuzuia kufanya ubunifu wenye kubadilisha hali zetu za maisha.
Mimi hata ukiniambia nikutajie hata mchezaji mmoja wa simba au yanga simjui nakumbuka nilisoma somo la michezo chuoni kwenye mitihani kulikuwa na swali taja mchezaji wazamani wa Tanzania darasa zima mimi pekee nilikosa swali hilo sijawahi sikiliza mpira wala kutizama mpiraSasa hivi hata ule uvumi wa mauaji ya watoto umefunikwa na simba day na yanga day.
Niliwahi kusema humu labda kizazi kinachozaliwa kuanzia 2020 na kuendeleq kikiwa watu wazima ndio kije kilete mabadiliko lakini so vizazi vya kabla ya hapo.
Mimi binafsi inaweza kuwa hizo timu zinacheza wala hata sijui kuwa leo kuna mrchi zao. Ukiniambia nikutajie hata wachezaji watatu wa hizo timu siwajui. Lakini mambo ya siasa na kinachoendelea dunia nzima ninajua.
Mimi hata ukiniambia nikutajie hata mchezaji mmoja wa simba au yanga simjui nakumbuka nilisoma somo la michezo chuoni kwenye mitihani kulikuwa na swali taja mchezaji wazamani wa Tanzania darasa zima mimi pekee nilikosa swali hilo sijawahi sikiliza mpira wala kutizama mpira
Tatizo sio Simba na yanga.Heshima sana wanajamvi,
Katika miaka ya karibuni ( labda 2020 - 2024) umekuwepo ushabiki mkubwa wa mpira baina ya Club mbili kubwa Simba Na Dar Young Africa.
Ushabiki wa mpira,ngoma,kwaya,sarakasi,sana saana nyinginezo si jambo baya hasa katika kuburudisha na kuboresha afya ya akili.
Nimeanza kubaini kupitia ushabiki wa Simba na Yanga limezaliwa tatizo lingine jipya,Vijana hawajui au hawataki kufahamu kuhusu nchi yao.
Hawajui Bandari zimeuzwa kwa Waarabu.
Hawajui Uwanja wa ndege wa Kimatiafa Kilimanjaro umeuzwa.
Hawajui Ngorngoro imeuzwa kwa waarabu.
Hawajui Zanzibar inaitawala Tanganyika (Tanzania Bara)
Hawajui Ardhi ya nchi yao Tanganyika inauzwa kwa wageni.
Hawajui lolote kuhusu nchi yao.
Wakilala wakiamka Simba day,Yanga day huu upuuzi wa hizi team umewadumaza vijana wengi wa kiTanganyika badala ya kufikiri kuhusu nchi yao inavyoporwa kama wenzao wa Kenya wao wanakuambia "UBAYA UBWELA" siku wakistuka watakuta kila kitu kimeuzwa.
Ngongo kwasasa Gairo.
Mimi huwezi kunikuta kwenye mambo yakijinga ya mpira wakati kuna ya muhimu ya maisha na imani kwa muumba wangu bora nisome biblia au kuruani au maswala ya uchumi siyo ya wachezaji mbona sheria 17 za mpira wa football zilikuwa kichwani au mada zingine za michezo mbalimbali zilikuwa kichwani ilikuwa ni ili nijibu mtihani tu ukiazi wangu upo wapiWewe kiazi kweli somo la michezo unashindwa kutaja mchezaji. Ni sawa uko kwenye Somo la wanyama ushindwe taja mnyama hata mmoja. Halafu unaona sifa kushindwa kutaja
Alooh weeh ππππKwanza hata huwa siwaelewi wanazungumzia nini.
"Oyaa mwanangu jana simba wamekiwasha"........ "oyaa mwaka huu Yanga noma"
Ndo nini yaani, mimi mbona hata sielewagi??? Hata huo mpiri nikijaribu kuangalia naona makorokocho matupu.
Nimejitahidi kuwaelewa wanazungumziaga nini lakini nashindwa!
Wako kama MAZOMBI fulani yenye mabetri kichwani...
Cc: DR Mambo Jambo Nyani Ngabu min -me NAMBA MOJA AJAYE NCHINI mshamba_mwingine Poor Brain FaizaFoxy Kiranga Lamomy Extrovert dronedrake Mzee wa kupambania Mufti kuku The Infinity
Yaani SIELEWAGI KABISA πππAlooh weeh ππππ
Tuwaache vijana wafurahie maisha haya. Tafuta pesa mkuu hii hulka ya kunyooshea mtu vidole ukidhani ndio sababu ya wewe kutokuwa na chochote sana sana itakupeleka kwa wachawi na waganga wa kienyeji.Pia tusichoke kuwakumbusha wezi wa mali za Umma na wabadhirifu wa mali za Nchi kwamba maisha ni mafupi na kwamba siku moja watashikwa na mkono wa Mungu ambao ni mrefu kuliko mkono wa Serikali !
Iko vile bandugu !
Sote tuchape kazi na turidhike na kile kipato cha halali !
Tuache Ujanja ujanja maana vyote utakavyo vichuma kwa haramu mbali na kile ambacho ni halali yako vitawatesa tu !
No peace of mind maisha. ! πππ
Sasa wewe na mpira wapi na wapi mkuu...Yaani SIELEWAGI KABISA πππ
Kwani waga mnaongelea nini nyie???
"Yanga noma, simba noma, mayelee oooh yeeaah, mtakoma, tutawanyooshaa"
NDO NINI YAAANI?? SIELEWI... πππ¦Ά
Bora kufukunyuana nakula uroda mpaka nakojoa kama kuku wa kisasa. UNDERSTANDABLE.Sasa wewe na mpira wapi na wapi mkuu...
Wewe habari zako kufukunyuana tuu..
ππππππ Yaaan ni laana tupu
Astakafillah.... Leo jumapili fanya uende church hata ukajua tuu kanisa lina rangi gani kwa ndani mkuu π π π π π π π π π π π π π πBora kufukunyuana nakula uroda mpaka nakojoa kama kuku wa kisasa. UNDERSTANDABLE.
Sasa haya mamipira ya ajabu ajabu, "oooh mayelee, mtakoma, mwaka huu, ooohhh kudadeki zenu, nini nyieee... eeeh .... oooh... "
NI NINI?? MBONA KAMA UFALA... π
ππππ niko kanisani hapa naongoza kwaya ya MTAKATIFU VERONIKAAstakafillah.... Leo jumapili fanya uende church hata ukajua tuu kanisa lina rangi gani kwa ndani mkuu π π π π π π π π π π π π π π
Athubutuuu..... Na kichwa hicho..ππππ niko kanisani hapa naongoza kwaya ya MTAKATIFU VERONIKA
FOO πππAthubutuuu..... Na kichwa hicho..
Form four ulitoka na dv ngapi vile ππππ
Wacha watu wa enjoy maisha hasira za nini? wewe unayetaka fujo mbona option nyingi, iko Kenya, Burundi hata Congo kaandamane tu fanya fujo wa Tanzania watu wanapenda starehe na amani.Heshima sana wanajamvi,
Katika miaka ya karibuni ( labda 2020 - 2024) umekuwepo ushabiki mkubwa wa mpira baina ya Club mbili kubwa Simba Na Dar Young Africa.
Ushabiki wa mpira,ngoma,kwaya,sarakasi,sana saana nyinginezo si jambo baya hasa katika kuburudisha na kuboresha afya ya akili.
Nimeanza kubaini kupitia ushabiki wa Simba na Yanga limezaliwa tatizo lingine jipya,Vijana hawajui au hawataki kufahamu kuhusu nchi yao.
Hawajui Bandari zimeuzwa kwa Waarabu.
Hawajui Uwanja wa ndege wa Kimatiafa Kilimanjaro umeuzwa.
Hawajui Ngorngoro imeuzwa kwa waarabu.
Hawajui Zanzibar inaitawala Tanganyika (Tanzania Bara)
Hawajui Ardhi ya nchi yao Tanganyika inauzwa kwa wageni.
Hawajui lolote kuhusu nchi yao.
Wakilala wakiamka Simba day,Yanga day huu upuuzi wa hizi team umewadumaza vijana wengi wa kiTanganyika badala ya kufikiri kuhusu nchi yao inavyoporwa kama wenzao wa Kenya wao wanakuambia "UBAYA UBWELA" siku wakistuka watakuta kila kitu kimeuzwa.
Ngongo kwasasa Gairo.