Kuna hii akikusalimia siku mbili Tatu swali linakuja unafanya kazi gani /unajishughulisha na nn,yaani ni waoga sijui ndo kutembelea fursaYani hii ndio reality ya wanaume wa sasa, Kila kikwazo wanachoweka kwa wanawake ni kulinda inequities zao, tuna kizazi Cha wanaume waoga sana inatia shaka.
Anataka malezi bora.Kuna hii akikusalimia siku mbili Tatu swali linakuja unafanya kazi gani /unajishughulisha na mm yaani ni waoga sijui ndo kutembelea fursa
Inawezekana aiseeπππAnataka malezi bora.
πππ ila Si ulisha sikia hiyo skendo?Labda walikua wapenzi watazamaji.
Mie nilisikia ya Eminem.[emoji16][emoji16][emoji16] ila Si ulisha sikia hiyo skendo?
Alifanya nini?Mie nilisikia ya Eminem.
Kwamba aliwahi toka nae. Zaidi ya hapo sijawahi sikia mwingine zaidi ya Jigga.Alifanya nini?
Alianza mahusiano na jigga toka mwaka 2000 akiwa na miaka 19 hii ilimfanya asiwe na namba kubwa ,ila huyo mwamba kabla ya hapo anadai alisha toka nae.Kwamba aliwahi toka nae. Zaidi ya hapo sijawahi sikia mwingine zaidi ya Jigga.
Basi ukweli anaujua mwenyewe. Ila jaman wengine wanafanyaje fanyaje yaan since 2000 hadi leo wapo wote wakati wengine hapa miezi tu chali daah sijui wapi tunakosea.Alianza mahusiano na jigga toka mwaka 2000 akiwa na miaka 19 hii ilimfanya asiwe na namba kubwa ,ila huyo mwamba kabla ya hapo anadai alisha toka nae.
Inatokea tu watu unakuta wana nia ya pamoja na wanaendana.Basi ukweli anaujua mwenyewe. Ila jaman wengine wanafanyaje fanyaje yaan since 2000 hadi leo wapo wote wakati wengine hapa miezi tu chali daah sijui wapi tunakosea.
Dahh! Yaan kama mimi Mungu anisaidie tu mana hali ni tete. Hongera kwao.Inatokea tu watu unakuta wana nia ya pamoja na wanaendana.
ππππAu wewe ndio kivuruge?Dahh! Yaan kama mimi Mungu anisaidie tu mana hali ni tete. Hongera kwao.
Nadhani kuna makosa huwa nafanya kwenye kuchagua wenza, nimekua napata watu mambo mengi hatuwezani yaan basi tu Mungu anisaidie.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Au wewe ndio kivuruge?
Usije tu kujiunga na kataa ndoa kama sie ππ hiyo haipo kwako tu changamoto za hivyo siku hizi ni kawaida tu.Nadhani kuna makosa huwa nafanya kwenye kuchagua wenza, nimekua napata watu mambo mengi hatuwezani yaan basi tu Mungu anisaidie.
HakikaHuo ni uzoefu wako mkuu, kila mtu apate uzoefu wake ndio maisha hayo
Sana to yeyeHakika
Mambo yanabadilikaInawezekana aiseeπππ
Hawa wanapoelekea watatudai hata mahari πππMambo yanabadilika