Ushauri kwa Rais Samia: Kwenye mabadiliko ya Cabinet kufuatia Ripoti ya CAG, tumia wazoefu; Fedha mpe Dkt. Kimei, Biashara Uwekezaji mpe Deo Mwanyika

Ushauri kwa Rais Samia: Kwenye mabadiliko ya Cabinet kufuatia Ripoti ya CAG, tumia wazoefu; Fedha mpe Dkt. Kimei, Biashara Uwekezaji mpe Deo Mwanyika

Huu ni Ushauri wa Bure kwa Rais Samia kwenye mabadiliko tarajiwa ya cabinet kufuatia Ripoti ya CAG, namshauri Rais Samia, asibabaike sana na kuangalia ma vyeti ya usomi kwenye uteuzi wa cabinet yake, atumie watu wenye uzoefu, mfano Waziri wa Fedha wa sasa Dr. Mwigulu Mnchemba ni msomi mzuri wa uchumi, ana 1st Class ya degree ya uchumi kutoka UDSM, lakini sio mtu wa ki fedha fedha!. Hajawahi kushika na B na ma B na ma B mikononi mwake kama Dr. Charles Kimei alipokuwa CRDB, hivyo Wizara ya Fedha akimpa Dr. Kimei, fedha zitakuwa zimefika kwenyewe.

Kwenye biashara na uwekezaji, kuna wasomi wawili, madaktari wa PH.D, je, wanewahi kufanya chochote hata kuuza nyanya tu? Kwenye Biashara Uwekezaji ampe Deo Mwanyika, kina Sumri, kina Shabiby, Abood etc, watu wenye uzoefu wa kufanya biashara.

Aunde Baraza dogo lenye mawaziri wenye uzoefu, ukiwa na mtu mwenye uzoefu, hawezi kupigwa kirahisi kama msomi mwenye vyeti lakini hajawahi kuuza hata toothpicks!

Ni ushauri tu.

Paskali
Kuna wakati unajitoa ufahamu na kuandika ukweli.
Big up Paskali.

Tatzizo hapo KIMEI NI MCHAGA.
Wachaga kupewa madaraka kwa sasa mhhhh
 

Dr.  Kimei sio mzuri sana wa kuongea, hata kujieleza kwake ni shida, uwaziri utakuwa mgumu kwake katika kujieleza bungeni.

Shida ya kuwapa wanafanyabiashara hizo wizara ni mgongano wa kimaslahi.
Waziri hajibu hoja bali naibu ndo mjibu hoja bungeni
 

Dr.  Kimei sio mzuri sana wa kuongea, hata kujieleza kwake ni shida, uwaziri utakuwa mgumu kwake katika kujieleza bungeni.

Shida ya kuwapa wanafanyabiashara hizo wizara ni mgongano wa kimaslahi.
Watu wa front cku zote sio wazur kwenye kuongea. Lakin pia mara nyingi mjibu hoja bungeni ni naibu wazir sio wazir. Lakin pia Mimi naona kama shida ya nchi hii ni mfumo sio Muigulu japo huwa ana maneno ya shombo lakin inawezekana kuna Mahali anatoa ushaur kitaalamu unapigwa chini.
 
Naunga mkono hoja.
Kisha kwenye Mabenki kuna rushwa sana, ingawa sielewi utendaji wa Dr. Kimei ulikuwaje CRDB.
Bila kuvaa Shati la mikono mirefu, Benki zetu zote hupati mkopo.
Kama hakufaulu kudhibiti rushwa kwenye Benki moja, ataweza kuidhibiti akikabidhiwa Hazina ya Nchi?
Pendekezo langu ni Profesa Mussa Assad.
Huyu ni Mtanzania mwenye uwezo mkubwa na ambaye amedhihirika kuchukia rushwa.
Rushwa inaiumiza sana Nchi yetu.
Uzuri mwingine ni kwamba Profesa Mussa Assad atakuwa hana Jimbo (wa kuteuliwa) maana Ubunge wa Jimbo unachochea sana kutafuta pesa (za rushwa)
Mwache alee wajukuu amezeeka sana
 
Huu ni Ushauri wa Bure kwa Rais Samia kwenye mabadiliko tarajiwa ya cabinet kufuatia Ripoti ya CAG, namshauri Rais Samia, asibabaike sana na kuangalia ma vyeti ya usomi kwenye uteuzi wa cabinet yake, atumie watu wenye uzoefu, mfano Waziri wa Fedha wa sasa Dr. Mwigulu Mnchemba ni msomi mzuri wa uchumi, ana 1st Class ya degree ya uchumi kutoka UDSM, lakini sio mtu wa ki fedha fedha!. Hajawahi kushika na B na ma B na ma B mikononi mwake kama Dr. Charles Kimei alipokuwa CRDB, hivyo Wizara ya Fedha akimpa Dr. Kimei, fedha zitakuwa zimefika kwenyewe.

Kwenye biashara na uwekezaji, kuna wasomi wawili, madaktari wa PH.D, je, wanewahi kufanya chochote hata kuuza nyanya tu? Kwenye Biashara Uwekezaji ampe Deo Mwanyika, kina Sumri, kina Shabiby, Abood etc, watu wenye uzoefu wa kufanya biashara.

Aunde Baraza dogo lenye mawaziri wenye uzoefu, ukiwa na mtu mwenye uzoefu, hawezi kupigwa kirahisi kama msomi mwenye vyeti lakini hajawahi kuuza hata toothpicks!

Ni ushauri tu.

Paskali
Sahihi kabisa..baraza kuubwa nadhani linatia uvivu kulifatilia......
Wizara nyingine ziungwe tu au ziwe idara ndani ya Wizara..
 
Huu ni Ushauri wa Bure kwa Rais Samia kwenye mabadiliko tarajiwa ya cabinet kufuatia Ripoti ya CAG, namshauri Rais Samia, asibabaike sana na kuangalia ma vyeti ya usomi kwenye uteuzi wa cabinet yake, atumie watu wenye uzoefu, mfano Waziri wa Fedha wa sasa Dr. Mwigulu Mnchemba ni msomi mzuri wa uchumi, ana 1st Class ya degree ya uchumi kutoka UDSM, lakini sio mtu wa ki fedha fedha!. Hajawahi kushika na B na ma B na ma B mikononi mwake kama Dr. Charles Kimei alipokuwa CRDB, hivyo Wizara ya Fedha akimpa Dr. Kimei, fedha zitakuwa zimefika kwenyewe.

Kwenye biashara na uwekezaji, kuna wasomi wawili, madaktari wa PH.D, je, wanewahi kufanya chochote hata kuuza nyanya tu? Kwenye Biashara Uwekezaji ampe Deo Mwanyika, kina Sumri, kina Shabiby, Abood etc, watu wenye uzoefu wa kufanya biashara.

Aunde Baraza dogo lenye mawaziri wenye uzoefu, ukiwa na mtu mwenye uzoefu, hawezi kupigwa kirahisi kama msomi mwenye vyeti lakini hajawahi kuuza hata toothpicks!

Ni ushauri tu.

Paskali
Kuna mahala unaweza eleza Waziri yeyote alipotajwa na CAG?

Wanaopiga ni Mawaziri au Watendaji? Halmashauri kuzima pos inahusikaje na Waziri?

Bodi ya NHIF kujipangia maposho na mambo kama hayo Waziri anahusikaje?

Hakuna mahala Baraza la Mawaziri litazuia Ufisadi ,uzembe nk bila kubadili sheria na kuzisikmaia zikatekelezwa.
 
Nishati na madini amrudishe Kalemani
Amrudishe huyu huyu au mwingine?
Screenshot_20221119-093841.png
Screenshot_20221119-094007.png
 
Heri yako upo unbiased wengine wanaotaka mabadiliko ya baraza la mawaziri wanavizia uwaziri mkuu. Waziri Mkuu hajatajwa popote lakini wanalazimisha aondolewe, aibu nasikia mimi mtu mwadilifu kama yule kuundiwa zengwe ili atolewe.
Kwakweli !
 
Naunga mkono hoja.
Kisha kwenye Mabenki kuna rushwa sana, ingawa sielewi utendaji wa Dr. Kimei ulikuwaje CRDB.
Bila kuvaa Shati la mikono mirefu, Benki zetu zote hupati mkopo.
Kama hakufaulu kudhibiti rushwa kwenye Benki moja, ataweza kuidhibiti akikabidhiwa Hazina ya Nchi?
Pendekezo langu ni Profesa Mussa Assad.
Huyu ni Mtanzania mwenye uwezo mkubwa na ambaye amedhihirika kuchukia rushwa.
Rushwa inaiumiza sana Nchi yetu.
Uzuri mwingine ni kwamba Profesa Mussa Assad atakuwa hana Jimbo (wa kuteuliwa) maana Ubunge wa Jimbo unachochea sana kutafuta pesa (za rushwa)
Serikali ya Wataalamu ilishindwa Italy.

Narudia tena sio kila mtu anaweza kuwa Waziri wa Fedha,Hadi sasa sijaona wa kumzidi Mwigulu kati ya wote mnaowataja.

Assad ukiacha kuwa CAG anajua mambo ya Kiuchumi? Manaa Kuna wakati utalazimika kutetea maamuzi ya Serikali kama anavyofanyaga Mwigulu linapokuja Suala la muelekeo wa kisera.
 
Hivi ninapitwa au???
Lini rais amesema anataka kubadilisha baraza la mawaziri au mnatumia kiashiria kipi??
Na wewe ndugu pascal ukiwa kama verified member, unapata wapi guts za kuanzisha Uzi kama huu??
Ni wapuuzi tuu Hawa wanakuja na mambo Yao ya kipuuzi.Kqanza Toka nimeifuatilia Rais Samia hakuna hata siku Moja wamewahi mpatia kubashiri kwenye mipango yake ,Kwa Hali hiyo Wala hana huo Mpango
 
ni maoni na mtazamo mzuri,

Yes
tunaelekea kipindi cha Tengua Teua nyingi mno ktk muda mfupi ujao, muda wa kati na muda mrefu ujao hadi 2025. Mabadilko yatalenga zaidi Baraza la mawaziri, wakuu wa mikoa, Wilaya, wakurugenzi, wakuu wa taasisi na mashirika ya umma na wateule mbalimbali wa Rais.

Kwa hao watu ulio wapendekeza, binafsi sioni yeyote miongoni mwao akipewa fursa hiyo au kuhusishwa kwenye teuzi yeyeote tarajiwa .

Zaidi sana sidhani hata kidogo ikiwa waziri wa fedha anaweza kuguswa kwenye mabadiliko yeyote ya Baraza la mawaziri kwa namna yeyote ile, huyu anakwenda hadi 2025 bila wasi wasi wowote.
Hata utengue na kupangua Baraza na Hao wengine usipobadili Baadhi ya sheria ni kazi Bure.

Kwa mfono kwani kubadili Baraza ndio kunazuia Ufisadi? Kuna sehemu Mawaziri wametajwa?

Labda Kama hizo panga pangua ni za kujipangia Kisiasa Kwa Ajili ya uchaguzi sawa nothing else.
 
Back
Top Bottom