Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
zitto junior amekumaliza wala sina haja ya kukujibu tenaSidhani kama hii ni hoja ya maana nchini wakati huu. UZanzibari wa Rais Samia ni jambo lililo wazi kila Mtanzania mwenye akili anajua. Na si suala kabisa katika nafasi aliyopo. Ana stahiki zote. Yeye ni Mtanzania kamili; hajapungukiwa kitu hapo.
Sijui mleta mada unataka kuthibitisha kitu gani hasa hapa. Kama ni kumjibu Nape tu basi una kazi ngumu sana. Kuna mamilioni ya wehu nchi hii. Labda kama huoni tabu kushinda unajibizana na wendawazimu.
Kwa sisi wengine, tuwe wazi, unatupunguzia sana thamani ya JF kwa mada za aina hii kama vile vile anavyofanya Mwashambwa.
Nape na maccmKwani nani kabisha!
Hata Mzee mwinyi tuliambiwa ni wa Mkuranga, lakini alipokufa akazikwa kwao ZanzibarGud mbona nape anasema Samia ni mngoni
Zanzibar ni nchi na wala hatuhitaji ushahidi kuwa mama Samia ni Mzanzibari, tatizo ni wewe usiye na nchi.Mimi nadhani ni heshima kubwa na Uzalendo kwa mtu kuitwa kwa Utaifa wake, Sioni haja ya kuficha Utaifa wa mtu kwa sababu zozote zile.
Kwa nia njema kabisa naweka nyaraka za wazi za Uzanzibar wa Rais wetu Samia Suluhu Hassan
View attachment 2977513View attachment 2977516
Hata kwa Sheria za Tanzania, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano anapotokea Tanganyika(Tanzania Bara), Mgombea Mwenza (Makamu wa Rais) ni lazima awe Raia wa Zanzibar, Kwahiyo kumbe Wazanzibar wapo na ni lazima wawe Wazanzibar ili kugombea Uongozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
Pia soma
Samia suluhu Hassani ni mzanzibar kwa mama bibi babu na mumewe ila hajafukuza wamasai kwa kuwa ni mzanzibar!Nape na maccm
Sawa. Amenimaliza. Mimi sikujua kuwa ipo siku nitahitaji ushahidi kwamba Mh Samia ni Mzanzibari. Nimeshangaa.zitto junior amekumaliza wala sina haja ya kukujibu tena
Hapo sasa!!Hata Mzee mwinyi tuliambiwa ni wa Mkuranga, lakini alipokufa akazikwa kwao Zanzibar
Sema ukweli ki vyovyote vile ata kama inakugharimu, tokea tuanze kutawaliwa kwa hila tumepiga hatua gani ya maana?CHADEMA mnafeli sana, daima mnatafuta kura kwa migawanyo, mara mkae kidini, mara kikanda mara kama hivi kizanzibar na Bara, yan mnatapa tapa kwa kila mbinu kuhakikisha mnafika ikulu, ila kibaya mnajiharibia, kwa style hii ya ubaguzi watu wa mipakani wanawaogopa tayari, zenji hawatakaa wawakubali,
Rais wa Tanzania kuna mambo yasiyo ya Muungano hawezi kuyatekeleza huko Zanzibar, sasa kwanini atekeleze mambo yasiyo ya Muungano huku Tanzania Bara wakati anatoka upande wa Zanzibar?Samia suluhu Hassani ni mzanzibar kwa mama bibi babu na mumewe ila hajafukuza wamasai kwa kuwa ni mzanzibar!
Wangekuwa Watumbatu angewafukuza?Samia suluhu Hassani ni mzanzibar kwa mama bibi babu na mumewe ila hajafukuza wamasai kwa kuwa ni mzanzibar!
Mkuu kwani wewe haunakitambulisho cha Mkazi?. Hili swali unaweza ukawa umeuliza kama dhihaka lakini ajabu ni kwamba kuna kitambulisho cha mkazi hata huku Bara. Mimi binafsi ninacho.Wewe una kitambulisho cha Mtanganyika Mkaazi ?
Machongo mangapi yapo visiwani hayajafurushwa nakumbuka vespa zilikuwa zalala nje!Wangekuwa Watumbatu angewafukuza?
Akitoe wapi? yeye atahesabika tu kama refugee,asylum seeker au economic migrant huko Zanzibar kama azima yao yao ya kuwaomba pasport wabara ikikamilikaWewe una kitambulisho cha Mtanganyika Mkaazi ?
Njoo na hoja yako wacha ya kudandia!Sema ukweli ki vyovyote vile ata kama inakugharimu, tokea tuanze kutawaliwa kwa hila tumepiga hatua gani ya maana?
Rais wa Tanzania kuna mambo yasiyo ya Muungano hawezi kuyatekeleza huko Zanzibar, sasa kwanini atekeleze mambo yasiyo ya Muungano huku Tanzania Bara wakati anatoka upande wa Zanzibar?
Yaani anatekeleza mambo ya Tanganyika wakati yeye ni Mzanzibar
Hicho ni cha SungusunguMkuu kwani wewe haunakitambulisho cha Mkazi?. Hili swali unaweza ukawa umeuliza kama dhihaka lakini ajabu ni kwamba kuna kitambulisho cha mkazi hata huku Bara. Mimi binafsi ninacho.
Hicho kitambulisho huwa kinatolewa ofisi ya Mtendaji wa Kata, kina rangi kama bluu hivi, kimeandikwa Kitambulisho cha Mkazi, kina nembo ya taifa ni cha kitabu kipo kama kadi za chama 😂 na kina namba ya ukazi.
Nikiwa nacho karibu nitakipiga picha ni update hii comment. Lakini pia watu wazima maBro waliokuwa serious na maisha watakuwa wanakijua na pengine wanacho pia.
-----Update----
Hicho hapo chini kumbe nipo nacho karibu hapa.
CHADEMA tafuteni hoja zenye mashiko, huu usanii wa TUNDU LISSU hauwezi kuwaongezea chochote kwenye kukubalika na wananchi. Kwani kuna tatizo gani kwa Samia kuwa na kitambulisho cha Mzanzibar mkazi?Mimi nadhani ni heshima kubwa na Uzalendo kwa mtu kuitwa kwa Utaifa wake, Sioni haja ya kuficha Utaifa wa mtu kwa sababu zozote zile.
Kwa nia njema kabisa naweka nyaraka za wazi za Uzanzibar wa Rais wetu Samia Suluhu Hassan
View attachment 2977513View attachment 2977516
Hata kwa Sheria za Tanzania, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano anapotokea Tanganyika(Tanzania Bara), Mgombea Mwenza (Makamu wa Rais) ni lazima awe Raia wa Zanzibar, Kwahiyo kumbe Wazanzibar wapo na ni lazima wawe Wazanzibar ili kugombea Uongozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
Pia soma
Hicho ni kitambulisho cha Mkazi acha siasa za kitoto. Tafuta hoja ya kupinga hoja iliyo dhahiri sio janja janja. Tatizo Chadema ni kama imeacha kuwafundishi vijana wake mbinu za kihoja.Hicho ni cha Sungusungu