DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Hii Ilikuwa Passport halali Ya Zanzibar ila nadhani miaka ya 80 ilifutwa Kama sio miaka ya 90 sikumbuki vizuri maan Ni zMan kidogoHow many "United Republics of Tanzania" existed at the time this obviously fake passport was in use?
Ndo unatakiwa Ujiulize Kwanini Tuite bara wakati Ukerewe Na mafia Sio Bara ni Visiwani??Sijawahi kusikia "Mtanzania Visiwani". Ni "Mzanzibari". Kwahiyo sielewi pointi yako ya wakazi wa Mafia na Ukerewe.
Mkuu Uko Familiar na Katiba ya Zanzibar?Tuwekee hicho kipengele kutoka Katiba ya Zanzibar kinachozungumzia Mzawa wa Zanzibar ni nani vis-a-vis Kitambulisho cha Mkazi wa Zanzibar.
Acha uzushi!!Mchukueni huyo ni wenu kuna kipindi alitaka kujiunga na chadema!
Ulikuwa bado school!Acha uzushi!!
Inasikitisha sana, yani wachumia matumbo wanajitoa ufahamu kutetea vitu ambavyo vipo wazi kabisa. Hawa wazanzibar wametake advantage ya ujinga wa watanganyika. Ha ha wazanzibar kuanzia wilayani mpaka ikulu what a nonsense.Mimi nadhani ni heshima kubwa na Uzalendo kwa mtu kuitwa kwa Utaifa wake, Sioni haja ya kuficha Utaifa wa mtu kwa sababu zozote zile.
Kwa nia njema kabisa naweka nyaraka za wazi za Uzanzibar wa Rais wetu Samia Suluhu Hassan
View attachment 2977513View attachment 2977516
Hata kwa Sheria za Tanzania, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano anapotokea Tanganyika(Tanzania Bara), Mgombea Mwenza (Makamu wa Rais) ni lazima awe Raia wa Zanzibar, Kwahiyo kumbe Wazanzibar wapo na ni lazima wawe Wazanzibar ili kugombea Uongozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
Pia soma
Sijaona mahali inataja sifa na vigezo vya kuitwa Mkazi wa Zanzibar/Mzanibari na uhusiano wa Hati ya Mkazi wa Zanzibar.Ndo unatakiwa Ujiulize Kwanini Tuite bara wakati Ukerewe Na mafia Sio Bara ni Visiwani??
Mkuu Uko Familiar na Katiba ya Zanzibar?
Na sheria inaitwa zanzibari Acts (Sheria no 5 ya mwaka 1985) ?
Kwa mujibu wa Katiba ya SMZ (Serkali ya Mapinduzi ya Zanzibar) Ibara ya Sita Mzanzibar ni Yule aliyezaliwa Zanzibar na kuishi zanzibarView attachment 2978328
Nakuongezea kasome sheria ya uzanzibari..
Utajua Mzanzibari wa kuzaliwa anakuaje na mzanzibar wengine wanakuaje View attachment 2978364
View attachment 2978367
Ooh Unataka Sifa za Kuitwa Mzanzibari?Sijaona mahali inataja sifa na vigezo vya kuitwa Mzanzibari
Asante. Umefafanua kiungwana sana na nimekuelewa.Tumeshuhudia watu wenye dhamana kubwa katika utawala wa nchi hii wakijinasibu kwa “ushindi wa bao la mkono” na wengine wakimfananisha Rais na Mungu. Iko mifano mingi ya aina hii kwenye siasa za Tanzania ya watu kutumia kauli za ovyo kutetea mambo ya ovyo.
Kwa kiingereza mawazo ya aina hiyo tunayaita “insane viewpoints” au “insanity”. Kiswahili chake kinaweza kisipendeze lakini ni “wehu” tu. Hata mapenzi yakikolea kupita kiasi hupelekea mtu kuwa mwehu.
Btw, mwehu sio kichaa. Ni mtu mzima anayejitoa fahamu katika mazingira fulani kufanikisha malengo yasiyo ya kistaarabu. Hivyo sijui ni “lugha nzuri” ipi hiyo inaweza kuelezea insanity.
Aliongea hii hakiwa hajaonja K-Vant?Gud mbona nape anasema Samia ni mngoni
😂😂 siasa jau sanaShida ni pale Nape anapowashambulia wanaomuita Samia Mzanzibar.
Katiba irekebishwe, linapotokea lolote kwa rais wasiwe marais wa TanganyikaHata kwa Sheria za Tanzania, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano anapotokea Tanganyika(Tanzania Bara), Mgombea Mwenza (Makamu wa Rais) ni lazima awe Raia wa Zanzibar, Kwahiyo kumbe Wazanzibar wapo na ni lazima wawe Wazanzibar ili kugombea Uongozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
kwahiyo ana kitambulisho cha utanzania, uzanzibar wakati anaowaongoza wana utanganyika peke yake.Mimi nadhani ni heshima kubwa na Uzalendo kwa mtu kuitwa kwa Utaifa wake, Sioni haja ya kuficha Utaifa wa mtu kwa sababu zozote zile.
Kwa nia njema kabisa naweka nyaraka za wazi za Uzanzibar wa Rais wetu Samia Suluhu Hassan
View attachment 2977513View attachment 2977516
Hata kwa Sheria za Tanzania, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano anapotokea Tanganyika(Tanzania Bara), Mgombea Mwenza (Makamu wa Rais) ni lazima awe Raia wa Zanzibar, Kwahiyo kumbe Wazanzibar wapo na ni lazima wawe Wazanzibar ili kugombea Uongozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
Pia soma
Ubaguzi unao wewe Bara ni nchi gani? Anza na hilo ili ujielewe.CHADEMA mnafeli sana, daima mnatafuta kura kwa migawanyo, mara mkae kidini, mara kikanda mara kama hivi kizanzibar na Bara, yan mnatapa tapa kwa kila mbinu kuhakikisha mnafika ikulu, ila kibaya mnajiharibia, kwa style hii ya ubaguzi watu wa mipakani wanawaogopa tayari, zenji hawatakaa wawakubali,
Zanzibar ina watu milioni moja sisi huku bara tupo milioni 64.Mimi nadhani ni heshima kubwa na Uzalendo kwa mtu kuitwa kwa Utaifa wake, Sioni haja ya kuficha Utaifa wa mtu kwa sababu zozote zile.
Kwa nia njema kabisa naweka nyaraka za wazi za Uzanzibar wa Rais wetu Samia Suluhu Hassan
View attachment 2977513View attachment 2977516
Hata kwa Sheria za Tanzania, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano anapotokea Tanganyika(Tanzania Bara), Mgombea Mwenza (Makamu wa Rais) ni lazima awe Raia wa Zanzibar, Kwahiyo kumbe Wazanzibar wapo na ni lazima wawe Wazanzibar ili kugombea Uongozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
Pia soma
mm sijaelewa wakuu mambobya siasa kidogo yananipga chenga kwani kuna shida gani hapo wakuu
Nadhani nafasi ya urais ingebakia kwa mtanganyika tu.
Kisha kuuenzi muungano moja kati ya PM ama makamu wa urais hasa PM ningependa awe ni mzanzibar hasa aliyebobea kujua mazingira ya bara na siasa zake.
Hawa walau kwa uadilifu wao wangemsaidia Mtanganyika lakn pia kwa vile hawana nafasi ya kuwa Rais wa bara hivyo kuwa na siasa za kusaka madaraka hawatakuwa nazo.