USHAURI: Nani asimame kati ya Baba mlezi na Baba mzazi kwenye send off na harusi!!

Zawadi iende kwa yoyote yule,ila suala zima la jambo hili basi lifikishwe kwenye chimbuko lake{Kwa Baba Mzazi} huko ndipo mizimu ya Kinyalu,wajinga na makabila ya chimbuko la iringa, kwenye milima ya kitonga akafanyiwe na Tambiko ili ndoa isiwe ndoano, suala zima la zawadi aangalie mapenzi yake yanaenda wapi.Wahenga tuliposema DAMU NZITO KULIKO MAJI basi muwe waelewa,

Ushauri wangu ndio huo,huu USASA/MODERNITY usitm tuzuzue tusije kuchanganyikiwa baadae,tuyaseme haya bado mapema sio mpaka toa itake kuvunjika ndipo mje mhitaji msaada humu tutakuchangia mawazo ya kukuponda ndipo MADA ZA KATAA NDOA zitarudi kwa kasi.

Sent from my V2204 using JamiiForums mobile app
 
Tuanze kwanza kwanini akukimbie?😂unaona? Una matatizo wewe
Ndani kina vimbwanga vingi ndugu yangu acha tu nilimpa kila kitu na yy akanipa kila kitu lakini sasa maraaa paap tukachana mpaka saivi sitaki tena kuowa
[Kata ndoa]
 
Tuulize sisi tukuelezee situation nzima mm mke wangu alikimbia na mtoto anampeleka kwao sasa vita ilikuja kwenye kumchukua ndugu zake walingaka kama chui alieguswa mkia
Ndio maana kumbe ulikimbiwa ngoja nikuignore tu mzee
 
Baba mzazi akiwa na akili na uwezo wa kufikiri vizuri hawezi kuruhusu sherehe ifanyike kwake. Mtoto ni wa kwake, uhuru wowote atakao mpa mtoto kuamua katika hili jambo,mtoto atafarijika sana na utakuwa ushindi kwa baba mzazi kumrudisha mwanae kiaina kwake.
Baba mzazi hatakiwi hata kushiriki sherehe japo anatakiwa kuchangia gharama kama tu anampenda mtoto wake na ana ndoto za kuja kuwa karibu nae huko mbeleni.

#maniisiomtotomalezindiomtoto
 
Ndani kina vimbwanga vingi ndugu yangu acha tu nilimpa kila kitu na yy akanipa kila kitu lakini sasa maraaa paap tukachana mpaka saivi sitaki tena kuowa
[Kata ndoa]
Ah sasa ulienda ustawi wa jamii kufatilia swala la custody ya mwanao? Nadhan ungeenda kule mkajadiliana kuwa bado unataka kuwa part ya maisha ya mwanao. Umlee. Umlipie matunzo, umlipie ada. Lazima tu ustawi wangeruhusu uwe unapata muda wa kuwa anakuja kukutembelea au wewe kwenda kumtembelea. Ila swala tu la mtu hafanyi any efforts, anadisappear afu anakuja ukubwani na kudai eti yeye ndo baba mzazi ni upuuzi
 
Reactions: Luv
Pumbavu mwenyewe ngese kweli we lazima utakuwa upinde sio bure. Lazima na wewe umetelekeza mtoto hulei ukitegemea eti biology nyokonyoko, sperm donor mkubwa wewe na bado mkitelekeza watoto jiandaeni kisaikolojia ukubwani.
 
Kwa baba mzazi hakumfai,Kama baba mlezi sio sehemu sahihi,Waende kwa Wajomba zake ,huko ndiko watakakokutana baba mzazi na mlezi.
 
Tumeshachoka kuwashauri kitu kimoja kila siku.

Kwenye complication ya Wazazi swala la mahari linasimamiwa na wajomba, msijitafutie laana ambazo baadaye mtaona mmelogwa kumbe hamna akili.
Mkuu Baba mlezi kamwambia kuwa aende kwa Baba yake mzazi iringa.
Baba mzazi yupo na si ndo kwamba yeye Baba mlezi ndo anataka posa apokee yeye No.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…