Habari ndugu wana Jamii Forums,
Nipo kwenye mchakato wa kumtafuta msanifu majengo anichoree ramani ya nyumba ya kuishi familia ghorofa moja ndogo simple isiyo na makorokoro mengi maana kiwanja ni kidogo.
Nyumba yangu ya kwanza, msanifu majengo mweledi kabisa alitumika na bado chumba ninacholala na cha mtoto wa kiume vipo uelekeo ambao mchana hakulaliki sababu ya jua. Alikosea location ya public toilet matokeo yake public toilet ipo karibu (korido uelekeo) kabisaaa na masterbedeoom yangu i.e. no privacy!. Kulikuwa na makosa mengine pia lakini tuyaache.
Mawazo yangu ni kuwa ukubwa wa sehemu mbalimbali kwa wastani utakuwa kama nilivyoainisha hapo chini kwenye ukubwa huu nimezingatia kuwa mbele nipate sehemu ya kupark magari na pia kukaa na wanaume wenzangu hasa upande wa uelekeo wa dining-nitapanda miti kwa ajili yakivuli Upande wa uelekeo wa jiko kutakuwa na nafsi ya gari kupita.
Nimesketch ramani hapo chini ambapo nimeweka mawazo yangu namna ninaona mpangilio wa vyumba/ukubwa uwe ikiwa na maana pindi nitakapo mpa msanifu majengo hayo ndo yatakuwa mawazo yangu nitakayomwambia bila shaka najua atanishauri vingine vingi tu maana yeye ndo mtaalamu lakini nimetaka nisiwe kipofu. Nikiri toka mwanzo:
1. Kuwa napenda sana usiri huwa sipendi kabisaa mgeni anapoingia kwenye nyumba yangu aone mpangilio wa vyumba anapoenda public toilet.
2. Sikutaka kabisaa kuweka vyumba vya kulala/jiko upande wenye jua mchana/jioni maana kwa sasa mpangilio huo unanitesa sana mimi na wanangu yaani mchana/jioni kulala mtihani. Upande wenye jua mchana nimeplan kuwe na dining, public toilet, ngazi za kupandia ghorofani, laundry na prayer/office/study maana ni locations ambazo watu hawakai muda mrefu wakati jua linapiga uelekeo huo. Kwenye study/prayer/office room nitaweka A/C. Watoto watasomea vyumbani.
3. Kiwanja ni chembamba kina urefu 25 upana 15.5 na ni flat kabisaa.
4. Idea ya open kitchen mpishi mkuu kaikataa so ndo maana kitchen ipo kizamani!!!
5. Nitajenga chumba cha nje kidogo incase mgeni wa kiume kaja.
Kwa unyenyekevu mkubwa sana na kwa moyo wa shukrani natanguliza shukrani zangu za dhati kwa wote mtakaoguswa kunishauri. Mungu awabariki sana kwa kutoa muda na maarifa yenu kunisaidia ili nisirudie tena makosa yaliyofanyika kwenye nyumba ya kwanza. Ahsanteni sana.
Wastani wa dimensions za vyumba katika mita kumbuka ramani ina vipimo katika sentimeta
Ground
1.Kibaraza mbele ya nyumba mita 1.5 x 3.5
2.Sebule mita 6.5 x 4.3
3.Dining mita 3.5 x 4.3
4.Kibaraza mbele ya jiko mita 5.6 x 1
3.Kitchen mita 4 x 3.3
4.Store mita 3.3 x 1.6
5.Laundry 4.4 x 3.2
6.Public toilet 1.4 x 4
7.Ngazi za kupandia ghorofani upana mita 1.4/1.3 urefu itategemea na ushauri/design ya mchoraji ila choo public lazima kikae chini ya ngazi za kupandia ghorofani na lazima kikae ukutani ili kiwe na dirisha na tolet sink itokelezee ukutani kurahisiha flow ya taka.
8. Master bedroom ya mgeni wa kike/dada wa kazi mita 4.2 x mita 4.6
1st FLOOR
1.Master bedroom wazazi mita 4 x 5.1
2.Choo master wazazi mita 1.3 x 5.5
3.Masterbedroom watoto wa kike 5.5 x 4.18
4.Choo master watoto wa kike mita 2 x 4.1
5.Master bedroom mtoto wa kiume mita 4 x 5.5 i.e. kuna SQM kidogo sana zitapungua sababu ya kona kwenye mlango wa chumba cha watoto wa kike.
6.Choo master bedroom mtoto wa kiume 1.3 x 5.5
4. Small study/office/prayer room mita 4 x 2.1
5.korido ya ngazi za kupandia/kushukia ghorofani ukubwa utategemea design
6. Balcony mbele ya nymba mita 1.7 (japo itaongeza to 2) x 3.5 kwa sasa kuna mkanganyiko wa vipimo but that's rough idea.
Nipo kwenye mchakato wa kumtafuta msanifu majengo anichoree ramani ya nyumba ya kuishi familia ghorofa moja ndogo simple isiyo na makorokoro mengi maana kiwanja ni kidogo.
Nyumba yangu ya kwanza, msanifu majengo mweledi kabisa alitumika na bado chumba ninacholala na cha mtoto wa kiume vipo uelekeo ambao mchana hakulaliki sababu ya jua. Alikosea location ya public toilet matokeo yake public toilet ipo karibu (korido uelekeo) kabisaaa na masterbedeoom yangu i.e. no privacy!. Kulikuwa na makosa mengine pia lakini tuyaache.
Mawazo yangu ni kuwa ukubwa wa sehemu mbalimbali kwa wastani utakuwa kama nilivyoainisha hapo chini kwenye ukubwa huu nimezingatia kuwa mbele nipate sehemu ya kupark magari na pia kukaa na wanaume wenzangu hasa upande wa uelekeo wa dining-nitapanda miti kwa ajili yakivuli Upande wa uelekeo wa jiko kutakuwa na nafsi ya gari kupita.
Nimesketch ramani hapo chini ambapo nimeweka mawazo yangu namna ninaona mpangilio wa vyumba/ukubwa uwe ikiwa na maana pindi nitakapo mpa msanifu majengo hayo ndo yatakuwa mawazo yangu nitakayomwambia bila shaka najua atanishauri vingine vingi tu maana yeye ndo mtaalamu lakini nimetaka nisiwe kipofu. Nikiri toka mwanzo:
1. Kuwa napenda sana usiri huwa sipendi kabisaa mgeni anapoingia kwenye nyumba yangu aone mpangilio wa vyumba anapoenda public toilet.
2. Sikutaka kabisaa kuweka vyumba vya kulala/jiko upande wenye jua mchana/jioni maana kwa sasa mpangilio huo unanitesa sana mimi na wanangu yaani mchana/jioni kulala mtihani. Upande wenye jua mchana nimeplan kuwe na dining, public toilet, ngazi za kupandia ghorofani, laundry na prayer/office/study maana ni locations ambazo watu hawakai muda mrefu wakati jua linapiga uelekeo huo. Kwenye study/prayer/office room nitaweka A/C. Watoto watasomea vyumbani.
3. Kiwanja ni chembamba kina urefu 25 upana 15.5 na ni flat kabisaa.
4. Idea ya open kitchen mpishi mkuu kaikataa so ndo maana kitchen ipo kizamani!!!
5. Nitajenga chumba cha nje kidogo incase mgeni wa kiume kaja.
Kwa unyenyekevu mkubwa sana na kwa moyo wa shukrani natanguliza shukrani zangu za dhati kwa wote mtakaoguswa kunishauri. Mungu awabariki sana kwa kutoa muda na maarifa yenu kunisaidia ili nisirudie tena makosa yaliyofanyika kwenye nyumba ya kwanza. Ahsanteni sana.
Wastani wa dimensions za vyumba katika mita kumbuka ramani ina vipimo katika sentimeta
Ground
1.Kibaraza mbele ya nyumba mita 1.5 x 3.5
2.Sebule mita 6.5 x 4.3
3.Dining mita 3.5 x 4.3
4.Kibaraza mbele ya jiko mita 5.6 x 1
3.Kitchen mita 4 x 3.3
4.Store mita 3.3 x 1.6
5.Laundry 4.4 x 3.2
6.Public toilet 1.4 x 4
7.Ngazi za kupandia ghorofani upana mita 1.4/1.3 urefu itategemea na ushauri/design ya mchoraji ila choo public lazima kikae chini ya ngazi za kupandia ghorofani na lazima kikae ukutani ili kiwe na dirisha na tolet sink itokelezee ukutani kurahisiha flow ya taka.
8. Master bedroom ya mgeni wa kike/dada wa kazi mita 4.2 x mita 4.6
1st FLOOR
1.Master bedroom wazazi mita 4 x 5.1
2.Choo master wazazi mita 1.3 x 5.5
3.Masterbedroom watoto wa kike 5.5 x 4.18
4.Choo master watoto wa kike mita 2 x 4.1
5.Master bedroom mtoto wa kiume mita 4 x 5.5 i.e. kuna SQM kidogo sana zitapungua sababu ya kona kwenye mlango wa chumba cha watoto wa kike.
6.Choo master bedroom mtoto wa kiume 1.3 x 5.5
4. Small study/office/prayer room mita 4 x 2.1
5.korido ya ngazi za kupandia/kushukia ghorofani ukubwa utategemea design
6. Balcony mbele ya nymba mita 1.7 (japo itaongeza to 2) x 3.5 kwa sasa kuna mkanganyiko wa vipimo but that's rough idea.