Ushauri kwa vijana ambao bado hawajaoa

Alianza mahusiano na jigga toka mwaka 2000 akiwa na miaka 19 hii ilimfanya asiwe na namba kubwa ,ila huyo mwamba kabla ya hapo anadai alisha toka nae.
Basi ukweli anaujua mwenyewe. Ila jaman wengine wanafanyaje fanyaje yaan since 2000 hadi leo wapo wote wakati wengine hapa miezi tu chali daah sijui wapi tunakosea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…