Uchaguzi 2020 Ushauri: Makonda chukua fomu ugombee Urais kupitia upinzani hasa UDP, una nguvu kubwa sana na ushawishi kwenye jamii, utashinda kwa kishindo

Uchaguzi 2020 Ushauri: Makonda chukua fomu ugombee Urais kupitia upinzani hasa UDP, una nguvu kubwa sana na ushawishi kwenye jamii, utashinda kwa kishindo

Makonda ni moja ya wanasiasa mahiri mwenye kipaji cha hali ya juu, ana ushawishi, ana watu, ana nguvu kubwa,anapendwa,anakubalika, anajua kujenga hoja.

Yote hayo sana CCM hawakuyaona,wakamkataa kwenye kura za maoni,kumkataa kwao walikuwa wanatimiza tu injili ya "jiwe kuu la pembeni".

Kwa kuwa akibaki CCM, kifo chake cha kisiasa ki dhahiri na mkuu wetu ameshajiapiza kwamba wenye tamaa hatawarudisha.

Namshauri ndugu makonda ajiunge UDP upendo apeperushe bendera yao akigombea urais. UDP kina mizizi mirefu nchini kote na has a kanda ya ziwa, akija makonda ni kumalizia tu na ataingia ikulu kiurahisi kama anamsukuma mlevi.

Makonda amua sasa au kaa kimya milele

Ndimi
Mjumbe
Mkuu mi nimeguswa na jina lako tu[emoji3][emoji3]
 
Njia pekee ya kumfanya Makonda kurudi kwa siasa ni kuendelea kuwa mnyenyekevu huku akimsupport baba yake kwenye kampeni kwa kujitolea bila kinyongo...baba yake akirudi atamfikiria hata kumpa ubalozi...ila akijifanya ana ngebe na hana vyeti ataishia kuwa nabii feki
 
Makonda yupo tayari kanisani anaombea wagonjwa .tayari mnafukuzia Gwajima kwa kutoa upako
 
Njia pekee ya kumfanya Makonda kurudi kwa siasa ni kuendelea kuwa mnyenyekevu huku akimsupport baba yake kwenye kampeni kwa kujitolea bila kinyongo...baba yake akirudi atamfikiria hata kumpa ubalozi...ila akijifanya ana ngebe na hana vyeti ataishia kuwa nabii feki
Umejuaje !!?? Maana Makonda tayari ameshajichomeka kwenye kuombea watu kanisani
 
Makonda ni moja ya wanasiasa mahiri mwenye kipaji cha hali ya juu, ana ushawishi, ana watu, ana nguvu kubwa,anapendwa,anakubalika, anajua kujenga hoja.

Yote hayo sana CCM hawakuyaona,wakamkataa kwenye kura za maoni,kumkataa kwao walikuwa wanatimiza tu injili ya "jiwe kuu la pembeni".

Kwa kuwa akibaki CCM, kifo chake cha kisiasa ki dhahiri na mkuu wetu ameshajiapiza kwamba wenye tamaa hatawarudisha.

Namshauri ndugu makonda ajiunge UDP upendo apeperushe bendera yao akigombea urais. UDP kina mizizi mirefu nchini kote na has a kanda ya ziwa, akija makonda ni kumalizia tu na ataingia ikulu kiurahisi kama anamsukuma mlevi.

Makonda amua sasa au kaa kimya milele

Ndimi
Mjumbe
Acha pombe.
 
Makonda hajafika umri wa kikatiba kugombea uraisi.
Mode huu uzi utoeni hauna mantiki.
 
Makonda ni moja ya wanasiasa mahiri mwenye kipaji cha hali ya juu, ana ushawishi, ana watu, ana nguvu kubwa,anapendwa,anakubalika, anajua kujenga hoja.

Yote hayo sana CCM hawakuyaona,wakamkataa kwenye kura za maoni,kumkataa kwao walikuwa wanatimiza tu injili ya "jiwe kuu la pembeni".

Kwa kuwa akibaki CCM, kifo chake cha kisiasa ki dhahiri na mkuu wetu ameshajiapiza kwamba wenye tamaa hatawarudisha.

Namshauri ndugu makonda ajiunge UDP upendo apeperushe bendera yao akigombea urais. UDP kina mizizi mirefu nchini kote na has a kanda ya ziwa, akija makonda ni kumalizia tu na ataingia ikulu kiurahisi kama anamsukuma mlevi.

Makonda amua sasa au kaa kimya milele

Ndimi
Mjumbe
Wajumbe hawana chama, iwe CCM iwe UDP iwe CUF iwe CHADEMA kwenye upigaji kura utawakuta tu wale wale na maneno yenu ni kama haya. Sasa endelea kumdanganya kama alivyodanganywa mwanzo na wajumbe
 
Dah unazidi kumpoteza mwenzako....Makonda hata akiwekwa na kokoto ,basi jua kokoto litashinda kwa 100%
 
We lengo lako tushalijua unataka umpoteze mwenzio.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ushauri wako ameukataa, amestuka kwamba ninyi ndiyo mnaompotosha, mnmlazimisha kufanya vitu nje ya uwezo wake. Kama hapa unamshauri agombee urais wakati hata vigezo vya urais hamvijui halafu hata yeye hana. Mlishampotosha kuhusu ubunge wakati angeshinda asubuhi watu wangeamkia mahakamani kumpinga kwa sababu ya kutokidhi vigezo na forgery.
Wana Kigamboni wamemsaidia kujua uwezo wake ulipo, either ajiunge na team Gwajima au aanzishe lake.
View attachment 1522440
Angekuwa anajua haya,asingekuwa mjinga mjinga kwa kutukana watu ovyo
 
Hakuna mwanaccm anayeweza kugombea urais bila mbeleko ya vyombo vya dola. Hata hivyo huyo kiazi bashite hajafikisha umri wa kugombea urais, kama kweli kazaliwa 1982.
 
Back
Top Bottom