joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Halafu kwenye TV mnalilia 50/50, wanawake ni wa kuwaonea huruma hawajui hata wanacho kipigania, sasa hiyo 50/50 ina maanisha kwenye maeneo gani.Hakuna sehemu nimesema silei familia,sikuzote mshahara wa mwanamke unaishia kulea familia means mpaka baba mwenyewe ila nilichosema Kwa mwanamke mfanyakaz unataka kumtawala usipigie mahesabu mshahara wake fanya majukumu Yako,akidai hiki mpe,kile mpe.....kama yeye ndo anawajibika %kubwa home jiandae kufanywa mtoto pia utatumwa mpaka kuipua uji uupoze
Nakubaliana na wew mwamba makavel mim tang niingie kwenye mahusiano nadate na wadada wanaonipenda tu na kila time nainjoy lifeKwa afya ya ubongo na moyo wako, jitahidi uoe mwanamke ambae kwako hajiwezi, na ujitahidi kumaintain hilo, sio kujua hilvyo ndo umtese mwenzio..
Raha ni kupendwa kisha upende.
Kummudu is more than financial aspect, wake wa matajiri wengi wanaishi very lonely life, na wananyanyaswa pia kisaikolojia sema tu hawawezi semaIla kweli Billgate si alikuwa anammudu mwanamke wake mbona kamshindwa [emoji1787]
Haya mambo hayana guide 📚Kummudu is more than financial aspect, wake wa matajiri wengi wanaishi very lonely life, na wananyanyaswa pia kisaikolojia sema tu hawawezi sema
Ndo maana uzi wangu umesema kummudu ni more than financial aspect.
TrueHabari
Nimekuwa nikifuatilia nyuzi mbalimbali hapa
Nilichojifunza mapenzi ni dynamic, not all size fit for all. Sio kila ushauri unaweza kuwork kwenye mahusiano yako sababu tunadeal na wenza wenye haiba mbalimbali, utashi, tabia, uwezo na personality nk
Muhimu kwa kaka na wadogo zangu wa kiume
Pamoja na vigezo vyako vingi unavyoweza kuwa navyo kama uzuri, tabia, sura , mbususu tamu nk..
Ukitaka kuchagua mke/mwanamke tafuta unayemmudu na weka hiki kama moja ya kigezo kikubwa
Nikisema kummudu simaanishi kifedha tu namaanisha all aspects sababu kwa mujibu ya maandiko ya dini yangu, Mume ni kichwa hii 50/50 ndo meanza kuleta shida kwenye maisha.
Mke anapaswa kuwa mshauri mkuu na msaidizi kwa mujibu wa maandiko, ila pale ambapo mwanaume hasimamii vizuri nafasi yake kama kichwa, hapo ndipo matatizo huwa yanaanza.
Hizi story za kanipiga kizinga huwezi kuzikuta kwa mwanaume aliyemchagua mwenza anayemmudu.Ukiona uwezo wako ni wakina Mwajuma kandambili basi chagua huko, Ukiona uwezo wako ni wakina Wema Sepetu basi chagua hao, ukiona uwezo wako ni kina Jackline Mengi basi chagua type hizo.
Mmudu kifedha simaanishi kuwa tajiri hapa namaanisha yule unayeweza kuafford kwa uwezo wako. Sisi wanawake bana ni receiver by nature, hata kama ukiwa billionea trust me hela ya mume/mwanaume ni tamu jamani kama kuna anayebisha anyoshe mkono. Men are provider by nature and women are receiver by nature. Hata nature ya maumbile yanaonesha hilo kwa maana ya maumbile ya kiume yamechomoza mbele na kike ni kitundu kwa ajili ya kupokea maumbile ya kiume. Ili usipigwe vizinga vya million 3 kama kaka yangu mmoja hapa basi chagua unayemmudu na hapa si kwa mke tu hata wale mnaosakata Mbususu.
Mmudu kitabia, hapa simaanishi aliyekamilika ila ambaye unaweza kuvumilia mapungufu yake na unajua strength zake. Yule ambae akikasirika basi unaweza kumudu reaction zake, wapo wanawake wakichukia wanarusha rusha vitu ovyo kama kupasua TV, wengine wakikasirika huwa wanalia ukimhug na kumbembeleza imeisha, wapo wanaobinua mdomo kama Asha Ngedere, wapo wanaonuna..Tafuta yule ambaye unaweza kummudu kwa situation zote.
Mmudu kitandani sitapaelezea maana JF member almost wengi sana wako vzr kitandani na wana nguvu za kiume na wana PhD ya mapenzi according to nyuzi zao nyingi. Wachache tu ndo tunauwezo wa kawaida.
Naomba kuwasilisha.
Niiliyenae ananimudu vizuri kabisa na ananisupport kwenye career life.Naplay nafasi yangu na yeye anaplay ya yake maisha yanasonga.
Lkn ananimudu kwa vitu vingi sana na naenjoy kumudiwa hahahahahaha
I will never take his position kama kichwa kwangu maana nitaenda kinyime na imani yangu
Ila haikuwa rahisi kupata chemistry ya haina hiyo but i thank God amenipa.
Kweli mkuu yaani mke akiwa na mshahara afu na wewe unamshahara ni sawa na serikali mbili ndani ya nchi moja kitu ambacho lazima kitaleta migogoro kama mmoja hajajifanya bwegee.. Ili nyumba iwe na amani lazima mmoja awe na nguvu kuliko mwingineMimi naunga mkono hapo kwanini nioe mke anayefanya kazi kama Mimi alafu Hela yake inabaki kuwa yake haisaidii chochote.Mbaya zaidi wote tunarudi nyumbani tumechelewa kutoka kazini.Wote tunatengewa maji ya kuoga na house girl .Wote tumechoka.Wote tunapikiwa na house girl.Kazi ya mke kama msaidizi kwenye familia imechukuliwa na house girl hata kazi ya kukusaidia majukumu na kamshahara kake Bado anakataa.Hamna umuhimu wa mke hapo na by time utaanza kumpenda house girl akiwa anakupikia vizuri (na utamsifia),akiwa anakuandalia maji na kukupa care zingine ambazo ilitakiwa atoe mke wako.Mbaya zaidi utakuta huyo mke anarudi Kila siku kutoka kazi ukimgusa tu kitandani anadai amechoka .Tuwe sobber mwanamke kufanywa kuwa msaidizi na Mwenyezi Mungu ilikuwa Ina maana ya kazi za nyumbani pamoja na kulea watoto.Hizo zingine ni ziada na ndiyo maana WAZEE wa kale walikuwa hawaoni maana ya kumsomesha mtoto wa kike.Sababu wanajua provider wa familia ni Baba sio Mama.
Mke atakuwaje submissive akiwa na mshahara wake.Ni wachache wanaoweza wengi wanapatwa na Kiburi na hata kudiriki kusema "Tuachane Nina mshahara na kazi yangu".Kitu ambacho sio rahisi Kwa Mama wa nyumbani anayemtegemea mumewe.Ndiyo maana Kuna mkono wa kushoto na kulia,yote yanafanya kazi ila wenye nguvu na unaotumika kufanya mambo mengi ni WA kulia.
Hivi wakuu mmeshakaa mkafikiria kuhusu future ya watoto pale ambapo labda ghafla mwanaume akakakata kamba(kifo) cha ghafla?Kweli mkuu yaani mke akiwa na mshahara afu na wewe unamshahara ni sawa na serikali mbili ndani ya nchi moja kitu ambacho lazima kitaleta migogoro kama mmoja hajajifanya bwegee.. Ili nyumba iwe na amani lazima mmoja awe na nguvu kuliko mwingine
Bro wanawake wengi husema hivyo kama point ya kukimbilia hela bro biblia yenyewe ilisema mwanaume atakula kwa jasho na wanamke atazaa kwa uchungu xo kazi ya mwanaume ni kuhakikisha mkewe anakula na kutunza familia.... Why jamii hizi za Islamic waarabu, wapemba na wahindi wanaishi na mke kama goli keeper Kwan hawakujua hilo hila ni kuwa wenzetu walianza na upendo wa familia kwanza yaani familia yako kuanzia baba mkiwa na upendo na pia kakahivi wakuu mmeshakaa mkafikiria kuhusu future ya watoto pale ambapo labda ghafla mwanaume akakakata kamba(kifo) cha ghafla?
kimsingi naona kuoa mwanamke mwenye kazi sio mbaya kwa upande wa pili kwa sababu watoto pia wanakuwa katika upande salama kielimu na malezi baada ya baba kufariki.
lakini pia familia nyingi za kiafrika zinatamaduni za kunyanyasa wanawake wajane aidha anaweza fukuzwa au kuporwa mali hivyo kama anakazi inamjengea kujiamini na kama anaelimu anaweza kupambana kisheria zaidi tofauti na mwanamke asie na kazi na hana elimu anakuwa mnyonge
Bro hutaishi maisha yote bila kuoa mpaka unazeeka ? Ni ushauri tu kwa wanaotaka kuoaMbona kama ni hivo it takes a lot KUOA kuliko KUTOKUOA?
Lazma ntaoa broBro hutaishi maisha yote bila kuoa mpaka unazeeka ? Ni ushauri tu kwa wanaotaka kuoa
mtegoMbona kama ni hivo it takes a lot KUOA kuliko KUTOKUOA?